Kijue chombo maalumu Inkwizisheni (Inquisition) cha kutesa

Wafarisayo katika ubora wenu.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
AROON
JF-Expert Member, 23
AROON was last seen:Jan 3, 2017 at 8:36 AM
About
Birthday:Jan 11, 1993 (Age: 23)
Interact
Content:
Find all content by AROON
Find all threads by AROON
Conversation:Start a Conversation
Signature
YHWH IS GOOD ALL THE TIME !!
Shahidi wa yehova!
 
Acha kubwabwaja

Wote hao hakuna aliyeua weng kama RC

Rc imeua zaid ya watu mil 100 unalijua hilo au unabwabwaja tu

YHWH IS GOOD
Ushahidi uko wapi?

Don't tress urself with knowing all answers to every question. Don't worry nobody will be clever enough to ask you
 
Samahani lakini, hivi Harmagedoni ilishaanza tayari? Au bhado?!
 
Sema waliokuwa wanahoji Ukatoliki kama Martin Luther waliteswa na kuuawa.
Hujaona hapo namna walivyokuwa kinyume na Waprotestant na wasomaji wa Biblia?
Chombo maana yake siyo karai ama kikapu. Ni idaraaau muundo.

Hakikuwa chombo bana,ile ni hali iliyopitiwa kipindi hicho wasio wakristo waliteswa na kuuawa sana
 
Sema waliokuwa wanahoji Ukatoliki kama Martin Luther waliteswa na kuuawa.
Hujaona hapo namna walivyokuwa kinyume na Waprotestant na wasomaji wa Biblia?
Chombo maana yake siyo karai ama kikapu. Ni idaraaau muundo.
Dah! kwahiyo hicho chombo cha kutesea kipo mpaka leo au kimeshavunjika!! 😀😀
 
Umejibiwa huelewi
wewe nishaga kwambiia kuwa sitakujibu chochote, wala sina mjadala wa kimantiki na kihoja na wewe, nishagundua huo uwezo huna

ila siku akili zikikukaa sawa UNITAG
hapo ndo nitafungua jarada rasmi la mijadala na wewe

otherwise tafuta wa size yako.............................
 
ukistaajabu ya musa utayaona ya ................................

CHA MWANADAMU KITAKUFA TU, CHA MUNGU LAZIMA KIONEKANE JUU,
si maneno yangu hayo ni ya bahati bukuku........................

umenikumbusha adithi ya GAMALIELI (mwandishi na mwalimu wa sheria wa kiyahudi)........

usishangae ukaambiwa kuwa, huo ulikuwa ni utabiri wa ELLEN G WHITE kuwa itafika hatua kuanzia na marekani watu wote watalazimishwa kusali jumapili..........

na usishangae ukaambiwa kuwa hiyo ndo chapatya mnyama wa ufunuo na kila mmoja atalazimika kupigwa chapa hiyo.............................
 
“Tupende au tusipende, tuwe tayari au tusiwe tayari,
sisi sote tunaingizwa katika mashindano kamili
ya aina tatu ya ulimwengu huu, ambayo hayana
kizuizi cho chote kilichowekwa. Hata hivyo,
wengi sana miongoni mwetu si washindani. Sisi
ni mambo tu zilizopigiliwa njiani. Kwa maana
shindano hilo ni juu ya nani atakayeuanzisha
mfumo wa kwanza wa serikali ya ulimwengu mzima
ambayo haijapata kuwako kamwe katika jamii hii ya
mataifa … Shindano hilo ni la kufa na kupona kwa
sababu, kwa vile sasa limeanza, basi, hakuna njia yo
yote inayoweza kuligeuza au kulisimamisha.”
Malachi Martin, Mjesuti, azijuaye siri za ndani zaVatikani,
Keys of This Blood, uk. 15.

YHWH IS GOOD
 
Acha kubwabwaja

Wote hao hakuna aliyeua weng kama RC

Rc imeua zaid ya watu mil 100 unalijua hilo au unabwabwaja tu

YHWH IS GOOD
Nimetambua upeo wako wa kutafakari/kuchambua hoja za mambo, kubishano na wewe ni kupoteza muda.
Nikuache kwa hoja hii; kwa sasa kati ya hao nani anaua zaidi, na muda wa mbeleni unajua nani ataua zaidi, tafakari ukizingatia kuna vita ya dunia ya 3 imetabiliwa kwenye bible!!!
 
Mkuu salute kwako!!....

