Sauti hyo ndyo ikawa kipimo cha duni ya haki au mwanamke ndye aliyekubadirishaNakumbuka ilikua alfajiri ya tarehe 16 June 2012. Niliposikia adhana toka msikitini muadhini akisema:
Sala ni bora kuliko usingizi.
Asaatu khayrul minan nnauum.
Siku hiyo ndipo nilipotambua dini ya haki ni ipi nikaachana kabisa na habari za Upadri
So ina maana mapadri wengi ni memba wa chaputa (chama cha punyeto tanzania)? Na vipi kuhusu masister...hawagongwi na mapadri kweli?Kusema ukweli kabisa, niliwahi kufanya mapenzi mara moja tuu...
Wakat huo nikiwa Ghana kwenye kongamano la Katekisimu 2009.
Zaidi ya hapo Punyeto ilikua msaada wangu mkubwa sana.
Unavyojibu inaonyesha huna akili timamu mcharuko na msimamo vinaingiliana vp?Padri Mcharo Mcharuko.
Nilikua Padri mwenye misimamo sana.
Padri pekee niliemsapoti Askofu Gwajey kipindi kile cha sijui amekula maharagwe ya wapi yuleeeee
Mcharuko ni mwanamke ambae hajatulia sasa kidume kujiita mcharuko inawezekana ww ni shoga?Kama lilivo jina langu.
Mimi ni Mcharuko kweli kweli.
Yaani sipendi uzushi, napenda facts.
Nikikuwashia moto lazima uimbe "a e i o u"
Dini ya haki kucheza kamari mnaruhusiwa?Sikia bwana mdogo.
Lile jukwaa kuna kajamaa kanaitwa ka Pdidy.
Jamaa anaboa kishenz kujaza ma prediction sijui anaya kopi kutoka wapi huko.
Siku moja nimeiga kubeti kwa kutumia prediction zake. Kubabake 35,000 yangu ilienda na maji.
Hivo nina hasira na pesa yangu
Asante dada mij
Sielewi kwanini wasema Lugha za kishenz
Neno "Kishenz" ni kivumishi Kikurupushi.
Ni neno fasaha lipo hadi kwenye kamusi ya TATAKI (UDSM toleo la 2013)
Ni sawa na mtu kusema Kubabake walay.
Kubabake sio tusi. Ni kivumishi
UDSM unaanzaje kupiga nyetoNi kweli.
Kwa sababu Nyeto ndio ilikua msaada wangu mkubwa tangu nikiwa Tabora Boys, Itaga Seminary, UDSM , Amsterdam School of Divinity.
Hujasoma Boarding school wewe???
toa hiyo picha ya upadri weka picha ya ustadhi ili niaminiSijiiti mimi.
Bali waumini wangu ndio wananiita mpaka hivi sasa.
Nilishawaambia zaidi ya mara 105 kuwa higi sasa naitwa: Ustaadh Aziz Deo.
Lakini hawataki kuelewa, sasa mie nifanyeje
Hapo pia umeshindwa kuficha ujinga wakoYaap. Penginw sijui kabisa (kama unavodai)
Ama nimesahau kabisa mila za huko mkuu.
Yaani ukiniuliza habari za Upadri sijui kalienda kakarudi naona kama unanizodoa tu.
Niulize kwanini Swala ya magharibi (ile ya saa moja jioni) huswaliwa haraka sana baada ya adhana.
Hapo nitakupa full details.
UDSM unaanzaje kupiga nyeto
Proof nyingne hii kwamba ulikuwa gay
Very poor reasoning. Sina hakika kama ulisoma Falsafa au ulikuwa Kilaza. Yaani hii reason hata ukimwambia mtoto hatakuelewa. May be yo brain has some loosen natz!!!
Kila la kheri Mcharuko