Kikaangoni: Utapeli wa BSS ya Madam Rita, washindi wa nyuma nao wafuatiliwe

Kikaangoni: Utapeli wa BSS ya Madam Rita, washindi wa nyuma nao wafuatiliwe

ndo maana hata mtu akifa huwa tunatoa heshima za mwisho kuona kama kweli ni yeye au laah maana mambo ya kufanyiwa na mtu au kusikia ukweli wake ni mdogo sana yaani uimbe tu alafu wakupe millioni 50 hahahahahaha wwaafrica hatuwezi kufika mbali
 
Mengi amekufa na BSS . Alikuwa anatia Fedha mule.
 
ndo maana hata mtu akifa huwa tunatoa heshima za mwisho kuona kama kweli ni yeye au laah maana mambo ya kufanyiwa na mtu au kusikia ukweli wake ni mdogo sana yaani uimbe tu alafu wakupe millioni 50 hahahahahaha wwaafrica hatuwezi kufika mbali
Acha kudharau jasho la mtu mkuu, sio kila mtu anaweza kuimba na ukumbuke bss ni shindano la kumpata kijana wa tanzania anaeimba vizuri kuzidi wenzake ambao nao wanaimba vizuri.

Wenzetu huko wanatoaga zawadi bilioni 2 ,
 
Aisee mambo yanazidi kuwa mazito, nimetoka kuangalia interviews mbili hapa za waliopats kuwa washindi wa hili shindano
1.Jumanne Idd anadai alipewa gari (COROLLA USED) na sofa basi mchezo ukaishia hapo kila mtu kwao.

2.KAYUMBA (2015) yeye anadai baba yake alipewa million 2 na mama yake pia million mbili, akalipiwa wimbo wa katoto video& Audio, alipewa gari aina ya porte ila ulikuwa mkweche ambapo dogo akauza screpa kwa 1.8m, aliambiwa pesa nyingine atajengewa nyumba lkn hadi leo dogo hajawahi kupewa hati ya hiyo nyumba....anachokumbuka zaidi alikuta sh 15,000/= kwenye account yake baada ya hapo mchezo ukawa umekwisha dogo akaanza kupakuka mtaani na ameongeza kwamba huwa inawawia vigumu kupata support ya wadau coz kila wakigusa wanaambiwa wewe si umeshinda 50M jisukume mwenyewe na amempongeza meshack kwa kuwa jasiri.
Mambo ni magumu sana jamani na hii corona hebu tuendelee kunawa mikono tu[emoji114]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee mambo yanazidi kuwa mazito, nimetoka kuangalia interviews mbili hapa za waliopats kuwa washindi wa hili shindano
1.Jumanne Idd anadai alipewa gari (COROLLA USED) na sofa basi mchezo ukaishia hapo kila mtu kwao.

2.KAYUMBA (2015) yeye anadai baba yake alipewa million 2 na mama yake pia million mbili, akalipiwa wimbo wa katoto video& Audio, alipewa gari aina ya porte ila ulikuwa mkweche ambapo dogo akauza screpa kwa 1.8m, aliambiwa pesa nyingine atajengewa nyumba lkn hadi leo dogo hajawahi kupewa hati ya hiyo nyumba....anachokumbuka zaidi alikuta sh 15,000/= kwenye account yake baada ya hapo mchezo ukawa umekwisha dogo akaanza kupakuka mtaani na ameongeza kwamba huwa inawawia vigumu kupata support ya wadau coz kila wakigusa wanaambiwa wewe si umeshinda 50M jisukume mwenyewe na amempongeza meshack kwa kuwa jasiri.
Mambo ni magumu sana jamani na hii corona hebu tuendelee kunawa mikono tu[emoji114]


Sent using Jamii Forums mobile app
nisaidie hizo interview nioitie
 
Aisee mambo yanazidi kuwa mazito, nimetoka kuangalia interviews mbili hapa za waliopats kuwa washindi wa hili shindano
1.Jumanne Idd anadai alipewa gari (COROLLA USED) na sofa basi mchezo ukaishia hapo kila mtu kwao.

2.KAYUMBA (2015) yeye anadai baba yake alipewa million 2 na mama yake pia million mbili, akalipiwa wimbo wa katoto video& Audio, alipewa gari aina ya porte ila ulikuwa mkweche ambapo dogo akauza screpa kwa 1.8m, aliambiwa pesa nyingine atajengewa nyumba lkn hadi leo dogo hajawahi kupewa hati ya hiyo nyumba....anachokumbuka zaidi alikuta sh 15,000/= kwenye account yake baada ya hapo mchezo ukawa umekwisha dogo akaanza kupakuka mtaani na ameongeza kwamba huwa inawawia vigumu kupata support ya wadau coz kila wakigusa wanaambiwa wewe si umeshinda 50M jisukume mwenyewe na amempongeza meshack kwa kuwa jasiri.
Mambo ni magumu sana jamani na hii corona hebu tuendelee kunawa mikono tu[emoji114]


Sent using Jamii Forums mobile app
Nimezitizama hizo interviews. Inasikitisha sana.
 
Kala Jeremiah nadhani kwenye million 5 aliambulia million 2, nyingine wakamwambia watampa bodaboda na kumfanyia shopping ya nguo. Walimsumbua sana.

Jr[emoji769]
Mzee Mengi hakuwa mfadhili wa hii project ?
 
Kala Jeremiah nadhani kwenye million 5 aliambulia million 2, nyingine wakamwambia watampa bodaboda na kumfanyia shopping ya nguo. Walimsumbua sana.

Jr[emoji769]
Kala hakushida BSS. Alifanikiaa kuingia Tano Bora tu. Mshindi wa BSS mwaka alioshiriki Kala anaitwa Misoji Nkwabi. Mshindi wa pili alikuwa Rogers Lucas.
 
Wangekuwa open tu kwamba hawana pesa za kuwapa toka mwanzo wa mashindano watu wangejipanga kisaikolojia km hakuna zawad kubwa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom