FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Sauti hyo ndyo ikawa kipimo cha duni ya haki au mwanamke ndye aliyekubadirisha
= aliyekubadilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sauti hyo ndyo ikawa kipimo cha duni ya haki au mwanamke ndye aliyekubadirisha
Inafikirisha.Unataka niseme nimefika hata kama sijafika???
Kwahiyo nikisema niimefika Dar lazima nifike Sinza Makaburini??
nazani hukujipanga kujikaanga maana ujibuji wako wa maswali hauna mashiko shekhe mpenda ukatoliki
wewe ni padri au parokoUchaguzi upi... Kuwa specific
Hapana sijawahi.
Lakini nimefika sehemu nyingi sana mfano Jerusalem, Maccabi, Tel Aviv, Amsterdam (niliposomea degree yangu ya Theology), Sao Paulo, Milan, Catalunya (Barcelona)
Hapa Africa nimetembea karibu nchi zote isipokua Somalia tu
Hiyo (degree) ya Theologia ulisomea miaka mingapi...?? Na Ulikua padre wa shirika gani..??
Hahaaaa tapeli tu huyu nishasema huyu wenzake ni wale wa kibi-t
"PADRI pekee niliyemsapoti ni ASKOFU Gwajey.." DahPadri Mcharo Mcharuko.
Nilikua Padri mwenye misimamo sana.
Padri pekee niliemsapoti Askofu Gwajey kipindi kile cha sijui amekula maharagwe ya wapi yuleeeee
Hii defence mechanism tuKama lilivo jina langu.
Mimi ni Mcharuko kweli kweli.
Yaani sipendi uzushi, napenda facts.
Nikikuwashia moto lazima uimbe "a e i o u"
OnaWako wapi.
Kuna sehem nimeandika kuwa mimi ni Nabii.
Au unataka nikuwashie moto hapa hapa!!
Maana yake nini?Issue sio kusikia.
Kusikia hata wewe unasikia.
Je unafaham maana ya maneno yale yaliyo katika adhana????
Bila shaka huelewi.
Hii mikwara ya hovyo ndio inanikeraAsante dada rubii kwa ufatiliaji wako.
Tafadhali soma post namba 15 nimejibu vizuri tu.
Bahati yako nimeahidi kuwa Sitotukana mtu hapa.
Otherwise ningekuwashia moto hapa mpaka uimbe "a e i o u"
Kumbe unafanya biashara hapa?Pumbavu. Huna faida
= aliyekubadilisha
Nashangaa kumbe gwajima naye ni padri [emoji4] [emoji4]"PADRI pekee niliyemsapoti ni ASKOFU Gwajey.." Dah
Nyani wa Kale