Kikao cha mwisho tulikubaliana kuwa tutauza umeme nje, kulikoni sisi ndo tunanunua tena?

Kikao cha mwisho tulikubaliana kuwa tutauza umeme nje, kulikoni sisi ndo tunanunua tena?

Wame mislead Bi Mkubwa hizi Hotuba Kachomekewa tu kwa kweli, Lakini swala Nyeti kama Nishati Kwanini asiwe aware kiasi Icho?

Ufafanuzi wa Msigwa ndio umekuja Kuharibu kabisa
Ikipita namna hiyo, Ina maana utaona kila nchi zikianza kutuuzia umeme sasa baada ya kukamilisha bwawa
 
Na ni marufuku kuhoji legacy za wastaafu. Marufuku kumsema vibaya hadharani Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia akistaafu.

Kwa hiyo legacy zao ziko salama. Hawatabezwa for 200 years.

Mtu ambaye atasifiwa milele kama Mungu hawezi kujali legacy yake. Wanatawala kama kaya ya baba na mama na watoto. Hawajali lolote. Nani huwa anajadili legacy ya baba yake ? Hata kama alikuwa mlevi na kahaba aliyezaa zaa pembeni.
 
Ccm wameleft group kama wafanyavyo wanaume wa dar
 
Kwani hii ni ajabu sasa???kila mtu anapiga anapowezaaa.
 
Na ni marufuku kuhoji legacy za wastaafu. Marufuku kumsema vibaya hadharani Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia akistaafu.

Kwa hiyo legacy zao ziko salama. Hawatabezwa for 200 years.

Mtu ambaye atasifiwa milele kama Mungu hawezi kujali legacy yake. Wanatawala kama kaya ya baba na mama na watoto. Hawajali lolote. Nani huwa anajadili legacy ya baba yake ? Hata kama alikuwa mlevi na kahaba aliyezaa zaa pembeni.
Daah
 
Kikao cha mwisho tulikubaliana kuwa bwawa likikamilika hatutahangaika tena kuhusu umeme, zaidi tutakuwa na umeme wa kutosha hadi tutauza kwa majirani. Ghafla mama akiwa Same amesema itabidi tununue umeme Ili kuzuia umeme kukatika Kanda ya kaskazini.

Kwaiyo mheshimiwa Samia tukuamini kwenye lipi?
Je tuamini bwawa litamaliza tatizo la umeme au tuamini mpango wako mpya wa kununua umeme nje ndo utamaliza tatizo la umeme kaskazini?

Je swala la sisi Tanzania kuuza umeme ndo limekufa hivo au sisi ndo hatukuelewa vizuri uliposema tutauza umeme nje? au ulimaanisha baada ya bwawa kukamilika tutanunua umeme nje ?
Mtangulizi wako alikuwa bingwa wa kusema na KUTEKELEZA, wewe ni bingwa wa kusema na kuja kubadilisha ulichokisema baadae.

Hizi hotuba hawa jamaa wanakuchomekea tu unakuja kukutana nazo wakati wa kusoma tu au umedhamiria tu kutudanganya danganya kama watoto?

Mama Samia kuwa makini, watanzania tunakuangalia tu ila tushakuelewa kuwa wewe ni bora liende, maana haiwezekani tupambane kuzalisha umeme megawatt 2000 alafu Leo uje utuambie eti unapanga kununua tena umeme, isije ikawa washakuchomekea Ile mipango ya RICHMOND, ESCROW NA MEREMETA. Mambo ya kusema nyeupe Leo kesho unasema nyeusi yanatutia mashaka.

Je tutauza umeme, au tunauziwa umeme
Hakuna anaeuza bila kununua.
 
Back
Top Bottom