Ilikuwa timu bora sana kipindi hicho, ila haikufanya makubwa. Mara nyingi hivi vizazi vya dhahabu Nchi nyingi zimepita patupu.Hiki kikosi cha Super eagles ndio kikosi bora cha Muda wote.
Algeria walijaribu kukaza mpaka nusu fainali ya WC ila ubora wao haujawafikia hawa jamaa
Waulize Spain walivyokandwa kwenye world cup 1998.