Kikaangoni: Utapeli wa BSS ya Madam Rita, washindi wa nyuma nao wafuatiliwe

Kikaangoni: Utapeli wa BSS ya Madam Rita, washindi wa nyuma nao wafuatiliwe

Aisee mambo yanazidi kuwa mazito, nimetoka kuangalia interviews mbili hapa za waliopats kuwa washindi wa hili shindano
1.Jumanne Idd anadai alipewa gari (COROLLA USED) na sofa basi mchezo ukaishia hapo kila mtu kwao.

2.KAYUMBA (2015) yeye anadai baba yake alipewa million 2 na mama yake pia million mbili, akalipiwa wimbo wa katoto video& Audio, alipewa gari aina ya porte ila ulikuwa mkweche ambapo dogo akauza screpa kwa 1.8m, aliambiwa pesa nyingine atajengewa nyumba lkn hadi leo dogo hajawahi kupewa hati ya hiyo nyumba....anachokumbuka zaidi alikuta sh 15,000/= kwenye account yake baada ya hapo mchezo ukawa umekwisha dogo akaanza kupakuka mtaani na ameongeza kwamba huwa inawawia vigumu kupata support ya wadau coz kila wakigusa wanaambiwa wewe si umeshinda 50M jisukume mwenyewe na amempongeza meshack kwa kuwa jasiri.
Mambo ni magumu sana jamani na hii corona hebu tuendelee kunawa mikono tu[emoji114]


Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh yaani badala umuwekee mtu mil50 zake kwenye account unaanza kumfanyia na kumpangia matumizi. Mara sijui nakujengea nyumba unanipa gari bovu etc.
Hawa wawekwe ndani kwa kutapeli na kudanganya umma.
 
Kuna dogo Aliyeshika nafasi ya 2 baada ya Kayumba, nilisikitika sana, mtu aliimba wimbo wake mkali sana eti kayumba akapewa ushindi.

Mwaka jana Leonard alifaa ashinde, jamaa alikuwa poa sana
Ndio maana wanawapa ushindi watu wanaotaka wao.
Kama yule Kayumba sijui alishindaga kwa misingi ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dogo Aliyeshika nafasi ya 2 baada ya Kayumba, nilisikitika sana, mtu aliimba wimbo wake mkali sana eti kayumba akapewa ushindi.

Mwaka jana Leonard alifaa ashinde, jamaa alikuwa poa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Kayumba ukiondoa kukata viuno alivyokuwa anakata, pale hakuna msanii. Msanii alikuwa yule jamaa wa chuga.
 
Kwanini msifuatilie na kulianzisha ili vijana wasizulumiwe? hawa ni majambazi kabisa na hawana tofauti na wale wanaoiba kwa mtutu, vijana wengine waliunga juhudi za chama nao kule wakadhulumiwa hivyohivyo sasa sijui waende wapi ili kupata haki zao?
Ccm yenyewe wanapigishwa kampeni na kudhulumiwa.
JB alinisimulia wanavyoteswa na ccm nilichoka
Awamu Ya Tano Wataumbuka Wengi
Huwezi Kufanya Mtu Mjinga Milele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wangekuwa open tu kwamba hawana pesa za kuwapa toka mwanzo wa mashindano watu wangejipanga kisaikolojia km hakuna zawad kubwa


Sent from my iPhone using JamiiForums
Walishalipwa pesa ya mshindi na startimes waliodhamini haya mashindano, Ila sasa pesa ya mshindi haijamfikia mshindi, itakuwa wameila
 
Huyo Kayumba ukiondoa kukata viuno alivyokuwa anakata, pale hakuna msanii. Msanii alikuwa yule jamaa wa chuga.

Dogo yule aliyeshika namba ya 2, alikuwa na viwango vya juu sana.
Pili kuna binti flani mwembamba ana rap nilitegemea aahinde lakini alichukua mtu wa kawaida sna, jina kama sijakosea anaitwa Kato
 
Aisee! Sasa kwanini hawaitishi press conference kuwaibisha hawa watu. Kumbe yule madam Rita mhuni hivyo sikuwahi kudhania kabisa!
kipindi kile alikuwa anapata confidence ya kuwadhurumu hawa vijana kwasababu alikuwa anatoka kimapenzi na mzee mengi(RIP).

mzee yule alikuwa na connection kubwa serikalini, ukigusa maslahi ya rita, umegusa maslahi ya mengi, hapo lazima ujipange.

ila sasa hana wa mkusaidia kuzima hili sakata. anavuna alichopanda.
 
nimeifuatilia hii story nimegundua mchezo unavyofanyika
hapa kuna uwezekano washindi wanatengenezwa kabla haijafika fainali kunakuwa na makubaliano kati ya mshindi na hao waandaji na mshindi anasigning kuwa kachukua M50

Hii hufanyika michezo yote ya mashindano... sio tanzania tu... duniani kote.... huanyika hivyo kwa kuwa waandaaji wana interest zao..
 
Aisee! Sasa kwanini hawaitishi press
conference kuwaibisha hawa watu.
Kumbe yule madam Rita mhuni hivyo
sikuwahi kudhania kabisa!
Nasikia kuna kipengele katika mkataba kinachomtaka mshindi asiongee na Media yoyote ile kuhusu ushindi wake na kuhusu zawadi thus why walifeli! mkataba uliwafunga ila dogo kaamua liwalo na liwe
 
Back
Top Bottom