Kikao cha NEC Zanzibar: Karume hataki kuongezewa muda!

Kikao cha NEC Zanzibar: Karume hataki kuongezewa muda!

Kama Kikwete angekuwa na ubavu angewakamata wote Karume na Seif kwa uhaini. Wanachofanya ni uhaini. Lakini anao ubavu? Ultimately itabidi yeye ndiye ashtakiwe kwa kutoilinda katiba ya Mwungano wa Jamhuri ya Tanzania kama alivyoapa. In any case it is not as easy as it may look to the Zanzibaris.
 
Kaka according to wazanzibari wanasema kuwa mafuta kampuni zililetwa kutoka Tanzania Bara kuja kuanza kazi ya uchimbaji kwani mikataba ilishafungwa dar na watu wachache including Rostam. Jamaa zanzibar including bosi Karume wakahoji uhalali wa mikataba hiyo wakaambiwa kwakuwa mafuta ni swali la muungano hivyo basi lipo chini ya wizara ya nishati.

Sasa baadhi ya wawakilishi wakahoji uhalali wa swala hilo ikawa ni vuta nikuvute ishu ikazimwa kwa ubabe na JK na washkaji zake kuwa hilo swala litajadiliwa ndani ya muungano in an anticipation of buying time hadi atakapokuja rais wa znz anayemtaka yeye (i.e. JK inasemekana ni mtoto wa mwinyi Dk Hussein Mwinyi) halafu mambo yawe smooth. Sasa jamaa wamestukizia kuwa wanazidiwa kete wamegoma kwasababu wanahoji uhalali wa kuingiza mafuta ndani ya muungano mkubwa sijui ushanifahamu kamanda. Sijui umenipata hapo
I see!! This is very interesting; it can happen as everything is possible in Tanzania. Hiyo wala sikubishii. I am puzzled after learning this if it is true.
 
I see!! This is very interesting; it can happen as everything is possible in Tanzania. Hiyo wala sikubishii. I am puzzled after learning this if it is true.

Katika Rostam nimelisikia hapa JF ila nilisikia kuwa waliokuwa involve na Richmond wako katika dili hili la mafuta sasa mie nilikuwa nadhani Lowassa ila sijamrule out maana Rostam na Lowassa ni kama mtu na kaka yake. Tupe wewe data ulizonazo!!!
 
FM
Jaribu kudodosa nini nafasi ya Mwenyekiti wa CAF kwenye hili kwani nakumbuka walipotangaza kuitambua serekali alikuwepo na kama sijakosea alisema ni maamuzi ya baraza kuu la CUF ndo waliyafikia hayo. Je katika hili na yeye anatengwa na CUF ZNZ kama JK anavyotengwa na CCM huko???

- Sawa saawa mkuu, anyways nitarudi in two hours hopefully na more dataz! ingawa mawasiliano hayapo poa sana!

Respect.


FMEs!
 
]- The more dataz ni kwamba Rostam, amekua mmoja wa wafadhili wakubwa wa CUF since 2000, kupitia kwa kiongozi mmoja wa kwa jina Jusa. Hii investment is about to pay back kwa Rostam, tena big time maana kampuni ya Ughaibuni iliyokuwa inatafuta mafuta tayari imeshaambiwa kufungasha virago, kumpa nafasi Rostam, kuleta kampuni yake itakayosimamia shughuli nzima from now on![/COLOR]

- Rostam again ndiye single handed according to the dataz, aliyempa Karume urais ndani ya CC kule Dodoma behind the scene, na wanaomfahamu kwa karibu wanasema Rostam could careless na Muungano, mbele ya opportunity ya biashara iliyopo hapa mbele yake! According to huyu mjumbe wa kamati maalum aliyenipa dataz ni kwamba kwa maoni yake 85%, muungano umekwisha labda itokee miracles ambayo kwa maneno yake, muungwana hana huo uwezo!

- Lakini pia bado kuna upande wa pili wa the coin huko visiwani yaani wanaotaka Muungano, na wao wamekua wakikutana kwa siri, bado tunajaribu kufuatilia zaidi, na ni kweli Msekwa amepelekwa huko leo asubuhi sana kwa private jet na hivi sasa ninapoandika bado yuko ndani ya hiki kikao cha kamati maalum!

(.....stay...tuned....!..bado tunatafuta yalisemwa ndani ya kikao na nani waliosema.....!)

Respect.

FMEs!


Iwapo haya kuhusu Rostam ni kweli...huenda ndio sababu alifanya kila awezalo ili JK awe Rais wa Jamhuri akijua kuwa hana "balls" za kumzuia siku ikifika.
 
The dataz ni kwamba katika moja ya kikao cha siri kati ya Seif na Karume, waliwekana sawa kwamba, wao wawili ndio Zainzibar ya sasa hakuna cha bara wala CCM, at one point Seif anasadikiwa kumuambia Karume, "..mimi nina umma na wewe una dola...sasa....wabara wa nini yakhe....!", wanaowafahamu wote wawili kwa karibu sana wanasema kwamba wote wawili wanaunganishwa na one principle ya kutoutaka muungano!

