Kikaangoni: Wengi hawajui kwanini naitwa Padri Mcharo, niulize chochote nikujibu

Kikaangoni: Wengi hawajui kwanini naitwa Padri Mcharo, niulize chochote nikujibu

Hapana sijawahi.
Lakini nimefika sehemu nyingi sana mfano Jerusalem, Maccabi, Tel Aviv, Amsterdam (niliposomea degree yangu ya Theology), Sao Paulo, Milan, Catalunya (Barcelona)
Hapa Africa nimetembea karibu nchi zote isipokua Somalia tu
Waongo bana!!!!

Sent from my LT29i using JamiiForums mobile app
 
Kuna Uzi wake humu alisema anaogopa kukamendea kabinti ka mama mwenye nyumba,anasema binti yupo form 2 na amemzidi miaka zaidi ya kumi.Form 2 ni miaka 15 na yeye anasema kamzidi zaidi ya miaka 10,ina maana ana miaka chini ya 30.Sio padre ila ni mtu anae kashfu dini za watu

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Hatimae nimepata maswali.
1. UDSM umesoma mwaka gani? Ulikua unasomea nini? Je unamiliki degree ngapi!? Ni kanisa katoliki lililokusomesha??
2. Una umri gani sasa?
3. Kwa sasa taaluma yako ni ipi??
4.Ulidumu kwenye huduma ya upadre kwa muda gani?
 
Nakumbuka ilikua alfajiri ya tarehe 16 June 2012. Niliposikia adhana toka msikitini muadhini akisema:
Sala ni bora kuliko usingizi.
Asaatu khayrul minan nnauum.

Siku hiyo ndipo nilipotambua dini ya haki ni ipi nikaachana kabisa na habari za Upadri
Sababu nyepesi kabisa. Maana imani yoyote msingi wake ni sala na/au maombi. Unamaanisha kuwa wakati wa utumishi wako ulikuwa hata huamki mapema kufanya maombi wakati ndiyo mafundisho uliyokuwa ukiwapelekea kondoo wako?


Sent from my C1605 using JamiiForums mobile app
 
Sikia bwana mdogo.
Lile jukwaa kuna kajamaa kanaitwa ka Pdidy.
Jamaa anaboa kishenz kujaza ma prediction sijui anaya kopi kutoka wapi huko.
Siku moja nimeiga kubeti kwa kutumia prediction zake. Kubabake 35,000 yangu ilienda na maji.
Hivo nina hasira na pesa yangu
Padri/Ustadh imani inazungumza nini kuhusu kamali.
Sorry kwa members wanaobet kama mimi,ila nataka kujifunza tu.

Sent from my C1605 using JamiiForums mobile app
 
Walikusomesha kwa mamilioni kama ulivyodai bila shaka hata vitu vya gharama mfano Nyumba au Gari pengine ulipewa..Je wamekunyang'anya au bado unavyo?
Naomba kuongezea swali hapo. Alirudisha vitu vyote kwa hiyari yake au alijimilikisha? Na kwa nini alifanya hivyo?

Sent from my C1605 using JamiiForums mobile app
 
Vipi nafasi za kazi katika ile kampuni yenu na weupe?

Sent from my HUAWEI LUA-L21 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom