Triplets
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 1,146
- 204
Mh. Zito please don't do this. Hawa wabunge wa viti maalumu wengi ni mamluki na mnavyozidi kuwaongeza mjue mna punguza nguvu ya wabunge wawakilishi wa majimbo linapokuja suala la ku-vote.
ndio haswa maana yake...viti maalumu wanatoka CCM, hao wa majimboni na wapinzani wakileta matata, viti maalumu wana sawazisha