Kikosi bora cha team ya Taifa, Afrika nzima haijawahi tokea hii combination

Kikosi bora cha team ya Taifa, Afrika nzima haijawahi tokea hii combination

Show Game

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
316
Reaction score
1,099
Hiki kikosi cha Super eagles ndio kikosi bora cha Muda wote.

Algeria walijaribu kukaza mpaka nusu fainali ya WC ila ubora wao haujawafikia hawa jamaa

Waulize Spain walivyokandwa kwenye world cup 1998.

FB_IMG_1701061799839.jpg
 
Hiki kikosi cha Super eagles ndio kikosi bora cha Muda wote.

Algeria walijaribu kukaza mpaka nusu fainali ya WC ila ubora wao haujawafikia hawa jamaa

waulize Spain walivyokandwa kwenye world cup 1998

View attachment 2826364

Nafikiri Cameroon ya 1990 ndio ilikuwa timu bora zaidi ya muda wote serious tough Roger Milla, Emmanuel Kunde, Cyril Makanaky, Kana Biyik, Thomas Nkono, Tataw, Mbouh, Oman Biyik, Mfede, Ndip, Massing.
 
Hiki kikosi cha Super eagles ndio kikosi bora cha Muda wote.

Algeria walijaribu kukaza mpaka nusu fainali ya WC ila ubora wao haujawafikia hawa jamaa

Waulize Spain walivyokandwa kwenye world cup 1998.


Hicho kikosi miyeyusho alikuwa Rufai tu...alikuwa anazingua sana yule kipa

Halafu waliofika nusu ni Morocco na sio Algeria...
 
Okocha alikuwa wa moto saana yule jamaa, ni kama nzi tu angeacha ujinga fulani anatengeneza asali.

Kipaji cha okocha afrika hii, sijaona tena, ronaldinho anakiri hili na anamkubali saana huyu muhuni, na alimlalamikia kukimbilia ligi kuu ya uingereza(bolton) timu ambayo pia haikuwa na wachezaji wa ubora wake, mwishowe dunia haimkumbuki sawa na Kipaji chake.
 
Okocha alikuwa wa moto saana yule jamaa, ni kama nzi tu angeacha ujinga fulani anatengeneza asali.

Kipaji cha okocha afrika hii, sijaona tena, ronaldinho anakiri hili na anamkubali saana huyu muhuni, na alimlalamikia kukimbilia ligi kuu ya uingereza(bolton) timu ambayo pia haikuwa na wachezaji wa ubora wake, mwishowe dunia haimkumbuki sawa na Kipaji chake.
Okocha mbona namuonaga Dstv?
 
Welldone mtoa hoja kwa kunirudishia kumbukumbu nzuri hii, Sunday anafunga goli dhidi ya Spain kwa mkwaju wa kama 35m!!!,pia tusisahau our best Taifa Stars iliyomliza president KK kwao,...pondamali, Tanga,Jellah Mtagwa (Taifa letu linavyomnyanyasa legend huyu,sipendi kabisa),Peter Tino etc etc, mpira wakati nchi Ina heshima na adabu, sio hawa wa sasa wacheza tik tok uwanjani
 
All my friends they call me number 10. Cause I dey play like Okocha. Dey score like Ronaldinho.
Honey biko no start wetin you no go fit to finish
I no be George Finidi oh oh

Ahahhhhhhhhhhhhh P square walijua kutupa burudani
Po po popompooo pompooo pompoooo
 
hao si ndio waliopigwa kipigo cha paka mwizi na Denmark?
 
Back
Top Bottom