Kijue chombo maalumu Inkwizisheni (Inquisition) cha kutesa

Kijue chombo maalumu Inkwizisheni (Inquisition) cha kutesa

Soma vizuri uone avatar ninayoizungumzia. Unafiki wako uko wazi sasa na umeshapoteza credibility. Nobody will take you seriously no more. Huna moral authority ya kumnyoosha ye yote. Hasa hasa utageuka na kuwa case study ya unafiki wa nyie wafia dini.

Nyoosha kwanza maisha yako ya kiroho na uachane na hii misplaced belief kwamba kwa vile unasali Jumamosi na kushika hii misheria ya Kifarisayo basi mbingu ni yako na wengine wote wamepotea.

Nadhani nimeshamalizana nawe and I am out. Kazania masomo yako; na Mungu Akusaidie na kukuonyesha njia. Ubarikiwe!!!
fa52b5065a763dcafaf03103998f7e70.jpg
Eti umemalizana na mm, nipo jukwaa la wakubwa na nitakuwepo siku zote

Imekuuma enhee,

Nitawanyoosha tu,
 
Kama huna moral integrity usinyoshee vidole watu wengine.

Mungu huabudiwa siku zote 24/7.

Huakisi kabisa ucha Mungu kwa post ulizoanikwa nazo.

Huna tofauti na Mafarisayo tu wanaosali mbele za watu waonekane wasafi kuliko wengine. ......Tazama natoa sadaka nyingi ......

Wadhahabu CDG
 
"Kanisa Katoliki... lina hofu kuu ya kumwaga damu. Hata hivyo, linapokabiliwa na UZUSHI [HERESY]... LINALAZIMIKA KUTUMIA NGUVU, kutoa adhabu ya kupigwa viboko mwilini, na KUTESA. Linaunda mahakama kama ile ya Inkwizisheni (Inquisition). Linatumia SHERIA ZA SERIKALI kulisaidia... Lilifanya hivyo hasa katika karne ile ya 16 kuhusiana na WAPROTESTANTI... Katika nchi ya Ufaransa, chini ya [wafalme] Francis I na Henry II, katika
nchi ya Uingereza chini ya (Malkia) Mary Tudor, [Kanisa Katoliki] liliwatesa wazushi."

Maneno haya yamenukuliwa kutoka katika kitabu cha 'THE CATHOLIC CHURCH, THE RENAISSANCE AND PROTESTANTISM', uk.182-184


58bc1bae0ed34781ced8dae24d6c21fe.jpg
 
"Kanisa Katoliki... lina hofu kuu ya kumwaga damu. Hata hivyo, linapokabiliwa na UZUSHI [HERESY]... LINALAZIMIKA KUTUMIA NGUVU, kutoa adhabu ya kupigwa viboko mwilini, na KUTESA. Linaunda mahakama kama ile ya Inkwizisheni (Inquisition). Linatumia SHERIA ZA SERIKALI kulisaidia... Lilifanya hivyo hasa katika karne ile ya 16 kuhusiana na WAPROTESTANTI... Katika nchi ya Ufaransa, chini ya [wafalme] Francis I na Henry II, katika
nchi ya Uingereza chini ya (Malkia) Mary Tudor, [Kanisa Katoliki] liliwatesa wazushi."

Maneno haya yamenukuliwa kutoka katika kitabu cha 'THE CATHOLIC CHURCH, THE RENAISSANCE AND PROTESTANTISM', uk.182-184


58bc1bae0ed34781ced8dae24d6c21fe.jpg
Ellen G. White!

Naomba link ya kitabu au PDF
 
Great Disappointment ni mauaji makubwa ambayo dunia haitoweza kuja kusahau kamwe

Nabii Mke Ellen yupo anateketea Jehanum kwa mauaji haya makufuru ya Roho Mtakatifu


Nipo[/QUOTE]
Machi 12, 2000 Papa Yohana Paulo II (John Paul II) alikubali kwamba kanisa liliua Wakristo zaidi ya milioni 100, na akaomba msamaha kwa ajili ya mauaji yaliyofanywa na kanisa (thibitisha hapa:"Truth Provided Newsletter -The Pope and Forgiveness?"]Truth Provided Newsletter -The Pope and Forgiveness?)

