Labda mashabiki wake wangemwita baba wa Taifa MWENZA kwa sababu aliiasisi Tanzania akishirikiana na mwenzake Karume, hapo ningewaelewa.Mkuu
Ulichoandika hapa ni tofauti na kichwa cha habari.
Labda tukuulize unafahamu sifa za kiongozi wa taifa kuitwa baba wa taifa?
a) Kama jibu ni ndiyo zitaje, kisha fafanua kwanini?
b) kama jibu ni hapana, kwanini umeiweka hii hoja hapa na hujui unachokiwakilisha.
Mwalimu Nyerere kama Rais wa kwanza wa Tanganyika alikabidhiwa nchi na mkolon mwingereza mwaka 1961 ,nchi ikiwa ya 1 kwa uzalishaj na uzaji wa katan dunian.pia nchi maarufu kwa uzalishaji na uzaji wa kahawa,korosho na raslimal nying sana .Lakini mwaka 1985 kaacha nchi hohehahe,miongon mwa nchi maskin zaid dunian,pia nchi inayotegemea misaada kuliko nchi nyingine,huduma za kijamii zikiwa duni sana.
Mwalimu Nyerere kama Rais wa kwanza wa Tanganyika alikabidhiwa nchi na mkolon mwingereza mwaka 1961 ,nchi ikiwa ya 1 kwa uzalishaj na uzaji wa katan dunian.pia nchi maarufu kwa uzalishaji na uzaji wa kahawa,korosho na raslimal nying sana .Lakini mwaka 1985 kaacha nchi hohehahe,miongon mwa nchi maskin zaid dunian,pia nchi inayotegemea misaada kuliko nchi nyingine,huduma za kijamii zikiwa duni sana.
Acha ushamba wewe! Kama hupendezwi na tathmini yake pita tu, Uchochezi kutoa maoni yake? Hata wewe ukileta comments zako kuhusu Jk wapo wataosema Uchochezi hapa ni sehemu watu wanapata fursa ya kusema wanachokiamini kama hukubaliani nacho jenga hoja sio kuomba mods wafute au wahamishe.Kaanzishe jukwaa lako la kujadili unachokipenda penda yako. Ukikereka akijadiliwa Nyerere jua pia wapo wanaokereka akijadiliwa Mwinyi,Mkapa au Kikwete.Ungejifunza Lesson ya kuanguka Ukuta wa Berlin 1989 usingekuwa Block mind kwa Namna unavoonekana, Mwl Nyerere mwenyewe anakiri hakuongoza serikali ya Malaika na anasema yapo makosa waliyofanya na hajawahi kukutazeni msiyazungumze, anakosolewa liwe funzo kwa wengine kwa mabaya yake kama vile tunavomkumbuka kwa Mazuri yake watu waige!
Kikao gani cha serikali na chama walikaa na kuamua kumwita Mwl.Nyerere kuwa aitwe baba wa taifa? Kikao hicho kilifanyika wapi na tarehe ngapi? Tangazo la jina hilo lilitolewa na nani na katika chombo kipi halali cha serikali?
Kuna wakati mbunge mmoja simkumbuki jina alisema"kwakuwa Nyerere anaingia kwenye mchakato wa utakatifu basi heshima ya ubaba wa taifa apewe mh.Mkapa!" akaongeza "kwakuwa utawala wa Mkapa ulikuwa mzuri basi napendekeza bunge liridhie tubadili katiba ili mkapa agombee tena ili aweze kutawala kwa miaka 10 mingine?".
Mytake:
Huu ni mlolongo wa sintofahamu ndani ya Tanzania ambazo zimepaliliwa tangu enzi! Kwani Nyerere alilifanyia nini kanisa katoliki hadi limpe hadhi ya utakatifu wakati yeye mwenyewe alidai ni haramu/dhambi kuchanganya dini na siasa?
Naomba tujadili hoja hii nyeti kwa ueledi nasio matusi na kejeli.
Labda mashabiki wake wangemwita baba wa Taifa MWENZA kwa sababu aliiasisi Tanzania akishirikiana na mwenzake Karume, hapo ningewaelewa.
Unataka apewe Ponda?
nilifikiri vichaa wanapungua kumbe mpaka humu jamii forum mpo...!
Sasa na ww kwa akili yako mwl. Nyerere utamlinganisha kweli na mwinyi au mkapa na hata huyo kikwete? Ni sawa kulinganisha Messi na kuna Ngassa..
