maswali ya kidini uko tayari kuyajibu?Niulize chochote, kuhusu lolote.
Itikadi zangu, attitute yangu nakadhalika.
Sitokutukana, nitakujibu kwa upole
Karibuni.
Mods tafadhalini piga ban huyu mtu mpaka abadili ID,
Kwa majibu yake ni kwamba hajawahi kuwa mkristo ila anafanya kusudi kudhalilisha ukristo.
cc: JamiiForums Moderator Paw Invisible
Mbona sababu rahisi sana hiyo?
Hajawahi kuwa Padre huyu ni mmoja wa wale wenye kusambaza vitabu vya 'zijue haki zako' kama ni dawa yake ss inachemkaSidhani kama kuna member humu ana kufikia kwa majibu machafu padri...
Ni hiyo dini mpya imekufunza hivo au tangu ukiwa padri ulikua hivo?
Hatimae nimepata maswali.
1. UDSM umesoma mwaka gani? Ulikua unasomea nini? Je unamiliki degree ngapi!? Ni kanisa katoliki lililokusomesha??
2. Una umri gani sasa?
3. Kwa sasa taaluma yako ni ipi??
4.Ulidumu kwenye huduma ya upadre kwa muda gani?
Kwa nini unapenda kujivika cheo ambacho hauna..? Hebu eleza sababu tano
Asante kwa umakini wako dada GeoMex
Nadhani atakua ali edit kabla sijapost
Padri/Ustadh imani inazungumza nini kuhusu kamali.
Sorry kwa members wanaobet kama mimi,ila nataka kujifunza tu.
Wanasema ukislimu unapewa hiyo mifugo
Hebu nisaidie ile code 290 imebeba vitu gani
Sijakuelewa kabisa.
Swali lako halina kichwa, miguu wala matako.
Uliza vizuri dada cocochanel
Mashaka au uoga ulikujaaa kwa kuona umesomea yoteee na kuishia kuyaishi na ulipoishia katika dini hiyo wakati huo?
Naomba kuongezea swali hapo. Alirudisha vitu vyote kwa hiyari yake au alijimilikisha?
Weka picha tukuone
Vipi nafasi za kazi katika ile kampuni yenu na weupe?