Kwa vyovyote, hakuna kanisa lingine lililolewa damu ya mashahidi wa Yesu, ila ni kanisa la Romani Katoliki pekee



51233a44a92bcedea865ec61a1c5dcb2.jpg


YHWH IS GOOD
 
Waroma walitesa watu, pia
nchi za kiislam (uislam) ulitesa/unatesa watu
Nchi za kibepari zilitesa na zinatesa watu na
nchi za kijamaa (socialism) zilitesa na zinatesa watu
Zote hapo ukatili ni uleule na vimetabiliwa kwenye bible. unatambua hilo!!?
HIZO NI NGUVU ZILIZOGAWIKA KATIKA MAKUNDI MAKUU 4 NA KIA KUNDI LINA RANGI YAKE INAYOJITAMBULISHA, Imeonyeshwa kwenye ufunuo; japo ukipita juu juu hutaambulia kitu utabaki kuokoteza, rangi zao ni
Uislam rangi kijani iliyopauka (angalia bebdera zao)
Socialism rangi nyekundu (angalia bendera za Urusi, China)
Ubepari Rangi nyeusi na Ukatoliki rangi nyeupe
Hizo nguvu zinafanya kazi inayofanana,
ILA KWA SABABU HUJUI KITU UNADAKA VYA KUoKOTEZA UNALETA HUMU WASIOELEWA ndio wapotee zaidi
 
Sometimes Jf unabishana bila kujua na vitoto ambavyo bado ubongo una_undergo maturity phase
unakosea mdau, kwanza hapa aujaja kwa dhumuni la kubishana ni kuelimisha
Pili miaka 23 uyo sio mtoto mdogo ni kijana na usimkejeli kwa umri wake, ingawa ni kijana lakini anaweza akawa na jambo la kubadilisha mawazo yako!
 
Eti umemalizana na mm, nipo jukwaa la wakubwa na nitakuwepo siku zote

Imekuuma enhee,

Nitawanyoosha tu,

Next time dont bring a knife into gun fight [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF ni tofauti na fb uku unabutuliwa ukiwa mbali just take a chill pill bro' wasije wakafukua makaburi yako mengine.
 
Waroma walitesa watu, pia
nchi za kiislam (uislam) ulitesa/unatesa watu
Nchi za kibepari zilitesa na zinatesa watu na
nchi za kijamaa (socialism) zilitesa na zinatesa watu
Zote hapo ukatili ni uleule na vimetabiliwa kwenye bible. unatambua hilo!!?
HIZO NI NGUVU ZILIZOGAWIKA KATIKA MAKUNDI MAKUU 4 NA KIA KUNDI LINA RANGI YAKE INAYOJITAMBULISHA, Imeonyeshwa kwenye ufunuo; japo ukipita juu juu hutaambulia kitu utabaki kuokoteza, rangi zao ni
Uislam rangi kijani iliyopauka (angalia bebdera zao)
Socialism rangi nyekundu (angalia bendera za Urusi, China)
Ubepari Rangi nyeusi na Ukatoliki rangi nyeupe
Hizo nguvu zinafanya kazi inayofanana,
ILA KWA SABABU HUJUI KITU UNADAKA VYA KUoKOTEZA UNALETA HUMU WASIOELEWA ndio wapotee zaidi
Acha kubwabwaja

Wote hao hakuna aliyeua weng kama RC

Rc imeua zaid ya watu mil 100 unalijua hilo au unabwabwaja tu

YHWH IS GOOD
 
kweli waroma wanakunyima usingizi,,poye
Fuata imani yako acha kuponda dini nyingine haikusaidiii,,fuata unaloamini wewe
 
binadamu ukivika uwendawazimu pale na kupofusha fikra zao, kufunga akili zao ili isikubali kupokea elimu inayojarbu kiwatoa kifungoni kwa mgongo wa kuamini.........Good AROON toa somo kwa wenye kutaka kuelewa wataelewa

