Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Nisamehe.Mshindi huwa ni mmoja.Huwa hakuna mshindi wa pili au vinginevyo.Ungeeleza aliyefuatia baada ya mshindi.Nisamehe kwa maelezo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisamehe.Mshindi huwa ni mmoja.Huwa hakuna mshindi wa pili au vinginevyo.Ungeeleza aliyefuatia baada ya mshindi.Nisamehe kwa maelezo.
Ni kweli Kala Jeremiah kajibeba mwenyewe kiasi kikubwa, mshindi wa kwanza awamu yao Jummanne Idd sijui alipotelea wapi na lile gari lake nilisikia alikula nalo mzinga wa mkubwa.kimsingi kala anafahamika kwa msuli wake,bss haina mchango.ona hata watu hawakumbuki alikuwa mshindi wa ngapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah, inatia hasira sana.Aisee mambo yanazidi kuwa mazito, nimetoka kuangalia interviews mbili hapa za waliopats kuwa washindi wa hili shindano
1.Jumanne Idd anadai alipewa gari (COROLLA USED) na sofa basi mchezo ukaishia hapo kila mtu kwao.
2.KAYUMBA (2015) yeye anadai baba yake alipewa million 2 na mama yake pia million mbili, akalipiwa wimbo wa katoto video& Audio, alipewa gari aina ya porte ila ulikuwa mkweche ambapo dogo akauza screpa kwa 1.8m, aliambiwa pesa nyingine atajengewa nyumba lkn hadi leo dogo hajawahi kupewa hati ya hiyo nyumba....anachokumbuka zaidi alikuta sh 15,000/= kwenye account yake baada ya hapo mchezo ukawa umekwisha dogo akaanza kupakuka mtaani na ameongeza kwamba huwa inawawia vigumu kupata support ya wadau coz kila wakigusa wanaambiwa wewe si umeshinda 50M jisukume mwenyewe na amempongeza meshack kwa kuwa jasiri.
Mambo ni magumu sana jamani na hii corona hebu tuendelee kunawa mikono tu[emoji114]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu j4 si ndio coca cola wakamzawadia ma kreti ya soda kama sikosei!?Kala Jeremiah hakuwahi kushinda BSS mkuu, kama sikosei alishinda Jumanne Idd ila kala Jeremiah aliingia Top 5 na mshindi ndio alikuwa Jumanne Idd
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshindi wa pili alikuwa Nasibu Fonabo na mdada ni Angel Mary KatoDogo yule aliyeshika namba ya 2, alikuwa na viwango vya juu sana.
Pili kuna binti flani mwembamba ana rap nilitegemea aahinde lakini alichukua mtu wa kawaida sna, jina kama sijakosea anaitwa Kato
Mtake radhi mzee wa watu hakua mjinga kiasi hichokipindi kile alikuwa anapata confidence ya kuwadhurumu hawa vijana kwasababu alikuwa anatoka kimapenzi na mzee mengi(RIP).
mzee yule alikuwa na connection kubwa serikalini, ukigusa maslahi ya rita, umegusa maslahi ya mengi, hapo lazima ujipange.
ila sasa hana wa mkusaidia kuzima hili sakata. anavuna alichopanda.
lakini haa hivyo tusiangalie upande mmoja tu kumlaumu madam rita ukifuatilia utagundua kuna gharama kubwa majaji wote na team nzima wanaenda mikoani kusaka vipaji wanafikia mahotelini bado majaji inabidi nao walipweHii hufanyika michezo yote ya mashindano... sio tanzania tu... duniani kote.... huanyika hivyo kwa kuwa waandaaji wana interest zao..
HahahahahaHuyu j4 si ndio coca cola wakamzawadia ma kreti ya soda kama sikosei!?
Ahahahahahahahah.
Zambi sanaa
Jamaaa alikuwepo anajua uyo KONDE GANG sijui hawamuoni?Yani nilijua Leonard Sunday anashinda. Meshamizing alikuwa wa kawaida sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata UEFA sio?Hii hufanyika michezo yote ya mashindano... sio tanzania tu... duniani kote.... huanyika hivyo kwa kuwa waandaaji wana interest zao..
Alianza na mtaji wa elfu 10 😀 😀 😀 😀 😀.Malkia wa nguvu Madame Ritha
Kuna kampuni kati hizo hizo za Bahati Nasibu niliwahi kushinda Jackpot ya Milioni 5 na nilipewa zote ila kuna makato ya kodi ya Serikali tu ambayo 20% ya TRA (Mapato), hivyo Pesa iliongizwa kwnye Account ni Mil 4 baada ya kodi. Haikuwa na ubabahishaji wowote.
unatetea upuuzi..lakini haa hivyo tusiangalie upande mmoja tu kumlaumu madam rita ukifuatilia utagundua kuna gharama kubwa majaji wote na team nzima wanaenda mikoani kusaka vipaji wanafikia mahotelini bado majaji inabidi nao walipwe
washiriki wakifika dar wanafikia hotelini mpaka msimu unaisha kuna gharama za kukodi ukumbi kila wiki wakuimbia washiriki sasa hapa tungewekwa wazi hizi kwenye hizi gharama kunakunakuwa na makubaliano yapi na kampuni inayozamini
hatuwezi kujua pengine zawadi ya mshindi ni mil 5 lakini inabidi ili kuongez mvuto watu wengi inabidi itajwe zawadi nono i
mshindi alipewa gari japo ni kwa mizengwe baada ya jamaa kukazaKweli kabisa wapi jumanne Idd. Au alirekodiwa wimbo mmoja kwa laki sita ikawa imetoka
Sent using Jamii Forums mobile app