Kijue chombo maalumu Inkwizisheni (Inquisition) cha kutesa

Kijue chombo maalumu Inkwizisheni (Inquisition) cha kutesa

We became what we think most, our inner world realised by outer world, hivyo basi haya ni matokeo ya kile tunachokiwaza zaidi watanzania, nani mwenye uhakika kuwa dini au dhehebu lake ni sahihi, kwa udhibitisho upi aliofanya? dini zote na madhehebu yote yanatoka kwao mbaya zaidi na material yote yanatoka kwao, tuna uhakika kiasi gani kama hawadanganyi ni ukweli wanachotupa ni ukweli au tupo bize kumeza sumu zao na kujiona tupo karibu na Mungu na kuwaona wengine wamepotoka? Amka Afrika, tuwe bize kujenga sio criticise hazisaidii, duniani hakuna mtu aliyeendelea katika jambo lolote lile kwa kumpinga au kuonyesha mabaya ya mwengine.. Toka ulipo. Waza tofauti Tanzania inatuitaji.

Mpita njia na Porojo za mtaani
 
Nahis jamaa anaonewa baada ya kushusha data ikatumika mbinu ya kushusha masuala yake ya huko nyuma.

Binafsi sioni ajabu sababu hata katika bible watu wengine waliotumwa na Mungu hapo kabla walikuwa si wasafi kiroho.

Ebu chukulia mtu kama Mtume Paulo alivyokuwa muujaji wa kutisha. Watu kama kina suleimani na wake kibao, Mfano mwingine ni yule mwanamke Malaya aliyesamehewa dhambi zake na Yesu eti kwa kuwa Nduguze wanafiki walitaka kumuua kwa dhambi za Uzinzi.

Je, na ninyi mnataka kuhudhirishia ulimwengu kwamba ni wanafiki!? Kwamba hamfanyi ngono!? Kwamba hamjawai tenda dhambi!? Kama jibu ni ndyo basi na muwe wa kwanza kumrushia mawe mleta mada hapa Jukwaani!!

Mwisho wa siku naelekea kukunaliana na hoja za jamaa maana naona anataka kushinda kwa fact ili kumzima anaibuliwa mambo yale wengine wanadai hawayafanyi. Huku ni kushindwa Vibaya. Kwa kifupi mnaonesha mngekuwa karibu na mleta mada mngeweza hata kumchoma visu au kumuangamiza kwa namna yoyote ile.

Wito wangu endeleeni kuleta hoja za kupinga hoja. Kuhusu mada husika. Huo ndio Ugreat thinker wenyewe.

Pia AARON ushauri wangu jitahidi uwe na uzi mmoja tu si kuanzisha uzi mpya kila siku utawafanya watu waseme una chuki na kanisa kumbe labda nia yako ni kuelimisha labda.
Kama hata Mtume Paulo hakuwa msafi kiroho basi Papa hana hatia wala katoliliki pia.
discussion closed.
 
Kwa hiyo sasa hivi Aaron ameokoka

Ndio hayahaya yanayoongelewa kia siku lakini kwa kuwa akili za watu wengine ni fupi kama maisha funza wengi wao ni wagumu kuelewa kwa kweli.

Iwe ameokoka iwe hajaokoka wewe unachotakiwa ni kutoa kwa boliti kwenye jicho lako kabla ya kutoa kibanzi kwenye jicho la mwenzako.

Ama kweli. Kazi kweli kweli.
 
KIOO kwa kinyamwezi ni [HASHTAG]#shilole[/HASHTAG]!! Au ndio wewe mkuu!!

Kumbe ni kwa kinyamwezi. Basi vyema.

Mada imewekwa ili mjibu mada kwa hoja unaleta habari za shilole hapa ili kuamini tu kuwa lengo kuu lisionekane, la hasha.

Usiwe kama nyani kwa kuamini kuwa ukijiziba uso basi na wengine hawakuoni eti tu kwa kuwa wee huwaoni eti umejiziba macho.

Usiwe na akili kama nyani kwa kushindwa kuliona kundulo mkuu.

Ni hatari sana kiongozi.
 
Kumbe ni kwa kinyamwezi. Basi vyema.

Mada imewekwa ili mjibu mada kwa hoja unaleta habari za shilole hapa ili kuamini tu kuwa lengo kuu lisionekane, la hasha.

Usiwe kama nyani kwa kuamini kuwa ukijiziba uso basi na wengine hawakuoni eti tu kwa kuwa wee huwaoni eti umejiziba macho.

Usiwe na akili kama nyani kwa kushindwa kuliona kundulo mkuu.

