Kikaangoni: Utapeli wa BSS ya Madam Rita, washindi wa nyuma nao wafuatiliwe

Kikaangoni: Utapeli wa BSS ya Madam Rita, washindi wa nyuma nao wafuatiliwe

kimsingi kala anafahamika kwa msuli wake,bss haina mchango.ona hata watu hawakumbuki alikuwa mshindi wa ngapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Kala Jeremiah kajibeba mwenyewe kiasi kikubwa, mshindi wa kwanza awamu yao Jummanne Idd sijui alipotelea wapi na lile gari lake nilisikia alikula nalo mzinga wa mkubwa.
 
Aisee mambo yanazidi kuwa mazito, nimetoka kuangalia interviews mbili hapa za waliopats kuwa washindi wa hili shindano
1.Jumanne Idd anadai alipewa gari (COROLLA USED) na sofa basi mchezo ukaishia hapo kila mtu kwao.

2.KAYUMBA (2015) yeye anadai baba yake alipewa million 2 na mama yake pia million mbili, akalipiwa wimbo wa katoto video& Audio, alipewa gari aina ya porte ila ulikuwa mkweche ambapo dogo akauza screpa kwa 1.8m, aliambiwa pesa nyingine atajengewa nyumba lkn hadi leo dogo hajawahi kupewa hati ya hiyo nyumba....anachokumbuka zaidi alikuta sh 15,000/= kwenye account yake baada ya hapo mchezo ukawa umekwisha dogo akaanza kupakuka mtaani na ameongeza kwamba huwa inawawia vigumu kupata support ya wadau coz kila wakigusa wanaambiwa wewe si umeshinda 50M jisukume mwenyewe na amempongeza meshack kwa kuwa jasiri.
Mambo ni magumu sana jamani na hii corona hebu tuendelee kunawa mikono tu[emoji114]


Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah, inatia hasira sana.
 
kipindi kile alikuwa anapata confidence ya kuwadhurumu hawa vijana kwasababu alikuwa anatoka kimapenzi na mzee mengi(RIP).

mzee yule alikuwa na connection kubwa serikalini, ukigusa maslahi ya rita, umegusa maslahi ya mengi, hapo lazima ujipange.

ila sasa hana wa mkusaidia kuzima hili sakata. anavuna alichopanda.
Mtake radhi mzee wa watu hakua mjinga kiasi hicho
 
Hii hufanyika michezo yote ya mashindano... sio tanzania tu... duniani kote.... huanyika hivyo kwa kuwa waandaaji wana interest zao..
lakini haa hivyo tusiangalie upande mmoja tu kumlaumu madam rita ukifuatilia utagundua kuna gharama kubwa majaji wote na team nzima wanaenda mikoani kusaka vipaji wanafikia mahotelini bado majaji inabidi nao walipwe
washiriki wakifika dar wanafikia hotelini mpaka msimu unaisha kuna gharama za kukodi ukumbi kila wiki wakuimbia washiriki sasa hapa tungewekwa wazi hizi kwenye hizi gharama kunakunakuwa na makubaliano yapi na kampuni inayozamini
hatuwezi kujua pengine zawadi ya mshindi ni mil 5 lakini inabidi ili kuongez mvuto watu wengi inabidi itajwe zawadi nono i
 
Sasa wale wa 3 mzuka si wanaambulia 500k tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kampuni kati hizo hizo za Bahati Nasibu niliwahi kushinda Jackpot ya Milioni 5 na nilipewa zote ila kuna makato ya kodi ya Serikali tu ambayo 20% ya TRA (Mapato), hivyo Pesa iliongizwa kwnye Account ni Mil 4 baada ya kodi. Haikuwa na ubabahishaji wowote.
 
lakini haa hivyo tusiangalie upande mmoja tu kumlaumu madam rita ukifuatilia utagundua kuna gharama kubwa majaji wote na team nzima wanaenda mikoani kusaka vipaji wanafikia mahotelini bado majaji inabidi nao walipwe
washiriki wakifika dar wanafikia hotelini mpaka msimu unaisha kuna gharama za kukodi ukumbi kila wiki wakuimbia washiriki sasa hapa tungewekwa wazi hizi kwenye hizi gharama kunakunakuwa na makubaliano yapi na kampuni inayozamini
hatuwezi kujua pengine zawadi ya mshindi ni mil 5 lakini inabidi ili kuongez mvuto watu wengi inabidi itajwe zawadi nono i
unatetea upuuzi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom