Elsa Marie
JF-Expert Member
- Jul 7, 2017
- 2,284
- 5,596
Unakuta mtu anaona kinyaa kalala na mke wa mtu lakini anaona sawa kulala na malaya anae mnunua. Leo huyu kesho yule.Kwani mkuu ukilala na wanawake wengine wasio wake za watu, nao si huwa wana watu wao pia?
Kama ni suala la usafi basi watu waache kubinjuana iwe kwa wake za watu au wanawake wengine...
Tutakualika kwenye Kikao Na. 35 mkuu. Soon tutalate Tangazo la kuomba Agenda. Tumekubaliana kiwe live hapa jukwaani.Leo nimeukwepa huu mtego. Nimefika mjini nikamjulisha schoolmate wangu kwamba nipo mjini. Akafurahi sana, akauliza lini tutaonana. Nikamwambia siku naondoka kurudi makao makuu ntakutafuta asubuhi yake.
Sasa leo kanitafuta mapema anasema tayari amesha pata ruhusa kwa mume nimpe location.
Sasa kila location ambayo ntamtajia tuonane (ya chakula na vinywaji) kwa ajili ya kusalimiana na kupiga stori za hapa na pale, mwenzangu akazikataa zote.
Nikamwambia sasa wewe ni mwenyeji, niambie wapi tuonane. Akacheka kwa kejeli flani, akanambia kumbe bado hujakua, jifikirie kwanza then utanirudia.
Sasa katika D mbili nilizonazo, nna ka A ka hisabati, nikaishia kucheka tu.
Saiv nipo safari, sijamrudia.
Mkuu tutakukatibisha kwenye Kikao kijacho Mwezi huuumeambiwa mbususu ziko nyingi huko nje hizi za wenzako waliojitolea kwa udi na uvumba kuwasitiri hao wanawake ziache
Nishtue tu wakati ukifika, ni muhimu sana kuhudhuria hivi vikaoMkuu tutakukatibisha kwenye Kikao kijacho Mwezi huu
Tupe ushahidiKuna mke wa mtu ananitega huku inbobo😩
Hiyo A itakua uliangalizia haina faida kwakoLeo nimeukwepa huu mtego. Nimefika mjini nikamjulisha schoolmate wangu kwamba nipo mjini. Akafurahi sana, akauliza lini tutaonana. Nikamwambia siku naondoka kurudi makao makuu ntakutafuta asubuhi yake.
Sasa leo kanitafuta mapema anasema tayari amesha pata ruhusa kwa mume nimpe location.
Sasa kila location ambayo ntamtajia tuonane (ya chakula na vinywaji) kwa ajili ya kusalimiana na kupiga stori za hapa na pale, mwenzangu akazikataa zote.
Nikamwambia sasa wewe ni mwenyeji, niambie wapi tuonane. Akacheka kwa kejeli flani, akanambia kumbe bado hujakua, jifikirie kwanza then utanirudia.
Sasa katika D mbili nilizonazo, nna ka A ka hisabati, nikaishia kucheka tu.
Saiv nipo safari, sijamrudia.
Wazinzi mmesikitika sana aiseeHiyo A itakua uliangalizia haina faida kwako