Nitakubaliana na hoja zenu mpaka tuu pale doctors watakapo cofm that ur witted....
Acha ushamba wewe! Kama hupendezwi na tathmini yake pita tu, Uchochezi kutoa maoni yake? Hata wewe ukileta comments zako kuhusu Jk wapo wataosema Uchochezi hapa ni sehemu watu wanapata fursa ya kusema wanachokiamini kama hukubaliani nacho jenga hoja sio kuomba mods wafute au wahamishe.Kaanzishe jukwaa lako la kujadili unachokipenda penda yako. Ukikereka akijadiliwa Nyerere jua pia wapo wanaokereka akijadiliwa Mwinyi,Mkapa au Kikwete.Ungejifunza Lesson ya kuanguka Ukuta wa Berlin 1989 usingekuwa Block mind kwa Namna unavoonekana, Mwl Nyerere mwenyewe anakiri hakuongoza serikali ya Malaika na anasema yapo makosa waliyofanya na hajawahi kukutazeni msiyazungumze, anakosolewa liwe funzo kwa wengine kwa mabaya yake kama vile tunavomkumbuka kwa Mazuri yake watu waige!
Kinaja bado unaleta swali ambalo jibu ni lile unalolitaka. Pia Nyerere sio mtu pekee duniani anaye itwa baba wa taifa, wapo watu kibao wenye vyeo hivyo hapa duniani.
mwanzo nilifikiri una hoja ya msingi kujadili kuhusu u-baba wa taifa Mwl. JK Nyerere,kilichonishtusha ni kubaini hoja iko kidini zaidi,Nyerere ata mbatize leo mmuite mbweha wa taifa haathiriki na chochote,ita jina unaloona ukimuita wewe roho yako itaswafika.
Kikao kilifanyika nyumbani kwako, mbele ya baba yako na mama yako....baada ya kukubaliana wakakutuma wewe
kuutangazia umma pale barazani kwenu kwa kutumia vuvuzela kama zile za kwenye world cup SA. Je, unalingine?
Kikao gani cha serikali na chama walikaa na kuamua kumwita Mwl.Nyerere kuwa aitwe baba wa taifa? Kikao hicho kilifanyika wapi na tarehe ngapi? Tangazo la jina hilo lilitolewa na nani na katika chombo kipi halali cha serikali?
Kuna wakati mbunge mmoja simkumbuki jina alisema"kwakuwa Nyerere anaingia kwenye mchakato wa utakatifu basi heshima ya ubaba wa taifa apewe mh.Mkapa!" akaongeza "kwakuwa utawala wa Mkapa ulikuwa mzuri basi napendekeza bunge liridhie tubadili katiba ili mkapa agombee tena ili aweze kutawala kwa miaka 10 mingine?".
Mytake:
Huu ni mlolongo wa sintofahamu ndani ya Tanzania ambazo zimepaliliwa tangu enzi! Kwani Nyerere alilifanyia nini kanisa katoliki hadi limpe hadhi ya utakatifu wakati yeye mwenyewe alidai ni haramu/dhambi kuchanganya dini na siasa?
Naomba tujadili hoja hii nyeti kwa ueledi nasio matusi na kejeli.
Sideeq, kumbuka kuwa wavumao baharini ni papa kumbe na wengine wamo. bas katika kundi kubwa la watu lazima atangulie/atangulizwe mmoja huyo ataitwa kiongozi atapewa hata sifa anbazo pengine asingestahili kama angekuwa mtu wa kawaida. hata aweza kulaumiwa kwa jambo alilotenda wa chini yake. basi hi heshima alipewa kwa sababu alikuwa mbele. ni bahati kuwa mbele na ni haki kupata kile aliyepo mbele hustahili. nyerere aliitwa baba wa taifa kwa sababu alikuwa mbele/kiongozi hii haina maana kuwa angekaa mwingine hiyo nafasi yake huyo mtu asingeitwa baba wa taifa. hiyo si nafasi ya nyerere kama mtu aitwae hivo bali kama kiongozi aliyetangulia wengine wote. zaidi watu waliona alistahili kwani walimpimama kwa uadilifu, kazi na uaminifu na kwapenda watu wake kama baba. ni watu walipima hivo. yeyote anayeona watu walikosea anaweza kuja na hoja ya kupinga mawazo hayo na kuonyesha jisnsi nyerere asivyostahili ubaba wa taifa. ajenge hoja zake objectively si kwa ushabiki wa siasa au dini au rangi bali kwa vigezo vinavyopimika