Ni hatari sana kiongozi.
afadhari watoto wako wachukue akili za baba yao, wakirithi hizo zako, Tanzania ya viwanda tutaisubiri sana!!
 
afadhari watoto wako wachukue akili za baba yao, wakirithi hizo zako, Tanzania ya viwanda tutaisubiri sana!!

Usibabaishe kwa kujiziba macho mkuu wee sio nyani.
 
Unachofanya ni character assassination kwa jamaa,, pambana nae kwa hoja sio kuleta post zake zilizopita.
Siyo kweli. Anahangaika na mambo ya kiroho. Nilitegemea kuona kuwa yeye pengine ametuzidi sisi watenda dhambi. Kumbe naye ni majiganyanza. Huwa sipendi watu wanafiki hasa kwenye mambo ya kiroho. Siyo mchungaji anapayuka mimbarini halafu akitoka hapo anakwenda kufanya kinyume chake. Ingekuwa ni mada ya kisiasa wala nisingekuwa na tatizo naye. Niliona ukakasi sana nilipoona posts zake hizi za juzi juzi tu hapa na nikashindwa kuvumilia. Sorry !!!
 
Mmeshindwa kwa hoja mnaanza kufukunyua nyuzi za MMU NA JUKWAA LA WAKUBWA kule watu wanapost kupoteza stress na kuburudisha , KAMA NYINYI WANAUME PAMVANENI NA AROON, KWA HII MADA
Sawa helen G white wa bongo
 
Kwan nisiwe na hamu ya ngono mm mgonjwa?
Naona hata avatar umebadilisha. Umeondoa picha ya Mh. Lowassa na kuweka hii ya timu ya mpira. Pengine imekusaidia lakini ingekuwa ni bora zaidi kama ungebadilisha avatar yako ya kiroho ili uwe na moral authority ya kukosoa wengine. Vinginevyo utaendelea kuwa mnafiki tu !
 
Naona hata avatar umebadilisha. Umeondoa picha ya Mh. Lowassa na kuweka hii ya timu ya mpira. Pengine imekusaidia lakini ingekuwa ni bora zaidi kama ungebadilisha avatar yako ya kiroho ili uwe na moral authority ya kukosoa wengine. Vinginevyo utaendelea kuwa mnafiki tu !
Aisee una kazi sana , unanipangia avatar ?

Mimi nitawanyoosha tu
 
Aisee una kazi sana , unanipangia avatar ?

Mimi nitawanyoosha tu
Soma vizuri uone avatar ninayoizungumzia. Unafiki wako uko wazi sasa na umeshapoteza credibility. Nobody will take you seriously no more. Huna moral authority ya kumnyoosha ye yote. Hasa hasa utageuka na kuwa case study ya unafiki wa nyie wafia dini.

Nyoosha kwanza maisha yako ya kiroho na uachane na hii misplaced belief kwamba kwa vile unasali Jumamosi na kushika hii misheria ya Kifarisayo basi mbingu ni yako na wengine wote wamepotea.

Nadhani nimeshamalizana nawe and I am out. Kazania masomo yako; na Mungu Akusaidie na kukuonyesha njia. Ubarikiwe!!!
fa52b5065a763dcafaf03103998f7e70.jpg
 
Dogo ni denti na amenyweshwa sumu za Waadventista Wasabato zikamkolea sawasawa. Kuanzia mwaka mpya anapambana na Papa na Wakatoliki kwa nguvu zote. Maajabu hata hivyo ni kwamba kutokana na juhudi hizi ungetegemea kuwa yeye mwenyewe angekuwa anajitahidi kunyoosha maisha yake kwanza. Pengine anadhani kuwa, kama Wasabato wengi wanavyodhani, ile kusali tu siku ya Jumamosi na kushika sheria butu za Mafarisayo, basi moja kwa moja ni tiketi ya kwenda mbinguni. Nimepitia baadhi ya post zake na nimeshangaa sana. Kuhukumu ni kazi ya Mungu lakini angalau ningetemea kuona juhudi za kibinadamu kujaribu kuwa karibu na Mungu? Post zake nyingi zina ukakasi sana. Unafiki wa kutisha!
34e42e7c4c4c0731843724abb6e68014.jpg
f8ae50f547f159e9f698c8fd89451e21.jpg
d27ffb62afc955b0dab8d43b7273ba01.jpg
82e31da050386b410208a6820132f349.jpg
4a4c74065373b2aa9197007ac83c4a35.jpg
052a2109fc0836ed1f059c4a7962e1c4.jpg
Dah hapo umemwacha uchi kabisa. Kila mtu amemjua ni mtoto wa aina gani. Afu cha kushangaza hao watu alio wa mention wanaheshima zao. Yeye analeta utoto. Isembo la warumu Aroon
 
Back
Top Bottom