Upekuzi101
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 221
- 542
- Thread starter
- #21
Ndiyo kosa wanalofanya hawaCCM wanatuona watanzania Bado tuko enzi za stone age wanajidanganya sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo kosa wanalofanya hawaCCM wanatuona watanzania Bado tuko enzi za stone age wanajidanganya sana.
Ikipita namna hiyo, Ina maana utaona kila nchi zikianza kutuuzia umeme sasa baada ya kukamilisha bwawaWame mislead Bi Mkubwa hizi Hotuba Kachomekewa tu kwa kweli, Lakini swala Nyeti kama Nishati Kwanini asiwe aware kiasi Icho?
Ufafanuzi wa Msigwa ndio umekuja Kuharibu kabisa
Huo unaozalisha mwenyewe gharama yake unamlipa nani!?Ushaambiwa umeme wa ethiopia ni wa bei nafuu usiochoelewa ni nini? We ni bure kabisa
CCM wanatuona watanzania Bado tuko enzi za stone age wanajidanganya sana.
DaahNa ni marufuku kuhoji legacy za wastaafu. Marufuku kumsema vibaya hadharani Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia akistaafu.
Kwa hiyo legacy zao ziko salama. Hawatabezwa for 200 years.
Mtu ambaye atasifiwa milele kama Mungu hawezi kujali legacy yake. Wanatawala kama kaya ya baba na mama na watoto. Hawajali lolote. Nani huwa anajadili legacy ya baba yake ? Hata kama alikuwa mlevi na kahaba aliyezaa zaa pembeni.
Hakuna anaeuza bila kununua.Kikao cha mwisho tulikubaliana kuwa bwawa likikamilika hatutahangaika tena kuhusu umeme, zaidi tutakuwa na umeme wa kutosha hadi tutauza kwa majirani. Ghafla mama akiwa Same amesema itabidi tununue umeme Ili kuzuia umeme kukatika Kanda ya kaskazini.
Kwaiyo mheshimiwa Samia tukuamini kwenye lipi?
Je tuamini bwawa litamaliza tatizo la umeme au tuamini mpango wako mpya wa kununua umeme nje ndo utamaliza tatizo la umeme kaskazini?
Je swala la sisi Tanzania kuuza umeme ndo limekufa hivo au sisi ndo hatukuelewa vizuri uliposema tutauza umeme nje? au ulimaanisha baada ya bwawa kukamilika tutanunua umeme nje ?
Mtangulizi wako alikuwa bingwa wa kusema na KUTEKELEZA, wewe ni bingwa wa kusema na kuja kubadilisha ulichokisema baadae.
Hizi hotuba hawa jamaa wanakuchomekea tu unakuja kukutana nazo wakati wa kusoma tu au umedhamiria tu kutudanganya danganya kama watoto?
Mama Samia kuwa makini, watanzania tunakuangalia tu ila tushakuelewa kuwa wewe ni bora liende, maana haiwezekani tupambane kuzalisha umeme megawatt 2000 alafu Leo uje utuambie eti unapanga kununua tena umeme, isije ikawa washakuchomekea Ile mipango ya RICHMOND, ESCROW NA MEREMETA. Mambo ya kusema nyeupe Leo kesho unasema nyeusi yanatutia mashaka.
Je tutauza umeme, au tunauziwa umeme