Kikao gani kiliamua Nyerere awe 'Baba wa Taifa'?

Kikao gani kiliamua Nyerere awe 'Baba wa Taifa'?

Mkuu
Ulichoandika hapa ni tofauti na kichwa cha habari.

Labda tukuulize unafahamu sifa za kiongozi wa taifa kuitwa baba wa taifa?

a) Kama jibu ni ndiyo zitaje, kisha fafanua kwanini?

b) kama jibu ni hapana, kwanini umeiweka hii hoja hapa na hujui unachokiwakilisha.
Labda mashabiki wake wangemwita baba wa Taifa MWENZA kwa sababu aliiasisi Tanzania akishirikiana na mwenzake Karume, hapo ningewaelewa.
 
Mwalimu Nyerere kama Rais wa kwanza wa Tanganyika alikabidhiwa nchi na mkolon mwingereza mwaka 1961 ,nchi ikiwa ya 1 kwa uzalishaj na uzaji wa katan dunian.pia nchi maarufu kwa uzalishaji na uzaji wa kahawa,korosho na raslimal nying sana .Lakini mwaka 1985 kaacha nchi hohehahe,miongon mwa nchi maskin zaid dunian,pia nchi inayotegemea misaada kuliko nchi nyingine,huduma za kijamii zikiwa duni sana.

Bora apewe Mr. Bagamoyo na madaraja matatu... finally kafanikiwa kuivunja Tanganyika...
 
Mwalimu Nyerere kama Rais wa kwanza wa Tanganyika alikabidhiwa nchi na mkolon mwingereza mwaka 1961 ,nchi ikiwa ya 1 kwa uzalishaj na uzaji wa katan dunian.pia nchi maarufu kwa uzalishaji na uzaji wa kahawa,korosho na raslimal nying sana .Lakini mwaka 1985 kaacha nchi hohehahe,miongon mwa nchi maskin zaid dunian,pia nchi inayotegemea misaada kuliko nchi nyingine,huduma za kijamii zikiwa duni sana.

Nadhani wewe ni new member,thread kama hii ziko nyingi humu,ushugulishe ubongo wako utaziona
 
Acha ushamba wewe! Kama hupendezwi na tathmini yake pita tu, Uchochezi kutoa maoni yake? Hata wewe ukileta comments zako kuhusu Jk wapo wataosema Uchochezi hapa ni sehemu watu wanapata fursa ya kusema wanachokiamini kama hukubaliani nacho jenga hoja sio kuomba mods wafute au wahamishe.Kaanzishe jukwaa lako la kujadili unachokipenda penda yako. Ukikereka akijadiliwa Nyerere jua pia wapo wanaokereka akijadiliwa Mwinyi,Mkapa au Kikwete.Ungejifunza Lesson ya kuanguka Ukuta wa Berlin 1989 usingekuwa Block mind kwa Namna unavoonekana, Mwl Nyerere mwenyewe anakiri hakuongoza serikali ya Malaika na anasema yapo makosa waliyofanya na hajawahi kukutazeni msiyazungumze, anakosolewa liwe funzo kwa wengine kwa mabaya yake kama vile tunavomkumbuka kwa Mazuri yake watu waige!

nilifikiri vichaa wanapungua kumbe mpaka humu jamii forum mpo...!
Sasa na ww kwa akili yako mwl. Nyerere utamlinganisha kweli na mwinyi au mkapa na hata huyo kikwete? Ni sawa kulinganisha Messi na kuna Ngassa..
Nitakubaliana na hoja zenu mpaka tuu pale doctors watakapo cofm that ur witted....
 
Kikao gani cha serikali na chama walikaa na kuamua kumwita Mwl.Nyerere kuwa aitwe baba wa taifa? Kikao hicho kilifanyika wapi na tarehe ngapi? Tangazo la jina hilo lilitolewa na nani na katika chombo kipi halali cha serikali?
Kuna wakati mbunge mmoja simkumbuki jina alisema"kwakuwa Nyerere anaingia kwenye mchakato wa utakatifu basi heshima ya ubaba wa taifa apewe mh.Mkapa!" akaongeza "kwakuwa utawala wa Mkapa ulikuwa mzuri basi napendekeza bunge liridhie tubadili katiba ili mkapa agombee tena ili aweze kutawala kwa miaka 10 mingine?".

Mytake:
Huu ni mlolongo wa sintofahamu ndani ya Tanzania ambazo zimepaliliwa tangu enzi! Kwani Nyerere alilifanyia nini kanisa katoliki hadi limpe hadhi ya utakatifu wakati yeye mwenyewe alidai ni haramu/dhambi kuchanganya dini na siasa?

Naomba tujadili hoja hii nyeti kwa ueledi nasio matusi na kejeli.

Kinaja bado unaleta swali ambalo jibu ni lile unalolitaka. Pia Nyerere sio mtu pekee duniani anaye itwa baba wa taifa, wapo watu kibao wenye vyeo hivyo hapa duniani.
 