Sent from my SM-A500FU using JamiiForums mobile app
 
binadamu ukivika uwendawazimu pale na kupofusha fikra zao, kufunga akili zao ili isikubali kupokea elimu inayojarbu kiwatoa kifungoni kwa mgongo wa kuamini.........Good AROON toa somo kwa wenye kutaka kuelewa wataelewa

Sent from my SM-A500FU using JamiiForums mobile app
Kina nani hao watataka kuelewa...? Labda Wasabato
 
Good AROON toa somo kwa wenye kutaka kuelewa wataelewa
wewe mwanafunzi
ivi vipolo hapa chini mwalimu wako hajaleta majibu mpaka leo

msaidie mwali wako kujibu ivo vipolo

SWALI: nini maana ya KUABUDU,

naomba mambo 7 tu ambayo yakifanywa mtu juu ya kitu fulani huonesha kuwa mtu huyo ANAKIBUDU ICHO KITU (yamo ndani ya hiyo biblia yako, unayojidai kuwa unautalamu nayo) ??????????????????????????

SWALI: ukisoma Kumb. 20:3 – 5, mungu amekatazwa kuchonga sanamu

ila Mungu huyo huyo aliyewakataza Waisraeli kuchonga sanamu, mbele kidogo anamwagiza Musa huyo huyo kuchonga sanamu ya makerubi katika sanduku la Agano (makerubi ni vitu vya mbinguni) ( Kumb. 25:18 – 20, Ebr. 9:5). Hapa Mungu ameonekana kutengua kile ambacho alisema pale mwanzoni kuwa wasichonge sanamu yoyote........... NAOMBA MAELEZO ????????????

SWALI: Kama haitoshi, ukienda mbele kidogo ya kitabu hicho cha Kumbukumbu la Torati Mungua anafanya mchezo wa hatari zaidi wa kumwambia Musa achonge nyoka wa shaba (kitu cha duniani) na kumweka kwenye mti na kila amtazamaye angepona. (Hes. 21: 8-9, Yoh. 3:14 – 15)...............NAOMBA MAELEZO ????????????

SWALI: picha/sanamu ambazo umetundika hapo ndani kwako au izo zilizo ndani ya simu yako au ambazo huwa unapiga kwenye masherehe NI ZA NINI ? (wakati biblia yenyewe inakataza hata kuzichonga/kuzitengeneza)

AU IZO PICHA ZA MCHUMBA WAKO/ MKE WAKO / RAFIKI/ NDUGU WA KARIBU AMBAZO HUWA UNAZIBUSUBUSU ZENYEWE SI SANAMU ???
NAOMBA MAELEZO...............................


SWALI: picha mlizotundika kwenye kuta za hapo kanisani kwenu unakosalia ni za nini (wakati biblia yenyewe inakataza hata kuzichonga/kuzitengeneza) ???????

mmedai kuwa wakatoliki wamenyofoa amri ya pili na kuiweka kando

Nanukuu (kutoka 20:3-5)
3“Usiwe na miungu mingine ila mimi. 4“Usijifanyie sanamu ya kuchonga katika umbo la kitu cho chote kilicho juu mbinguni au duniani chini au ndani ya maji. 5Usivisujudie au kuviabudu”

SWALI : naomba tofauti ya kimaana au ya neno kwa neno ya hiyo aya ya tatu(AMRI YA KWANZA) na iyo aya ya nne (AMRI YA PILI, UNAYODAI TUMEINYOFOA)???????????

SWALI: Naomba unieleze/unipe sababu ni kwanini Yule kijana myahudi alimuuliza yesu kuwa AMRI ILIYO KUU IPI ???????????????

SWALI: naomba unieleze ni kwa nini yesu alipoulizwa kuhusu amri za mungu, yeye hakuanza kama unavodai wewe ila alianza kutaja kwa kuanzia na amri ya tano, au mfululizo(arrangement) unaoudai wewe hakuwa anaujua naomba maelezo ????????

