Bwana Mrefu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 408
- 996
Kashakula ban huyu[emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipo ndio mkuuHivi uko mtandaoni bado?
Ungemjua basi huyu jamaaKwann mapadri hamuoi?
Deo Kisandu?Sijiiti mimi.
Bali waumini wangu ndio wananiita mpaka hivi sasa.
Nilishawaambia zaidi ya mara 105 kuwa higi sasa naitwa: Ustaadh Aziz Deo.
Lakini hawataki kuelewa, sasa mie nifanyeje
Leta UshahidiBaada ya kuitambua dini ya haki, nikaachana na utumishi.
Ni kweli kabisa. Mapadri wengi 98% wana watoto.
Uliona wapi mwanaume rijali (mwenye mkuyenge) akaishi milele bila kupiga mambo???
PoleHaina maana yoyote, ni mbwembwe tu zile.
Masuala mengi sana hata mie nilikua nauliza Maaskofu zangu sipewi majibu yenye mashiko.
Ndio moja ya sababu kuikimbia dini ya binadam na kuhamia dini ya haki
Umeona eenhh?!!!!,Hakuna Padre mjinga kuhusu mambo yake ya kipadre.Basi kwa jibu hilo hujui lolote kuhusu upadre.
ninacho njjoo pmI am very sorry.
Nishafuta kabisa memory ya habari za Maandiko ya kiyunani.
Niulize habari za Aboubakar ibn Sadik, Uthman ibn Hatwaab, Abu Lahabu.
Hahaha ameenda mbinguniPadri Mcharo umepotelea wapi?
Itakuwa yupo kwaID nyingine,siunajua tena alikuwa na id nyingi sanaPadri Mcharo umepotelea wapi?
Si ndo the list?[emoji1][emoji1]Itakuwa yupo kwaID nyingine,siunajua tena alikuwa na id nyingi sana
Amerest in peace?[emoji848]Hahaha ameenda mbinguni
Hapana. Huyu alikua Chief engineer, CNNP ENGINEER. Alikua TO yule aliyekua anabishana na jamaa wa HKL😃Si ndo the list?[emoji1][emoji1]
Uchochezi huoSijiiti mimi.
Bali waumini wangu ndio wananiita mpaka hivi sasa.
Nilishawaambia zaidi ya mara 105 kuwa higi sasa naitwa: Ustaadh Aziz Deo.
Lakini hawataki kuelewa, sasa mie nifanyeje
Waumini ndio walikufungulia hii id ya JF?Sijiiti mimi.
Bali waumini wangu ndio wananiita mpaka hivi sasa.
Nilishawaambia zaidi ya mara 105 kuwa higi sasa naitwa: Ustaadh Aziz Deo.
Lakini hawataki kuelewa, sasa mie nifanyeje