Labda mashabiki wake wangemwita baba wa Taifa MWENZA kwa sababu aliiasisi Tanzania akishirikiana na mwenzake Karume, hapo ningewaelewa.

Mkuu, leo sihitaji sana mjadala nimechoka, labda tusaidie na msaidie mtoa hoja kutuelimisha, tuwe kama wenye akili

timamu hivi.
Ilikukanusha jambo flani lazima ulijuwe vema undani wake, vinginevyo ni ushabiki usio na mizania katika kubisha.

Labda tukuulize unafahamu sifa za kiongozi wa taifa kuitwa baba wa taifa?

a) Kama jibu ni ndiyo zitaje, kisha fafanua kwanini?

b) kama jibu ni hapana, kwanini aiweke hii hoja hapa na hajui unachokiwakilisha.
 
mtu aliyeanzisha hela na huyo alieanzisha jf hawa watu ni hatari
 
nilifikiri vichaa wanapungua kumbe mpaka humu jamii forum mpo...!
Sasa na ww kwa akili yako mwl. Nyerere utamlinganisha kweli na mwinyi au mkapa na hata huyo kikwete? Ni sawa kulinganisha Messi na kuna Ngassa..
Nitakubaliana na hoja zenu mpaka tuu pale doctors watakapo cofm that ur witted....

sawa mie kichaa wewe mzima mbona umeshindwa kuelewa kuwa hakuna sehemu tuliyolinganisha bali wametajwa kama mfano? Kwa nini unahofu Nyerere kujadiliwa? Acha ajadiliwe kama unayajua mazuri yake weka hapa na mwenye kuyajua mabaya yake waweke ili tumjue pande zote mbili.matusi ni style za wajanja wa zamani unaweza kujadili bila ya kutukana hapa!
 
Acha ushamba wewe! Kama hupendezwi na tathmini yake pita tu, Uchochezi kutoa maoni yake? Hata wewe ukileta comments zako kuhusu Jk wapo wataosema Uchochezi hapa ni sehemu watu wanapata fursa ya kusema wanachokiamini kama hukubaliani nacho jenga hoja sio kuomba mods wafute au wahamishe.Kaanzishe jukwaa lako la kujadili unachokipenda penda yako. Ukikereka akijadiliwa Nyerere jua pia wapo wanaokereka akijadiliwa Mwinyi,Mkapa au Kikwete.Ungejifunza Lesson ya kuanguka Ukuta wa Berlin 1989 usingekuwa Block mind kwa Namna unavoonekana, Mwl Nyerere mwenyewe anakiri hakuongoza serikali ya Malaika na anasema yapo makosa waliyofanya na hajawahi kukutazeni msiyazungumze, anakosolewa liwe funzo kwa wengine kwa mabaya yake kama vile tunavomkumbuka kwa Mazuri yake watu waige!

Sawa kabisa mkuu,ana mazuri yake na ana mabaya yake,na kila mtu ana mtazamo wake,watu wote hatuwezi kufikiria sawa,wangine kumzungumzia Nyerere kwa yale aliyo kosea inaonekana kufuru na dhambi.
 
Kinaja bado unaleta swali ambalo jibu ni lile unalolitaka. Pia Nyerere sio mtu pekee duniani anaye itwa baba wa taifa, wapo watu kibao wenye vyeo hivyo hapa duniani.

mbona unaongea kibubusa.
 
Wakati Mwinyi anaingia Ikulu,hakukuwa na pesa za kuwalipa mishahara wafanyakazi,ilibidi Mugabe aokoe jahazi.
 
Bahati yako umepigwa BAN, manake ningetaka unieleze ni kikao gani kiliamua baba yako aitwe baba yako
 
mwanzo nilifikiri una hoja ya msingi kujadili kuhusu u-baba wa taifa Mwl. JK Nyerere,kilichonishtusha ni kubaini hoja iko kidini zaidi,Nyerere ata mbatize leo mmuite mbweha wa taifa haathiriki na chochote,ita jina unaloona ukimuita wewe roho yako itaswafika.


Bora useme wewe mkuu, sijaona upeo wa chini wa kufikiri wa kiwango hiki. Inasaidia nini kuchukia dini ya mwenzio? Haya ni mambo ya ajabu sana. Duh!
 
Heshma aliyoipata Nyerere haikutokana na vikao .Nyerere alijijengea Heshma kwa yale aliyo yafanya katika Jamii ya Tanzania na Kimataifa kwa Kadri ya uwezo wake ambao Mungu alimjali. Kumbuka kuna wengine walijaribu hapo katikati kutoa majina mbalimbali kwa Viongozi walifuatia lakini yalikosa mshiko kwani hayaku husiana kiuhalisia na yale waliyoyafanya katika Uongozi wao.

