Mdau nilisema hapa na nitaendelea kusema perez asali sana timu za epl zisijitoe maana iyo michuano yake haitakua na maana tena..........[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]https://jamii.app/JFUserGuide perezMan City kajitoa huko
Perez kabaki na timu kumi sasaUEFA wameshapoteza team zote kubwa, wamebakia na PSG, Bayern na Dortmund. UEFA ijayo tutakua tunaona watoto tu wakicheza.
City na Chelsea washaondoka, Barca na Atletico wanafatia, atabaki Madrid na Man U/Liverwameshasain makubaliano ya kutokujitoa USL, (na walifanya hivyo maksudi ili kama ni kuadhibiwa waadhibiwe wote, kitu ambacho hakiwezi tokea).....
divide and rule hiyo hapo haitakuepo,
Man U tayari kishanuka uko.wanajitoa nao.City na Chelsea washaondoka, Barca na Atletico wanafatia, atabaki Madrid na Man U/Liver
England ma snitch kweli.Man U tayari kishanuka uko.wanajitoa nao.
Nilikuambia ni jambo la muda tuEngland ma snitch kweli.
Hakuna lofa wa kumpa ela perez kindezi ivyoHapa Perez atapiga hela sana, ngoja waje wamlipe fidia kwa kuvunja mkataba.
Hakuna lofa wa kumpa ela perez kindezi ivyo
Hapa ndio utajua hata ulaya viongozi kama mangungo wapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu mpango Perez aliuchora sana we tulia, lazima wamwage mahela kwa kuvunja mkataba. Eti mkataba miaka 20 na ushee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa ule mpunga hakuna timu itakayojitoa hata hizo timu ndogo ambazo zimeshika mabango ni sabb hawajaalikwa ila siku hizi mpira sio talent tena ni biashara
Mwingine huyuDuu.... Tusubir Perez atasemaje
Chizi huyo kawasainisha mikataba ya miaka 23 ch ajabu hata michuano haijaanza ishakufa.....Duu.... Tusubir Perez atasemaje
🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 1758394
Nmecheka sana
Arsenal watakua na mkosi aisee...UEFA wana hali ngumu sana kwa sababu vilabu vikubwa vya dunia tayari wameshaunga mkono jambo hili bila kupepesa nadhan UEFA na FIFA bora waje matao ya chini kuwe na league 3 ukitoa zile za ndani, hiyo Champion League, Super league na Europa hapa issue kubwa ni biashara kama UEFA wameona ni changamoto basi waongeze mapato kwa hivyo vilabu na kuwa wawazi zaidi ili clubs wanachama wavunje mkataba na Super League.,
Kwa mara ya kwanza soccer linapata mtikisiko wa aina yake, na nadhan hii UEFA hawakuilalia wala kuiamkia imekuja kufumuka tu tayari watu washaingia sokoni kushawishi vilabu.,
UEFA mimi nawachukia sana mwaka 2011 Arsenal ikichecha na Barcalona ikiwa tayari Arsenal wanaitoa barcalona basi walimpa kadi nyekundu Van Parsie kwa mipango tu ili fainali lazima akacheze Barcalona na team nyengine ili wake make more money.,
Figisu hazijaanza hivi karibuniFigisu kama hio aliofanyiwa Arsenal VS Barcelona na mechi nyingine nyingi ndio maana wengi walianza kuichukia UEFA, uongozi wa UEFA & FIFA wa miaka ya 1998 mpaka 2007 huko ndio ilikua vizuri. Siku hizi wanaenda kisiasa sana.
We fikiria Mwenyekiti wa UEFA siku hizi mshahara wake ni siri. Wanaficha nini kama sio ufisadi.
Safari hii watu kuanzia 16 bora, wameshapata taarifa kwamba mshindi ni PSG alie andaliwa.