Kikao cha Dharura: Mashabiki wa team 12 (Vichwa Ngumu) zilizoanzisha "European Super League". Tukutane hapa tujadili jambo hili

Pale epl boris kauwasha moto
Waziri Mkuu Boris amewasha moto sio kwa maslahi ya UEFA & FIFA, amewasha moto kwasababu hajaeleweshwa jinsi league itakavyokua ina kwenda na hofu yake ni team zote kali za England zimesha sign mikataba na European Super League ya miaka 23.

Sasa anaona league ya england haitakua na ushindani kabisa, team zitawaza kupambana kufa kwenye hio league tu kwasababu ya hela ndefu.
 
Mara paap timu zote sita za epl zimejitoa

Pereza ataficha wapi uso wake.....

Simkubali hata kidogo jamaa
Hawawezi kujitoa kwasababu;

1) Wameisha sign mkataba wa miaka 23 jumapili hii iliopita tayari. Hawawezi wakavunja mkataba.

2) Club zote kubwa za EPL zina milikiwa na wafanya biashara wa USA. Wapo kwaajili ya maslahi zaidi.

3) Wameisha mpiga kitanzi kibaya sana UEFA & FIFA tayari. Lazima UEFA & FIFA watulie kama wana nyolewa (Sasa hivi tu wana papatika ila wanajua tayari imeshakula kwao).

4) Hizo team kubwa ndio zinazo ingiza hela nyingi UEFA kwasababu ya kuwa na mashabiki wengi sana katika kila mechi. UEFA watapoteza hela nyingi sana hao jamaa wakikazia kuendelea na hii League.

#Wamiliki wa team zote kubwa England ni wafanyabiashara, tena ni wahuni kisawasawa. Wapo kwaajili ya hela na kuongeza utajiri wao.
 
Jambo zuri sana tena,akuna kulala.
Mikeka yangu yote hapo kwenye hayo mashindano naziua Arsenal na Barca ingawa mimi Arsenal.
 
Jambo zuri sana tena,akuna kulala.
Mikeka yangu yote hapo kwenye hayo mashindano naziua Arsenal na Barca ingawa mimi Arsenal.
UEFA washenzi, unakumbuka mfano mmoja wa kupanga kwao matokeo (Match ya Arsenal VS Barcelona) Arsenal match ya kwanza walishinda, walipokwenda Nou Camp wakafanyiwa hujuma Van Persie akapigwa kadi nyekundu?

Hao jamaa wanapanga sana matokeo ya mechi, kuanzia group stage mpaka mshindi.

Sasa hili pambano ni la kiuaji zaidi, maana team zote kubwa 12 zitashiriki league bila hata qualifiers match.
 
Mara paap timu zote sita za epl zimejitoa

Pereza ataficha wapi uso wake.....

Simkubali hata kidogo jamaa
wameshasain makubaliano ya kutokujitoa USL, (na walifanya hivyo maksudi ili kama ni kuadhibiwa waadhibiwe wote, kitu ambacho hakiwezi tokea).....


divide and rule hiyo hapo haitakuepo,
 
Ama ile nusu fainali kati ya Barcelona na Chelsea, wakafanya ujinga ujinga ki makusudi wakaitoa Chelsea mpka Drogba akabaki anatumbua mi macho tu. Hawa uefa ni wapuuzi sana bora walivyo tikiswa
 

Wabongo bwana eti hajaeleweshwa hahaha! Mkuu unadhani Borris ni kama mzee meko ambaye hashauriki na ukimshauri umeharibu?

Wenzetu hawaendi hivyo na ukiona kiongozi wa nchi anaongea kitu jua anajua a to z juu ya anachoongea.
 
Unaamini hata huko hakutakua na upangaji wa matokeo???
 
Memaae Paundi million 500 sio mchezo, watu watauana nakwambia. Hapo ndio marefa wataongwa mpaka basi
 
Wabongo bwana eti hajaeleweshwa hahaha! Mkuu unadhani Borris ni kama mzee meko ambaye hashauriki na ukimshauri umeharibu?

Wenzetu hawaendi hivyo na ukiona kiongozi wa nchi anaongea kitu jua anajua a to z juu ya anachoongea.
Imenibidi nicheke tu[emoji23][emoji23][emoji23]

Matajiri wenyewe wamarekani wajiandae tu kupambana na boris mwenye timu zake
 
Wasitutanie Chelsea ndio bigwa
 
Hapa naona huyo mwenyekiti wa ESL anaenda kupiga hela vibaya mno. Nadhani huu ni mtengo ambao vilabu vimeingia kichwa kichwa kwa tamaa za kifedha. Imagine hiyo ligi isifanikiwe kuanza, itabidi vilabu vivunje mkataba sasa lazima wamlipe mwenyekiti maana waliisha saini mkataba awali. Hapo kuna watu watapiga hela we tulia
 
Naona akili zinaanza kukurudia mdo mdo tu
 
Sawa bosi nimekuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…