Kuhusu suala la Utakatifu halihusiani na nafasi yake kama Rais au Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi wala si haki kufikiri kuwa Utakatifu unapatikana kwa lile ulilolitenda kwa Kanisa.Utakatifu kwa Maoni yangu siyo ofa au zawadi kwa Mtu ni mchakato maalum kabisa ambao unahusiana na maisha Binafsi ya Muumini na kwanamna alivyo ishi kwa unyenyekevu na kutekeleza maagizo ya Mungu .
 
Ni kikao gani kiliamua kwamba mwanamme aliyezaa na mama yako mzazi umuite "baba"?
 
Kikao kilifanyika nyumbani kwako, mbele ya baba yako na mama yako....baada ya kukubaliana wakakutuma wewe
kuutangazia umma pale barazani kwenu kwa kutumia vuvuzela kama zile za kwenye world cup SA. Je, unalingine?

Kumbe kweli humuJFkuna wapumbavu kwelikweli.Hivi kwanini udini wawakristo hauwenekani ila wawaislamu tu?Au hiyo yenu sio dini ya kweli hivyo haistahili kuitwa udini bali ukafiri?Mtoa uzi kauliza vizuri tu,Baba wataifa ni heshima tu kwamchangowake ktk Taifa,Lakini maaskofu wanataka kumsimika mwenyeheri kalifanyia nini kanisa na kuwaacha waislam nyuma haliyakua yeye si MDINI?.Hapo ndo tunaamini Nyerere ndiye mwasisi wa UDINI tanzania.Baada ya kulegalega ktk utawala wa kikwete maaskofu wanataka kuurudishia nguvu kupitia DR SLAA.
 
Karibu kila taifa lina FOUNDING FATHERS! Ni vikao gani mataifa yao yalikaa na kuwatunuku u-founding father?
 
Kikao gani cha serikali na chama walikaa na kuamua kumwita Mwl.Nyerere kuwa aitwe baba wa taifa? Kikao hicho kilifanyika wapi na tarehe ngapi? Tangazo la jina hilo lilitolewa na nani na katika chombo kipi halali cha serikali?
Kuna wakati mbunge mmoja simkumbuki jina alisema"kwakuwa Nyerere anaingia kwenye mchakato wa utakatifu basi heshima ya ubaba wa taifa apewe mh.Mkapa!" akaongeza "kwakuwa utawala wa Mkapa ulikuwa mzuri basi napendekeza bunge liridhie tubadili katiba ili mkapa agombee tena ili aweze kutawala kwa miaka 10 mingine?".

Mytake:
Huu ni mlolongo wa sintofahamu ndani ya Tanzania ambazo zimepaliliwa tangu enzi! Kwani Nyerere alilifanyia nini kanisa katoliki hadi limpe hadhi ya utakatifu wakati yeye mwenyewe alidai ni haramu/dhambi kuchanganya dini na siasa?

Naomba tujadili hoja hii nyeti kwa ueledi nasio matusi na kejeli.


Umegusa mfupa wapumbavu lazima wadhihirishe upumbavu wao kwa kuendelea kukanusha.Huyo ndio mwasisi wa mfumo ule hatari mfumo K.Mtangazaji wamfumo huo ni vyombo vya habari kwakupotosha hivyo ili kuulinda mfumo.Hili la arusha kidoogo wametumia busara.
 
Sideeq, kumbuka kuwa wavumao baharini ni papa kumbe na wengine wamo. bas katika kundi kubwa la watu lazima atangulie/atangulizwe mmoja huyo ataitwa kiongozi atapewa hata sifa anbazo pengine asingestahili kama angekuwa mtu wa kawaida. hata aweza kulaumiwa kwa jambo alilotenda wa chini yake. basi hi heshima alipewa kwa sababu alikuwa mbele. ni bahati kuwa mbele na ni haki kupata kile aliyepo mbele hustahili. nyerere aliitwa baba wa taifa kwa sababu alikuwa mbele/kiongozi hii haina maana kuwa angekaa mwingine hiyo nafasi yake huyo mtu asingeitwa baba wa taifa. hiyo si nafasi ya nyerere kama mtu aitwae hivo bali kama kiongozi aliyetangulia wengine wote. zaidi watu waliona alistahili kwani walimpimama kwa uadilifu, kazi na uaminifu na kwapenda watu wake kama baba. ni watu walipima hivo. yeyote anayeona watu walikosea anaweza kuja na hoja ya kupinga mawazo hayo na kuonyesha jisnsi nyerere asivyostahili ubaba wa taifa. ajenge hoja zake objectively si kwa ushabiki wa siasa au dini au rangi bali kwa vigezo vinavyopimika

jamaa anataka kujua ni nani aliempa ubaba wa taifa inawezekana kuna mtu/watu au kikundi ambao walimwita kwa mara ya kwanza hata yeye kujitambua kuwa ni baba wa taifa. Au alijiita yeye?
 
Back
Top Bottom