NA UKIKOSA MAJIBU USIRUDI
 
Aanze kwanza kujinyoosha yeye na hamu yake ya kingono.
NAMSHANGAA HUYU MSABATO NA ROMAN CATHOLIC EVERY TIME. DONT YOU HAVE OTHER BUSINESS TO GO THROUGH? I ONCE SAID YOU HAVE TO GET A LESSON ABOUT THE ORIGIN OF RELIGION. YOU KNOW NOTHING. I AM A MUSLIM BUT I DONT SUPPORT WHAT YOU ALWAYS SAY.
 
wewe mwanafunzi
ivi vipolo hapa chini mwalimu wako hajaleta majibu mpaka leo

msaidie mwali wako kujibu ivo vipolo

SWALI: nini maana ya KUABUDU,

naomba mambo 7 tu ambayo yakifanywa mtu juu ya kitu fulani huonesha kuwa mtu huyo ANAKIBUDU ICHO KITU (yamo ndani ya hiyo biblia yako, unayojidai kuwa unautalamu nayo) ??????????????????????????

SWALI: ukisoma Kumb. 20:3 – 5, mungu amekatazwa kuchonga sanamu

ila Mungu huyo huyo aliyewakataza Waisraeli kuchonga sanamu, mbele kidogo anamwagiza Musa huyo huyo kuchonga sanamu ya makerubi katika sanduku la Agano (makerubi ni vitu vya mbinguni) ( Kumb. 25:18 – 20, Ebr. 9:5). Hapa Mungu ameonekana kutengua kile ambacho alisema pale mwanzoni kuwa wasichonge sanamu yoyote........... NAOMBA MAELEZO ????????????

SWALI: Kama haitoshi, ukienda mbele kidogo ya kitabu hicho cha Kumbukumbu la Torati Mungua anafanya mchezo wa hatari zaidi wa kumwambia Musa achonge nyoka wa shaba (kitu cha duniani) na kumweka kwenye mti na kila amtazamaye angepona. (Hes. 21: 8-9, Yoh. 3:14 – 15)...............NAOMBA MAELEZO ????????????

SWALI: picha/sanamu ambazo umetundika hapo ndani kwako au izo zilizo ndani ya simu yako au ambazo huwa unapiga kwenye masherehe NI ZA NINI ? (wakati biblia yenyewe inakataza hata kuzichonga/kuzitengeneza)

AU IZO PICHA ZA MCHUMBA WAKO/ MKE WAKO / RAFIKI/ NDUGU WA KARIBU AMBAZO HUWA UNAZIBUSUBUSU ZENYEWE SI SANAMU ???
NAOMBA MAELEZO...............................


SWALI: picha mlizotundika kwenye kuta za hapo kanisani kwenu unakosalia ni za nini (wakati biblia yenyewe inakataza hata kuzichonga/kuzitengeneza) ???????

mmedai kuwa wakatoliki wamenyofoa amri ya pili na kuiweka kando

Nanukuu (kutoka 20:3-5)
3“Usiwe na miungu mingine ila mimi. 4“Usijifanyie sanamu ya kuchonga katika umbo la kitu cho chote kilicho juu mbinguni au duniani chini au ndani ya maji. 5Usivisujudie au kuviabudu”

SWALI : naomba tofauti ya kimaana au ya neno kwa neno ya hiyo aya ya tatu(AMRI YA KWANZA) na iyo aya ya nne (AMRI YA PILI, UNAYODAI TUMEINYOFOA)???????????

SWALI: Naomba unieleze/unipe sababu ni kwanini Yule kijana myahudi alimuuliza yesu kuwa AMRI ILIYO KUU IPI ???????????????

SWALI: naomba unieleze ni kwa nini yesu alipoulizwa kuhusu amri za mungu, yeye hakuanza kama unavodai wewe ila alianza kutaja kwa kuanzia na amri ya tano, au mfululizo(arrangement) unaoudai wewe hakuwa anaujua naomba maelezo ????????

NA UKIKOSA MAJIBU USIRUDI
Umejibiwa huelewi

Kaa hivio hivo had YESU arud akukute unaabudu sanamu

YHWH IS GOOD
 
Back
Top Bottom