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
FACTS
Dini zote zimeua watu wakati wa kuenezwa kwake
Kuanzia uyahudi..ukristo hadi Uislam na hakuna chochote mtu atajustify mauaji hayo
All in all Mungu yupo ila hizi dini zote haijalishi uko dhehebu gani jua ni magumashi tu maana zimeletwa na wanadamu na ndio maana zina makasoro kibao na kila siku wanabadili hiki wanaweka hiki
Cha Mungu hakika kasoro.
Tenda Mema(huitaji dini kufanya haya).
Sasa nyie fieni hizo dini na madhehebu as if Yesu alishajinasibu kwamba yeye ni dhehebu lenu
"Watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa"

Post sent using JamiiForums mobile app
 
RC NDIO MAMA WA LAANA DUNIANI

ISAYA 24:4-6 Dunia inaomboleza,
inazimia; ulimwengu unadhoofika,
unazimia; watu wakuu wa dunia
wanadhoofika. Tena dunia imetiwa
unajisi kwa watu wanaoikaa; kwa
maana wameziasi sheria,
wameibadili amri, wamelivunja
agano la milele. Ndiyo sababu laana
imeila dunia hii, na hao wanaoikaa
wameonekana kuwa na hatia, ndiyo
sababu watu wanaoikaa dunia
wameteketea, watu waliosalia
wakawa wachache tu.
SABABU YA KWANZA –WAMEZIASI
SHERIA ZA MUNGU
KATIKA KIPENGELE HIKI TUTATUMIA
USHAHIDI WA BIBLIA NA, KITABU
CHA KATEKISIMU NDOGO YA
KANISA KATOLIKI UK 56, ILI
KUDHIBITISHA;
A. Amri kumi katika biblia KUTOKA
20:1-17 na Amri kumi katika
katekisimu ndogo ya kanisa katoliki;
I. AMRI YA KWANZA KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:1-3
Mimi ni Bwana, Mungu wako,
niliyekutoa katika nchi ya Misri,
katika nyumba ya utumwa.Usiwe na
miungu mingine ila mimi
AMRI YA KWANZA KATIKA
KATEKISIMU
Ndimi Bwana Mungu wako,
usiabudu miungu wengine
II. AMRI YA PILI KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:4-6
Usijifanyie sanamu ya kuchonga,
wala mfano wa kitu cho chote
kilicho juu mbinguni, wala kilicho
chini duniani, wala kilicho majini
chini ya dunia.Usivisujudie wala
kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana,
Mungu wako, ni Mungu mwenye
wivu; nawapatiliza wana maovu ya
baba zao, hata kizazi cha tatu na
cha nne cha wanichukiao, nami
nawarehemu maelfu elfu
wanipendao, na kuzishika amri
zangu
AMRI YA PILI KATIKA KATEKISIMU
Usilitaje bure jina la Mungu wako
III. AMRI YA TATU KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:7
Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu
wako, maana Bwana hatamhesabia
kuwa hana hatia mtu alitajaye jina
lake Bure
AMRI YA TATU KATIKA KATEKISIMU
Shika kitakatifu siku ya Mungu
IV. AMRI YA NNE KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:8-11
Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
Siku sita fanya kazi, utende mambo
yako yote; lakini siku ya saba ni
Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku
hiyo usifanye kazi yo yote, wewe,
wala mwana wako, wala binti yako,
wala mtumwa wako, wala mjakazi
wako, wala mnyama wako wa
kufuga, wala mgeni aliye ndani ya
malango yako. Maana, kwa siku sita
Bwana alifanya mbingu, na nchi, na
bahari, na vyote vilivyomo,
akastarehe siku ya saba; kwa hiyo
Bwana akaibarikia siku ya Sabato
akaitakasa.
AMRI YA NNE KATIKA KATEKISIMU
Waheshimu Baba na Mama, upate
miaka mingi na heri Duniani
V. AMRI YA TANO KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:12
Waheshimu baba yako na mama
yako; siku zako zipate kuwa nyingi
katika nchi upewayo na Bwana,
Mungu wako.
AMRI YA TANO KATIKA KATEKISIMU-
Usiue
VI. AMRI YA SITA KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:13
Usiue.
AMRI YA SITA KATIKA KATEKISIMU
Usizini
VII. AMRI YA SABA KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:14
Usizini
AMRI YA SABA KATIKA KATEKISIMU-
Usiibe
VIII. AMRI YA NANE KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:15
Usiibe
AMRI YA NANE KATIKA KATEKISIMU
Usiseme uongo
IX. AMRI YA TISA KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:16
Usimshuhudie jirani yako uongo
AMRI YA TISA KATIKA KATEKISIMU
Usitamani mwanamke asiye mke
wako
X. AMRI YA KUMI KATIKA BIBLIA
KUTOKA 20:17
Usiitamani nyumba ya jirani yako,
usimtamani mke wa jirani yako; wala
mtumwa wake, wala mjakazi wake,
wala ng'ombe wake, wala punda
wake, wala cho chote alicho nacho
jirani yako
AMRI YA KUMI KATIKA KATEKISIMU
Usitamani mali ya mtu mwingine
MAELEZO MAFUPI
Angalia hizo amri utaona ujanja
uliofanyika amri ya pili imeondolewa
kabisa kwa mjibu wa biblia na amri
ya kumi imegawanywa zikawa mbili
ilikusudi ijaze nafasi ya amri
iliyoondolewa ilimradi tu ziwe kumi

YHWH IS GOOD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…