Kikosi bora cha mwaka JF

Kikosi bora cha mwaka JF

Hahahaha braza em tupe mstari kidogo

Wanaosema jf burudani, mnaniruhusu nifanye utani?

Mshana ndio nani, hili jina mbona sio geni?

Au ndo yule kijana mkazi wa pwani, ana cv ya ulozi kwa kufuga maruani/

Achana nae anajifanya mtu wa imani, maana alishindwa kujibu akili ni nini?

Wenzake wanazama baharini wanaibuka na majini, ye anazama chumvini hajui kuna ukimwi?

Cc Mshana Jr
 
Wanaosema jf burudani, mnaniruhusu nifanye utani?

Mshana ndio nani, hili jina mbona sio geni?

Au ndo yule kijana mkazi wa pwani, ana cv ya ulozi kwa kufuga maruani/

Achana nae anajifanya mtu wa imani, maana alishindwa kujibu akili ni nini?

Wenzake wanazama baharini wanaibuka na majini, ye anazama chumvini hajui kuna ukimwi?

Cc Mshana Jr
hahahahaha unatisha kama njaa braza nakubali
 
Asante mungu sijawekwa humo maana ningeuza timu na mashabiki wote
Zikiwa zimebaki siku chache mwaka uishe.
Ningeomba tuweke kikosi bora cha jf kwa mtindo wa wachezaji soka...

Kipa.. Nyani Ngabu
Beki 2: pancho boy
Beki 3 Baba Swalehe
Beki 4 Bazazi
Beki5: rikiboy na sub yake mkwepu jr


namba 6 Da'Vinci
namba 7 CONTROLA
namba 8: Bujibuji
Namba9: Zero IQ
Namba 10: troublemaker
Namba 11 MLEVi Mmoja
Sub Hazard CFC
Nokia83
funzadume
Bitoz
Sesten Zakazaka

Benchi la ufundi..
Kocha mkuu _ Asprin
Kocha msaidizi_ Kiranga
kocha wa viungo Mwl.RCT
Kocha wa viungo 2. Don Clericuzio

Wasemaji wa team..
Matola
GuDume
Numbisa
Shadeeya

Kamati ya ufundi.. (ulozi)
Mshana Jr
Rakims

Wafadhili wa team.
Kiduku Lilo
Mikwara Ya Andunje
Tajiri Kichwa ,Tajiri mpole

Kamati ya hamasa..
Shunie
Miss Natafuta
manengelo
Mishil
Depal
Sakayo

Mabaunsa wa team..
Castr
Pablo Blanco
Jon Stephano

Dokta wa team
Mwifwa

mweka hazina wa team.
Pascal Mayalla
Daby
Watu8

Mpishi wa team..
Sky Eclat
Zesh
Mzigua90

Kitengo cha figisufisu bila ulozi.
MO11
joanah
Billie
Kichwa Kichafu
Viatu vya Samaki.
Ushimen

Wazee wabishi wa team (wapigaji
FaizaFoxy

mlinzi wa getini makao Makuu.
MKWEPA KODI
MAGALLAH R



Unaruhusiwa Ongezea wewe ili tupate team Kali ya jf.. Ya mwaka

Nsije kuonekana napendelea..
 
Zikiwa zimebaki siku chache mwaka uishe.
Ningeomba tuweke kikosi bora cha jf kwa mtindo wa wachezaji soka...

Kipa.. Nyani Ngabu
Beki 2: pancho boy
Beki 3 Baba Swalehe
Beki 4 Bazazi
Beki5: rikiboy na sub yake mkwepu jr


namba 6 Da'Vinci
namba 7 CONTROLA
namba 8: Bujibuji
Namba9: Zero IQ
Namba 10: troublemaker
Namba 11 MLEVi Mmoja
Sub Hazard CFC
Nokia83
funzadume
Bitoz
Sesten Zakazaka

Benchi la ufundi..
Kocha mkuu _ Asprin
Kocha msaidizi_ Kiranga
kocha wa viungo Mwl.RCT
Kocha wa viungo 2. Don Clericuzio

Wasemaji wa team..
Matola
GuDume
Numbisa
Shadeeya

Kamati ya ufundi.. (ulozi)
Mshana Jr
Rakims

Wafadhili wa team.
Kiduku Lilo
Mikwara Ya Andunje
Tajiri Kichwa ,Tajiri mpole

Kamati ya hamasa..
Shunie
Miss Natafuta
manengelo
Mishil
Depal
Sakayo

Mabaunsa wa team..
Castr
Pablo Blanco
Jon Stephano

Dokta wa team
Mwifwa

mweka hazina wa team.
Pascal Mayalla
Daby
Watu8

Mpishi wa team..
Sky Eclat
Zesh
Mzigua90

Kitengo cha figisufisu bila ulozi.
MO11
joanah
Billie
Kichwa Kichafu
Viatu vya Samaki.
Ushimen

Wazee wabishi wa team (wapigaji
FaizaFoxy

mlinzi wa getini makao Makuu.
MKWEPA KODI
MAGALLAH R



Unaruhusiwa Ongezea wewe ili tupate team Kali ya jf.. Ya mwaka

Nsije kuonekana napendelea..
Hicho kikosi mi ndio nakiongoza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom