Kikatiba, Waziri Mkuu ndiye Msimamizi wa Mawaziri wote. Sasa Lukuvi na Kabudi watasimamia Mawaziri vipi?

Kikatiba, Waziri Mkuu ndiye Msimamizi wa Mawaziri wote. Sasa Lukuvi na Kabudi watasimamia Mawaziri vipi?

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Rais Samia leo amesema amewaondoa kwenye baraza la mawaziri Lukuvi na Kabudi ili wabakie ikulu kuwasimamia (kuwachapa viboko!) mawaziri wengine wote. Pia Rais Samia amesema nafasi za Kabudi na Lukuvi haziko popote kwenye muundo wa serikali (yaani haziko kikatiba).

Sasa hoja iko hapa.
Katika mazingira ambayo baraza la mawaziri ni chombo huru cha kikatiba katika kuendesha serikali, wajumbe wake wakitajwa kikatiba (Rais, makamu wa rais, Rais wa Zanzibar, waziri mkuu na mawaziri (sio manaibu waziri)), ni vipi mtu asiye mjumbe wa baraza la mawaziri (kama Lukuvi na Kabudi) akawa na mamlaka ya kusimamia utendaji kila siku wa baraza la mawaziri?
Ni vipi siri za baraza la mawaziri zitalindwa ikiwa wasimamizi wake (Lukuvi na Kabudi) sio wajumbe na hawakuapa popote kuzilinda?

Kikatiba waziri mkuu ndio kiongozi, msimamizi na kiranja wa mawaziri wote. Kwa kauli hii ya leo ya Samia (ambayo yeye mwenyewe amekiri haiko kikatiba) inapora mamlaka ya waziri mkuu katika kuwasimamia mawaziri wote ili kuwapa mamlaka Lukuvi na Kabudi.
Je, Lukuvi na Kabudi wanafanya kazi hizo kwa sheria ipi?
Watatumia mamlaka ipi ya kikatiba kufanya kazi hizo?
Watalipwa na nani kufanya kazi hizo ikiwa sheria na muundo wa serikali hauwatambui?

Je watawajibika kumsimamia (kumchapa viboko!) na waziri mkuu katika utendaji wake?

Nini kitatokea ikiwa utendaji(usimamizi) wa Lukuvi na Kabudi utakinzana na utendaji (usimamizi) wa waziri mkuu katika kuwasimamia mawaziri.
 
Lukuvi atakuwa kama Mshauri Mkuu wa Mh. Rais kuhusu mambo yote ya uongozi kwa ujumla navyoona mimi, kitu ambacho ni kizuri sana sanaaa..

Waziri Mkuu haihusiani na hili, Mh. Rais anaweza kumteua mtu yeyote/watu kadhaa kuwa wasaidizi wake kwa mambo mbalimbali, kwa jinsi yeye Mh. Rais atakavyoona inafaa, na haulizwi kwa hili, ana mamlaka hayo.

Ila hii ni red light kwa Majaliwa, 2025 akirudi kuwa PM, basi amshukuru Mola kwa sana.
 
Kacheza na akili za watu anajua watu hawajafurahia hao watu kuachwa. Jinsi Lukuvi alivyoshughulia matatizo ya ardhi na jinsi Kabudi alivyoshughulikia matatizo ya mikataba mibovu ya nchi kaona Bora amsogeze pembeni.
 
Rais Samia leo amesema amewaondoa kwenye baraza la mawaziri Lukuvi na Kabudi ili wabakie ikulu kuwasimamia (kuwachapa viboko!) mawaziri wengine wote. Pia Rais Samia amesema nafasi za Kabudi na Lukuvi haziko popote kwenye muundo wa serikali (yaani haziko kikatiba).

Sasa hoja iko hapa.
Katika mazingira ambayo baraza la mawaziri ni chombo huru cha kikatiba katika kuendesha serikali, wajumbe wake wakitajwa kikatiba (Rais, makamu wa rais, Rais wa Zanzibar, waziri mkuu na mawaziri (sio manaibu waziri)), ni vipi mtu asiye mjumbe wa baraza la mawaziri (kama Lukuvi na Kabudi) akawa na mamlaka ya kusimamia utendaji kila siku wa baraza la mawaziri?
Ni vipi siri za baraza la mawaziri zitalindwa ikiwa wasimamizi wake (Lukuvi na Kabudi) sio wajumbe na hawakuapa popote kuzilinda?

Kikatiba waziri mkuu ndio kiongozi, msimamizi na kiranja wa mawaziri wote. Kwa kauli hii ya leo ya Samia (ambayo yeye mwenyewe amekiri haiko kikatiba) inapora mamlaka ya waziri mkuu katika kuwasimamia mawaziri wote ili kuwapa mamlaka Lukuvi na Kabudi.
Je, Lukuvi na Kabudi wanafanya kazi hizo kwa sheria ipi?
Watatumia mamlaka ipi ya kikatiba kufanya kazi hizo?
Watalipwa na nani kufanya kazi hizo ikiwa sheria na muundo wa serikali hauwatambui?

Je watawajibika kumsimamia (kumchapa viboko!) na waziri mkuu katika utendaji wake?

Nini kitatokea ikiwa utendaji(usimamizi) wa Lukuvi na Kabudi utakinzana na utendaji (usimamizi) wa waziri mkuu katika kuwasimamia mawaziri.
Vipi kama niwashauri wa raisi, pengine hata wa shauri binafsi kama Sheria zetu zina zungumzia Hilo, au hats kama sheria haitamki ni maswala ya kanuni TU, je kwanini tusiwe wakuangazia sasa kwenye uelekeo wa Sheria na kanuni Kwa lengo la kuboresha kama tumeona mapungufu, badala ya kulalamika na kilaumu kila jambo hata Yale tusiyoyajua, Nii Imani yangu humu jukwaani tunao wataalamu wa nyanja zote. Ni wakati was kurejesha kwa jamii. Cc@Mayala
 
PM ametengwa kimtindo? Huyu kumwondoa lazima serikali ivunjike; ni mtu mzito pengine mama asingependa kwenda to that extent kaamua kutumia Plan B. Let's wait and see!
Rais anaweza kumuondoa Waziri mkuu wakati wowote bila serikali kuvunjwa.
 
Rais Samia leo amesema amewaondoa kwenye baraza la mawaziri Lukuvi na Kabudi ili wabakie ikulu kuwasimamia (kuwachapa viboko!) mawaziri wengine wote. Pia Rais Samia amesema nafasi za Kabudi na Lukuvi haziko popote kwenye muundo wa serikali (yaani haziko kikatiba).

Sasa hoja iko hapa.
Katika mazingira ambayo baraza la mawaziri ni chombo huru cha kikatiba katika kuendesha serikali, wajumbe wake wakitajwa kikatiba (Rais, makamu wa rais, Rais wa Zanzibar, waziri mkuu na mawaziri (sio manaibu waziri)), ni vipi mtu asiye mjumbe wa baraza la mawaziri (kama Lukuvi na Kabudi) akawa na mamlaka ya kusimamia utendaji kila siku wa baraza la mawaziri?
Ni vipi siri za baraza la mawaziri zitalindwa ikiwa wasimamizi wake (Lukuvi na Kabudi) sio wajumbe na hawakuapa popote kuzilinda?

Kikatiba waziri mkuu ndio kiongozi, msimamizi na kiranja wa mawaziri wote. Kwa kauli hii ya leo ya Samia (ambayo yeye mwenyewe amekiri haiko kikatiba) inapora mamlaka ya waziri mkuu katika kuwasimamia mawaziri wote ili kuwapa mamlaka Lukuvi na Kabudi.
Je, Lukuvi na Kabudi wanafanya kazi hizo kwa sheria ipi?
Watatumia mamlaka ipi ya kikatiba kufanya kazi hizo?
Watalipwa na nani kufanya kazi hizo ikiwa sheria na muundo wa serikali hauwatambui?

Je watawajibika kumsimamia (kumchapa viboko!) na waziri mkuu katika utendaji wake?

Nini kitatokea ikiwa utendaji(usimamizi) wa Lukuvi na Kabudi utakinzana na utendaji (usimamizi) wa waziri mkuu katika kuwasimamia mawaziri.
Wamembakiza PM Majaliwa ili kupunguza gharama za kuhudumia Mawaziri Wakuu wastaafu. Majaliwa na Ndugai lao moja, ni wazee wa busara ndiyo wamemuombea kwa Mama abakie

Majaliwa atabakia figurehead lakini hatapewa kazi nyeti za Waziri Mkuu. Kama hujanielewa hapa basi
 
Rais Samia leo amesema amewaondoa kwenye baraza la mawaziri Lukuvi na Kabudi ili wabakie ikulu kuwasimamia (kuwachapa viboko!) mawaziri wengine wote. Pia Rais Samia amesema nafasi za Kabudi na Lukuvi haziko popote kwenye muundo wa serikali (yaani haziko kikatiba).

Sasa hoja iko hapa.
Katika mazingira ambayo baraza la mawaziri ni chombo huru cha kikatiba katika kuendesha serikali, wajumbe wake wakitajwa kikatiba (Rais, makamu wa rais, Rais wa Zanzibar, waziri mkuu na mawaziri (sio manaibu waziri)), ni vipi mtu asiye mjumbe wa baraza la mawaziri (kama Lukuvi na Kabudi) akawa na mamlaka ya kusimamia utendaji kila siku wa baraza la mawaziri?
Ni vipi siri za baraza la mawaziri zitalindwa ikiwa wasimamizi wake (Lukuvi na Kabudi) sio wajumbe na hawakuapa popote kuzilinda?

Kikatiba waziri mkuu ndio kiongozi, msimamizi na kiranja wa mawaziri wote. Kwa kauli hii ya leo ya Samia (ambayo yeye mwenyewe amekiri haiko kikatiba) inapora mamlaka ya waziri mkuu katika kuwasimamia mawaziri wote ili kuwapa mamlaka Lukuvi na Kabudi.
Je, Lukuvi na Kabudi wanafanya kazi hizo kwa sheria ipi?
Watatumia mamlaka ipi ya kikatiba kufanya kazi hizo?
Watalipwa na nani kufanya kazi hizo ikiwa sheria na muundo wa serikali hauwatambui?

Je watawajibika kumsimamia (kumchapa viboko!) na waziri mkuu katika utendaji wake?

Nini kitatokea ikiwa utendaji(usimamizi) wa Lukuvi na Kabudi utakinzana na utendaji (usimamizi) wa waziri mkuu katika kuwasimamia mawaziri.


Umekurupuka tusibiri kwanza tuone majukumu yao.
 
Kuna namna ya kuwagonganisha hawa wawili na PM, maybe walikua pamoja, sasa wanagonganishwa katika maslahi na mamlaka.

Ni a brilliant political move, but a worse step for general public interests.
 
Ndio maana mkaambiwa mtambiwa muda si mrefu...
Kielehele chenu tuu....
Mshahara watalipwa nani.Vipi wakigawana mshahara wa Mh Rais kwa sababu yeye ndio anawahi taji mjengoni,,,
 
... hatoki kirahisi Mkuu! Ni process fulani ndefu tofauti na mawaziri wa kawaida ambao taarifa za kuondolewa kwao wanaweza kuzipatia bar. Pengine ndio maana mama hakutaka maprocess marefu kaamua atumie shortcut fulani hivi.
Kwa katiba ya sasa sio process ndefu Rais kumuondoa waziri mkuu ila ni process ndefu bunge kumuondoa waziri mkuu.
 
... hatoki kirahisi Mkuu! Ni process fulani ndefu tofauti na mawaziri wa kawaida ambao taarifa za kuondolewa kwao wanaweza kuzipatia bar. Pengine ndio maana mama hakutaka maprocess marefu kaamua atumie shortcut fulani hivi.
Katiba ya JMT 1977
51.- (3) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Katiba hii, Waziri Mkuu atashika kiti cha Waziri Mkuu hadi- (a) siku ambapo Rais mteule ataapa kushika kiti chake; au (b) siku ambapo atafariki dunia akiwa katika madaraka; au (c) siku atakapojiuzulu; au (d) siku Rais atakapomteua Mbunge mwingine kuwa Waziri Mkuu; au (e) atakapoacha kushika kiti cha Waziri Mkuu kwa mujibu wa masharti mengineyo ya Katiba hii.
 
Back
Top Bottom