- NEC ya mwisho ilipoitishwa Karume hakuja kwa kisingizio cha kwenda kutibiwa nje, this time ameamua kuita kikao maalum huki visiwani siku ya kikao cha CC bara, pamoja na kwamba amearifiwa toka last weeek!

- The more dataz ni Kigogo mmoja wa CCM (jina tunatunza), aling'amua mapema kwamba huko visiwani kuna something fishy, akamfahamisha Muungwana na nini cha kufanya, yaani kumuita Karume mara moja Dodoma kwa siri na kumkalia kooni, Muungwana kwa kutotaka kuonekana anafuata fuata ushauri tu wa wengine na sio maamuzi yake mwenyewe, akaukataa ule ushauri na kuamua yeye binafsi kuitisha kikao cha CC na NEC kule Dodoma, Karume akachomoa na kwenda nje kutibiwa!


- Now to make this dataz story interesting, comes the main man the one and only Rostam in the picture!

......stay....tuned....!

Respect.

FMEs!
Sijui yeye Karume analichukuliaje hili la kujificha kitoto ni bora angekuwa wazi awaeleze wenzake wamuelewe msimamo wake, huku kutoa visingizio itakuwa hivyo mpaka lini? Aina ya viongozi tulionao shida tupu!!
 
Sijui yeye Karume analichukuliaje hili la kujificha kitoto ni bora angekuwa wazi awaeleze wenzake wamuelewe msimamo wake, huku kutoa visingizio itakuwa hivyo mpaka lini? Aina ya viongozi tulionao shida tupu!!


Mkuu, Karume hajifichi...ujue kuwa inapokuja kwenye Siasa...Wazanzibari wapo mbali sana kulinganisha na Wabara. Hii ni plan ya Karume ambayo mimi naona inaenda vizuri sana; mpaka sasa ameshamdhalilisha JK na anaonekana Rais dhaifu sana inapokuja maswala ya Muungano.

Angalia historia ya Zanzibar toka enzi hizo, utaona kuanzia viongozi mpaka wapiga kura, wote miaka yote wana balls (msimamo) na hawana wasiwasi; wako tayari kwa lolote. Wameshaona JK ni dhaifu...wameshambana..hatoki.
 
Kaka according to wazanzibari wanasema kuwa mafuta kampuni zililetwa kutoka Tanzania Bara kuja kuanza kazi ya uchimbaji kwani mikataba ilishafungwa dar na watu wachache including Rostam. Jamaa zanzibar including bosi Karume wakahoji uhalali wa mikataba hiyo wakaambiwa kwakuwa mafuta ni swali la muungano hivyo basi lipo chini ya wizara ya nishati.

Sasa baadhi ya wawakilishi wakahoji uhalali wa swala hilo ikawa ni vuta nikuvute ishu ikazimwa kwa ubabe na JK na washkaji zake kuwa hilo swala litajadiliwa ndani ya muungano in an anticipation of buying time hadi atakapokuja rais wa znz anayemtaka yeye (i.e. JK inasemekana ni mtoto wa mwinyi Dk Hussein Mwinyi) halafu mambo yawe smooth. Sasa jamaa wamestukizia kuwa wanazidiwa kete wamegoma kwasababu wanahoji uhalali wa kuingiza mafuta ndani ya muungano mkubwa sijui ushanifahamu kamanda. Sijui umenipata hapo

Nimekupata sawia,hopefully kila mmoja yuko kwenye same page.....Kazi ipo.
 
Kama Kikwete angekuwa na ubavu angewakamata wote Karume na Seif kwa uhaini. Wanachofanya ni uhaini. Lakini anao ubavu? Ultimately itabidi yeye ndiye ashtakiwe kwa kutoilinda katiba ya Mwungano wa Jamhuri ya Tanzania kama alivyoapa. In any case it is not as easy as it may look to the Zanzibaris.

kukacha kikao cha cc ni uhaini??
vyama vingi sasa hivi

muungwana keshaapa piga garagaza muungano hauwezi kumvunjikia mikononi mwake na hawezi ku swallow his pride,
binafsi nampa the benefit of doubt kwamba ataonyesha makucha yake for the first time
 
Mkuu, Karume hajifichi... Wameshaona JK ni dhaifu...wameshambana..hatoki.

JK pia amefail kujenga PR yake zanzibar...ili kuonesha nguvu ya muungano....nyerere hakuwa mjinga alipokuwa akiwapa ruzuku ya umeme......Juzi hapa zanzibar hadi saa mwezi wa tatu huu hawana umeme...JK ameshindwa kutuma msaada unaoeleweka kwenye sehemu ya muungano yenye taabu...hilo limeleta malalamiko kwa wananchi wa kawaida .... wameona kuwa serikali ya muungano haina faida wala msaada kwao.....Jk anapenda visasi ....alidhani kuwa kwa kujiweka mbali na suala la umeme angemkomoa karume ...but worse ni kuwa amedhalilisha uwezo wa serikali ya muungano kama BABA....
 
