raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
vuguvugu limeanza ngojea liva waje nao waseme
kwa ushindi wa mwaka jana walipewa dola ngapi🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vuguvugu limeanza ngojea liva waje nao waseme
Hata me nilijua yule aliyeshika number 2 ndo atakuwa mshindi nakuja kushangaa wamempa kayumba ila kwa Leonard nakataa ni kweli ana kipaji ila alizidiwa na meshack, meshack ana vocal za hatari aisee.Kuna dogo Aliyeshika nafasi ya 2 baada ya Kayumba, nilisikitika sana, mtu aliimba wimbo wake mkali sana eti kayumba akapewa ushindi.
Mwaka jana Leonard alifaa ashinde, jamaa alikuwa poa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo Harmonize alikuwa kweli hajui kuimba achilia tu kuimba alikuwa pia hawezi kutamka maneno kwa ufasaha kwahiyo alistahili kutolewa baada ya kwenda Wasafi na kumpa mwaka mmoja before ya kumtoa ndo wakamfundisha ndo akawa vizuri.Toka walipomwambia Harmonize hajui kuimba nikaachaga kuwafuatilia
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe sio hadhi yanguAcha uongo Harmonize alikuwa kweli hajui kuimba achilia tu kuimba alikuwa pia hawezi kutamka maneno kwa ufasaha kwahiyo alistahili kutolewa baada ya kwenda Wasafi na kumpa mwaka mmoja before ya kumtoa ndo wakamfundisha ndo akawa vizuri.
Sema mzee acha fix na ujuaji jamiiforum sio insta Wala fb hapa ni facts kwenda mbele
Hauwezi kuwa hata kijakazi wanguSema mzee acha fix na ujuaji jamiiforum sio insta Wala fb hapa ni facts kwenda mbele
Ubarikiwe mrembo, Mary Kato ni msanii wa level nyingine, nani amsaidie kufikia juu sasa?Mshindi wa pili alikuwa Nasibu Fonabo na mdada ni Angel Mary Kato
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni Sheria mkuu, labda Kama waliingia mikataba. Lakini mtu hatiwi hatiani kwa kosa la kutotimiza ahadi.(labda kuwa na mkataba)Wasipojiangalia watakaa sana lupango, Yani mda huu hawachomoki, wamaemtapeli dogo wa mbeya na waziri na naibu waziri wote ni wa mbeya, watazitapika tu
Kwani alishinda?Kala Jeremiah nadhani kwenye million 5 aliambulia million 2, nyingine wakamwambia watampa bodaboda na kumfanyia shopping ya nguo. Walimsumbua sana.
Jr[emoji769]
Ule mwaka kulikuwa na vipaji haswa vikaliDogo yule aliyeshika namba ya 2, alikuwa na viwango vya juu sana.
Pili kuna binti flani mwembamba ana rap nilitegemea aahinde lakini alichukua mtu wa kawaida sna, jina kama sijakosea anaitwa Kato
Huyo maza anapenda dogodogo yaani anatongozahuyo kijana hajamla kweli huyo Maza mbona kamshika kwenye nyonyo...
Kwani ana makengeza eti Dina[emoji3]Huyu dada na makengeza yake na kujiliza unafiki tupu kumbe mdhulumaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wapo wapi ?? wabovu tu !! Kwa maana wangetoka kimziki kwa namna nyingine mfano upo hai dogo janja au konde boy si tumeona jitahidi zaoDogo yule aliyeshika namba ya 2, alikuwa na viwango vya juu sana.
Pili kuna binti flani mwembamba ana rap nilitegemea aahinde lakini alichukua mtu wa kawaida sna, jina kama sijakosea anaitwa Kato
Ubarikiwe mrembo, Mary Kato ni msanii wa level nyingine, nani amsaidie kufikia juu sasa?
Fanabo huyo dogo pia ni shida nyingine.
Watanzania tuna vipawa vya kuua kinafiki sana
Ule mwaka kulikuwa na vipaji haswa vikali