ager the boy
Member
- Jun 14, 2017
- 77
- 23
Hiyo dini ya haki ndo ipi hiyo nijuze
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana..Ni kweli.
Kwa sababu Nyeto ndio ilikua msaada wangu mkubwa tangu nikiwa Tabora Boys, Itaga Seminary, UDSM , Amsterdam School of Divinity.
Hujasoma Boarding school wewe???
Akikujibu niite mimi, pamoja na halloperidon-ulisomea wapi upadre?
- mlikuwa wangapi?
- nani anatoa daraja la upadre
- nani mwenye uwezo was kukuvua upadre
- yesu katajwa Mara ngapi? Mwenye korani/Muhammad naye katajwa Mara ngapi?
- Koran inamtamua yesu kwa majina gani?
- wanawake wangapi wametajwa kwa majina kwenye korani wataje?
-kabla ya kuwa padre ulikuwa nani?
- mwaka gani? Ulihitimu upadre na wapi?
- nini? Maana ya mwaka A mwaka B na Mwaka C ktk kanisa na kwann iko hivyo
Ulivuoamia kwenye dini ya haki unamafanikio gani kutofautiana na wale uliowaacha kwenye dini iziyo ya haki.
Basi kwa jibu hilo hujui lolote kuhusu upadre.
Ng'ombe tu wewe, hukuwa padri wala nini. Hiyo dini yako ya haki ndio inafunza ile mitusi unayomwaga kwenye forums zingine?Niulize chochote, kuhusu lolote.
Itikadi zangu, attitute yangu nakadhalika.
Sitokutukana, nitakujibu kwa upole
Karibuni.
Iyo haki umeipata?Kwanza nikuweke sawa, sikuvamia.
Nikiwa na akili zangu timamu niliona haki ilipo nikaifata.
Nikija kwenye swali lako la msingi:
Kwanza amani ya nafsi.
Pili burudani nayopata pindi naposoma Qur'an takatifu.
Maana ni kitabu kisicho na shaka ndani yake.
Nimesoma sana Bible usinione hivi.
Kila nilipokua naisoma nilikua naisoma kwa mashaka mashaka tuu. Haina amani
Acha kujibu kibashite. Umewazidi nini ao uliowaacha katika dini isiyo ya haki? Mfano labda badala ya kuwa na pumbu mbili sasa una saba. Au sikuizi toka upo dini ya haki huendi chooni. Leta vitu tangible sio kujikanyaga kanyaga apa.Kwanza nikuweke sawa, sikuvamia.
Nikiwa na akili zangu timamu niliona haki ilipo nikaifata.
Nikija kwenye swali lako la msingi:
Kwanza amani ya nafsi.
Pili burudani nayopata pindi naposoma Qur'an takatifu.
Maana ni kitabu kisicho na shaka ndani yake.
Nimesoma sana Bible usinione hivi.
Kila nilipokua naisoma nilikua naisoma kwa mashaka mashaka tuu. Haina amani
kwan kubet kuna ruhusiwa katika imani yako Mpya Padri Mcharo Mcharuko?
Kwanza nikuweke sawa, sikuvamia.
Nikiwa na akili zangu timamu niliona haki ilipo nikaifata.
Nikija kwenye swali lako la msingi:
Kwanza amani ya nafsi.
Pili burudani nayopata pindi naposoma Qur'an takatifu.
Maana ni kitabu kisicho na shaka ndani yake.
Nimesoma sana Bible usinione hivi.
Kila nilipokua naisoma nilikua naisoma kwa mashaka mashaka tuu. Haina amani
Una mwandiko mbayaSikia bwana mdogo.
Lile jukwaa kuna kajamaa kanaitwa ka Pdidy.
Jamaa anaboa kishenz kujaza ma prediction sijui anaya kopi kutoka wapi huko.
Siku moja nimeiga kubeti kwa kutumia prediction zake. Kubabake 35,000 yangu ilienda na maji.
Hivo nina hasira na pesa yangu
Acha kujibu kibashite. Umewazidi nini ao uliowaacha katika dini isiyo ya haki? Mfano labda badala ya kuwa na pumbu mbili sasa una saba. Au sikuizi toka upo dini ya haki huendi chooni. Leta vitu tangible sio kujikanyaga kanyaga apa