Any way huu ndio mtikisiko tulikuwa tunasubiri kuelekea uchaguzi
 
Mkuu, Karume hajifichi...ujue kuwa inapokuja kwenye Siasa...Wazanzibari wapo mbali sana kulinganisha na Wabara. Hii ni plan ya Karume ambayo mimi naona inaenda vizuri sana; mpaka sasa ameshamdhalilisha JK na anaonekana Rais dhaifu sana inapokuja maswala ya Muungano.

Angalia historia ya Zanzibar toka enzi hizo, utaona kuanzia viongozi mpaka wapiga kura, wote miaka yote wana balls (msimamo) na hawana wasiwasi; wako tayari kwa lolote. Wameshaona JK ni dhaifu...wameshambana..hatoki.


Nakubaliana kabisa na uliyoyaandika. Kikao cha kamati kuu kinaweza kuitishwa tena haraka iwezekanavyo ili kujadili maamuzi ya CCM Zenj kuhusiana na Karume kuendelea katika awamu ya tatu na Karume mwenyewe kufanya hila kwa kutohudhuria ili kumkwamisha Kikwete na kamati kuu. Katika kikao hicho ambacho kinaweza kuitishwa tena maamuzi mazito dhidi ya Karume na CCM Zenj yanaweza kuchukuliwa. Je, Karume na CCM Zanzibar watayaheshimu maamuzi hayo na kuyatekeleza? Kama wakiamua kuyadharau maamuzi hayo na kutoyafanyia kazi nini kitafuata? Je, Karume atafukuzwa CCM? Je, Kikwete atatangaza hali ya hatari Zanzibar na hivyo kuviweka Visiwa hivyo chini ya ulinzi mkali wa Jeshi? Tusubiri tuone kizungumkuti hiki kitakavyoendelea. Wazanzibar wanaelekea wameshaamua liwalo na liwe na kama wakiendelea na msimamo wao bila kuwasikiliza wenzao wa Bara basi Kikwete ana kazi nzito sana katika siku za usoni.
 
1. Kumbe uongozi ni zaidi ya kuuza sura! Haya yanayotokea hapa yanaonyesha jinsi uongozi unavyotaka mtu vigilant. Asiyelala maana anaogopa kuuwawa. Kama tuna machozi basi tujiandae kujililia wenyewe.
2. Wakati tunawalea na kuwafuga "watu wanaoweza kufanya lolote kuvuruga nchi, tulitegemea nini? Tunavuna tunayoyapanda. Dunia hii na mambo yake sio rahisi kama kuweka number kwenye formula ya kutafuta accerelation
 
Nimesikia habari nyepesi toka dar eti usalama wa taifa unaanza kutufatilia JF kwa kuchochea vurugu na upotezaji wa amani ni kweli jamani au??? mwenye data atupe Field Marshall hebu ifatilie mkuu
 
kukacha kikao cha cc ni uhaini??
Vyama vingi sasa hivi

muungwana keshaapa piga garagaza muungano hauwezi kumvunjikia mikononi mwake na hawezi ku swallow his pride,
binafsi nampa the benefit of doubt kwamba ataonyesha makucha yake for the first time


at this point mezani anaonekana kushindwa...labda tuseme atatumia ubabe ...ambao utasababisha umwagaji damu...maana kujiapiza kwa namna hiyo bila kuchukua hatua za kiutawala ...kutalazimu kutumia nguvu za kijeshi ....jambo ambalo wananchi hatuwezi kukubali....ni ndugu sisi ati!!.......

jk akishindwa hili atakuwa ameenda kinyume na kiapo..chake...
 
Nimesikia habari nyepesi toka dar eti usalama wa taifa unaanza kutufatilia JF kwa kuchochea vurugu na upotezaji wa amani ni kweli jamani au??? mwenye data atupe Field Marshall hebu ifatilie mkuu


LOL....
wapi na wapi na usalama wa Taifa au usalama wa wana siasa, waende pia kule zenji kwenye jamvi letu la Mzalendo.net waone amani iaavyoelekea kuvunjika.
 
Kama Kikwete angekuwa na ubavu angewakamata wote Karume na Seif kwa uhaini. Wanachofanya ni uhaini. Lakini anao ubavu? Ultimately itabidi yeye ndiye ashtakiwe kwa kutoilinda katiba ya Mwungano wa Jamhuri ya Tanzania kama alivyoapa. In any case it is not as easy as it may look to the Zanzibaris.

Jasusi,

Unakumbuka Nyerere alivyomfanyia Jumbe katika "machafuko ya hali ya hewa" ya ZNZ early eighties?

Jumbe alitaka kuleta uhaini wa kuvunja muungano, Nyerere akacheza deal na Hamadi, sekretari wa Jumbe akachukua makabrasha yote, Jumbe akapewa ultimatum kujiuzulu.

Kikwete hana intellect wala courage ya kufanya kitu kama hicho, ambacho anatakiwa kufanya kama kweli anataka kuunusuru muungano huu.

This is nothing new, Kikwete cannot say that this is unprecedented and that he is in uncharted waters.

Personally, nafikiri ipigwe referrendum na muungano ukishindwa kupata simple majority on both sides uvunjwe.
 
Back
Top Bottom