Kikaangoni: Wengi hawajui kwanini naitwa Padri Mcharo, niulize chochote nikujibu

 
Kazi njema huko kwenye dini ya Allah. Ukimaliza ulichotumwa be back soon. Data unazoprovide kwa wayunani hazijakamilika.


Kumbuka za Makkah pia zinatakiwa. Ukishaiva usisahau kwenda huko!!

Vp za Al aqsa ushazidukua?
 
Unapopata daraja la upadrisho ! Nani mwenye uwezo wa kukusitishia daraja hilo.
2-ulisomea wapi? Upadre wako?
3-hapo itigi ulikuwa kama nani?
4-mshahara was padri tsh ngapi?
 
-ulisomea wapi upadre?
- mlikuwa wangapi?
- nani anatoa daraja la upadre
- nani mwenye uwezo was kukuvua upadre
- yesu katajwa Mara ngapi? Mwenye korani/Muhammad naye katajwa Mara ngapi?
- Koran inamtamua yesu kwa majina gani?
- wanawake wangapi wametajwa kwa majina kwenye korani wataje?
-kabla ya kuwa padre ulikuwa nani?
- mwaka gani? Ulihitimu upadre na wapi?
- nini? Maana ya mwaka A mwaka B na Mwaka C ktk kanisa na kwann iko hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…