Kikaangoni: Wengi hawajui kwanini naitwa Padri Mcharo, niulize chochote nikujibu

Kikaangoni: Wengi hawajui kwanini naitwa Padri Mcharo, niulize chochote nikujibu

Kwanza nikuweke sawa, sikuvamia.
Nikiwa na akili zangu timamu niliona haki ilipo nikaifata.

Nikija kwenye swali lako la msingi:
Kwanza amani ya nafsi.
Pili burudani nayopata pindi naposoma Qur'an takatifu.
Maana ni kitabu kisicho na shaka ndani yake.
Nimesoma sana Bible usinione hivi.
Kila nilipokua naisoma nilikua naisoma kwa mashaka mashaka tuu. Haina amani
aiseee, yaani bible haina nini? ulikua tatizo wewe sio bible.
 
una miaka mingap mcharo?ninachojua mm kubet ni dhambi(kamari) kwa waislam unaniambiaje kwa hili
 
Nakumbuka ilikua alfajiri ya tarehe 16 June 2012. Niliposikia adhana toka msikitini muadhini akisema:
Sala ni bora kuliko usingizi.
Asaatu khayrul minan nnauum.

Siku hiyo ndipo nilipotambua dini ya haki ni ipi nikaachana kabisa na habari za Upadri
Mbona sababu rahisi sana hiyo?
 
Sawa Padri.

Wewe ni Padri wa parish ipi?

Ulisoma masomo ya dini na baadae pia upadri?

Kwanini unataka tukuulize maswali?

Unasaidiaje watu kama wazee na watoto yatima?

Unaongoza kanisa?

Wahumini unawaomba watoe sadaka mara ngapi kwa wiki?

Unawaumini kama wangapi?
Coco hivi wewe sio Mzuri Mie kweli?
 
Wako wapi.
Kuna sehem nimeandika kuwa mimi ni Nabii.
Au unataka nikuwashie moto hapa hapa!!
Kwa nini hiyo dini ya haki inapenda kuchinja watu hadharani tena mbele ya video???

Hapo juu kwenye jibu lako naona ulikuwa inaelekea jino kwa jino. Wakati umeweka utangulizi utajibu kwa utulivu.

Je unaamini Allah na Mungu wa Yakobo ni Mmoja??

Je kwa namna yoyote ile unawaunga mkono wale jamaa wa kibiti?

Kwa elimu yako unaamini katika ike mizigo ya sheikh kipozeo. Namaanisha bikara 72 kama ukijilipua.
 
Sikia bwana mdogo.
Lile jukwaa kuna kajamaa kanaitwa ka Pdidy.
Jamaa anaboa kishenz kujaza ma prediction sijui anaya kopi kutoka wapi huko.
Siku moja nimeiga kubeti kwa kutumia prediction zake. Kubabake 35,000 yangu ilienda na maji.
Hivo nina hasira na pesa yangu

Kumbe UNA BET ( unacheza kamali )
Hapo nilipopiga mistari.
Ndo ile fata maneno yangu na sio matendo yangu .

Mtawajua kwa matunda yao.

Endelea mkuu kubeti , ila ukitaka kuacha yote hayo usitafute dini mtafute YESU.

siko vile nilivyokuwa, haimaanishi nipo tofauti.
 
Niulize chochote, kuhusu lolote.
Itikadi zangu, attitute yangu nakadhalika.
Sitokutukana, nitakujibu kwa upole

Karibuni.

Kaka naona unaupenda sana Ukristo hasa Ukatoliki, Mtoto wa Kiislam unaacha jina lako la Kiarabu unaamua kujipachika jina la Kikatoliki kwa mapenzi yako ya Dini, kweli upo mbioni kuipokea haki
 
Ni kweli.
Kwa sababu Nyeto ndio ilikua msaada wangu mkubwa tangu nikiwa Tabora Boys, Itaga Seminary, UDSM , Amsterdam School of Divinity.
Hujasoma Boarding school wewe???
Padre umesoma Tabora boys?mi nachojua mapadre wana seminary zao from pre form one

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni mshenzi tu mmoja unayetumia kivuli cha aliyekuwa padri hapo singda" hujui lolote kuhusu upadri ila unataka kuupotosha umma kwa maneno yako ya kijinga


Asante dogo boy mzuri
Maneno yangu ya kijinga watu ndio wanayapenda sasa!!
 
Nakumbuka ilikua alfajiri ya tarehe 16 June 2012. Niliposikia adhana toka msikitini muadhini akisema:
Sala ni bora kuliko usingizi.
Asaatu khayrul minan nnauum.

Siku hiyo ndipo nilipotambua dini ya haki ni ipi nikaachana kabisa na habari za Upadri

Ushapewa jini la kukuongoza njia ya filjanamu
 
Back
Top Bottom