Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachaga nao ni mapapaaa ?
Hata me nilijua yule aliyeshika number 2 ndo atakuwa mshindi nakuja kushangaa wamempa kayumba ila kwa Leonard nakataa ni kweli ana kipaji ila alizidiwa na meshack, meshack ana vocal za hatari aisee.
Hata me nilijua yule aliyeshika number 2 ndo atakuwa mshindi nakuja kushangaa wamempa kayumba ila kwa Leonard nakataa ni kweli ana kipaji ila alizidiwa na meshack, meshack ana vocal za hatari aisee.
Alikuwa wa nne Kama sikoseikimsingi kala anafahamika kwa msuli wake,bss haina mchango.ona hata watu hawakumbuki alikuwa mshindi wa ngapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Heri ya Pasaka mrembo na dada yangu.
Upendo wangu kwako kama kaka uko palepale.japo wewe wajua kwanini umepunguza[emoji2960]
Sent using Jamii Forums mobile app
Big Brother wanalipa ishu ni matumizi makubwa ya washindi kwa kuzoea kuspend kifahari na ulevi wa mle ndani ya jumba. Idris Sultan alipewa 500,000,000/= yake ana bangaloo la maana na kiwanda cha viatu classic japo uhusiano na Wema Sepetu ulisababisha afulie , Emmanuel wa Naija yupo vizuri kamuoa dada wa Kitanzania alishiriki BBA. Dada aliyeshinda Big Brother Naija 2019 amepewa zawadi zake ikiwemo gari na pesa na trips mwaka mzima hawa Endemol Entertainment na Multichoice sio waongo Endemol wanaendesha pia Fear Factor and they are masters of Reality TV shows worldwide. Benchmark Production na CEO Rita Paulsen ni matapeli miaka yote hawawapi washindi zawadi wanapata wadhamini ila hela yote wanakula wao sio vijana washindi. Aibu kubwa sana mwaka huu mshindi kaamua kama mbwai na iwe mbwai safi sana.
Mery Kato yupo vizuri.
Upo sahihi wengine wanaongea kimiemko na kwa hasira.Kuna wakati tuna short sight na maamuzi yasiyo na shukrani.
Lengo kuu la BSS sio zawadi bali zawadi ni chachu ya mashindano.
Mshindi ni mmoja lakini washiriki wengi hufaidi zaidi ya zawadi.
Nani angemjua Hamisi?
Leonard? Elia? Mery Kato? Kala Jeremia?
Hii ni plaform moja matata kujitangaza/kutangazwa uwezo wako na kupewa nafasi na wasanii wakubwa su hata kupata mapokezi katika jamii.
Zawadi wapewe.
Lakini unaposemwa mashindano yafutwe hujawaza sawasawa
Sent using Jamii Forums mobile app
unadhani kama ingekuwa ni miaka ile madam rita anatoka kimapenzi na mzee mengi, dudubaya angapeta ujasiri wa kumtukana rita matusi namna hii?. kuwa tu mkweli.Mtake radhi mzee wa watu hakua mjinga kiasi hicho
unadhani kama ingekuwa ni miaka ile madam rita anatoka kimapenzi na mzee mengi, dudubaya angapeta ujasiri wa kumtukana rita matusi namna hii?. kuwa tu mkweli.
Hahaha[emoji23]huyo kijana hajamla kweli huyo Maza mbona kamshika kwenye nyonyo...
Alifungiwa kufanya niniAisee mbona haya ni matusi makubwa inamaana dudubaya ajajifunza bado alivyofungiwa na basata.
Mziki.
Kala Jeremiah nadhani kwenye million 5 aliambulia million 2, nyingine wakamwambia watampa bodaboda na kumfanyia shopping ya nguo. Walimsumbua sana.
Jr[emoji769]