Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,087
Swali:Je hatujawahi kuwa na 'mama wa taifa'?
Na kama 'mama wa taifa yupo/walikuwepo,anaitwa/wanaitwa nani? kina nani ni 'watoto wa taifa'?
Kanisa lina taratibu na vigezo vyake katika kuwatangaza watakatifu.Hakuna siasa kule bali ni roho mtakatifu huongoza libeneke zima.
Si kila jambo linahitaji kikao.
Kwani wewe ulimuita babako 'baba' au mamako 'mama' baada ya kikao na wewe kuafiki hivyo?
Nyerere ni baba wa Taifa.Itabaki hivyo siku zote.
Mkapa hawezi kuwa hata shemeji/mjomba wa taifa-Never!!!!
Jibu zuri sana! Haa haaa haaaa haaaa hapo kwa mkapa umeniacha hoi!kwii kwiii kwiii kwiii kwi kwi.