Kikaangoni: Utapeli wa BSS ya Madam Rita, washindi wa nyuma nao wafuatiliwe

Kikaangoni: Utapeli wa BSS ya Madam Rita, washindi wa nyuma nao wafuatiliwe

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
ksksk.jpg


Maskini vijana wa watu wakishinda bss tukiwaona mtaani bado hali zao za uchumi zimeyumba zinaanza stori kwamba wamefanyia hela umalaya, ulevi au starehe za kipuuzi, Kumbe hakuna kitu kama hicho, Vijana waambulia kupewa milioni 1 tu😱😱

Jumanne Iddi, Walter Chilambo, Ramadhan, Kayumba: wote kusema kweli uchumi na muziki vyote vimeyumba, wengine wamerudi mtaani utawaonea Huruma.

Inasemekana kwamba katika ile milioni 50 mshindi anapewa milioni 29 cash na milioni 30 inapigwa na kina Rita kwa kisingizio cha kipuuzi cha kumwendeleza msanii kitu ambacho hawajawahi kukifanya. Hio milioni 20 hapo unapewa milioni 1 tu, na ndo imetoka hiyo na ushahidi ni huyu kijana ambaye kushinda 2019 kawawashia moto hawa matapeli wanaojifanya wanaishi maisha ya juu huko Insta kumbe ni matapeli wa hali ya juu.

Ningependa kujua nini kilimkuta Jumanne Iddi, Walter, Ramadhan na Kayumba ambaye hana mbele wala nyuma kimuziki. Kuna kila ishara hapa walipata tu milioni 2 au pungufu na umaarufu uliogeuka kuwa mzigo.

Yani nimegundua kwanini walikuwa wanawaengua mapema wale vijana ambao walionekana kuwa na msimamo flani hivi wa kujiamini na kuwafanya kina Kayumba (aka katoto) washinde, huenda walikuwa wanataka watu ambao ni rahisi kuwa control washinde.

Mwaka huu hizo hela mtazitapika tu.

Nay Wa mitego aliwahi kuimba hili akaonekana muongo ila leo ukweli umedhihirika nae akatoa mawili matatu.


 
Ndio maana sijawahi kuiamini hii Bongo Star Search!

ᴱᵛⁱᵗᵉᶻ ˡᵉˢ ʳᵃˢˢᵉᵐᵇˡᵉᵐᵉⁿᵗˢ ⁱⁿᵘᵗⁱˡᵉˢ ᵉⁿ ᵒᵈʳᵉ ᵖᵒᵘʳ ᵃʳʳᵉᵗᵉʳ ˡᵃ ᵖʳᵒᵖᵃᵍᵃᵗⁱᵒⁿ ᵈᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ¹⁹
 
Aiss...hatari sana

"corona ipo tuchukue tahadhari"
 
Ndo mana hawa washindi wanapotea sana. Watu walianza kumlaumu uyu mshindi wa mwaka 2019 kwamba tunakusapoti Ila hutupi hata Mia . Kumbe huyu madame kamnunulia mavazi tu na kumuuzisha sura.

Chilambo anaujuzi jinsi alivyozulumiwa umeshindwa kumpa taarifa Fukuta utapeli wa BSS. Majirani mnazingua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kala Jeremiah nadhani kwenye million 5 aliambulia million 2, nyingine wakamwambia watampa bodaboda na kumfanyia shopping ya nguo. Walimsumbua sana.

Jr[emoji769]

Kwanini msifuatilie na kulianzisha ili vijana wasizulumiwe? hawa ni majambazi kabisa na hawana tofauti na wale wanaoiba kwa mtutu, vijana wengine waliunga juhudi za chama nao kule wakadhulumiwa hivyohivyo sasa sijui waende wapi ili kupata haki zao?
 
Kala Jeremiah nadhani kwenye million 5 aliambulia million 2, nyingine wakamwambia watampa bodaboda na kumfanyia shopping ya nguo. Walimsumbua sana.

Jr[emoji769]
Hivi kile kipindi walikuwa wanaahidi milioni 5 au 20, nmesahahu kidogo....nahisi walimpa milioni 2 tu ila kala jerimiaha nae angezubaa saizi angekuwa mtaani kafulia, kaji push sana kwenye mziki
 
Aisee! Sasa kwanini hawaitishi press conference kuwaibisha hawa watu. Kumbe yule madam Rita mhuni hivyo sikuwahi kudhania kabisa!
Waliitisha jana, yule dogo aliyeshinda kalalamika kapewa milioni 1 tu mpaka sasa
 
Kala Jeremiah hakuwahi kushinda BSS mkuu, kama sikosei alishinda Jumanne Idd ila kala Jeremiah aliingia Top 5 na mshindi ndio alikuwa Jumanne Idd

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah ona sasa, huyo jumanne hadi tumemsahau maana hatukuona cha ajabu ambacho hizo milioni 50 zingemfanyia, watu wakaishia kutupa lawama kamalizia kwenye anasa
 
Hivi kile kipindi walikuwa wanaahidi milioni 5 au 20, nmesahahu kidogo....nahisi walimpa milioni 2 tu ila kala jerimiaha nae angezubaa saizi angekuwa mtaani kafulia, kaji push sana kwenye mziki
kimsingi kala anafahamika kwa msuli wake,bss haina mchango.ona hata watu hawakumbuki alikuwa mshindi wa ngapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom