Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati yupo kwenye ndege aliagiza mihogo ya kuchemsha na siki.. ha ha ha aaaaMapungo alikuwa toleo la Bongo hawa ni toleo la sani
.
Sema mapungo alikuwa hatar sana hadi alienda ulaya na kabla ya kusajiliwa akaibiwa pesa hoteli balaa sana
Umeshindwaje kumtambua Mzee Meko?? Na shati lake!!!Nmewatambua lodi lofa, kipepe na madenge!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mzee MekoNmewatambua lodi lofa, kipepe na madenge!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mtoni wanaenda kufanyia mtoni aiseekwenye kina kirefu chenye mamba hatariYaani mazoezi ya hao wachezaji utazani walikua vitani
Wakati yupo kwenye ndege aliagiza mihogo ya kuchemsha na siki.. ha ha ha aaaa
Mapungo alikua fundi aisee anaondoka na kijiji. Ilikua raha sana enzi hizo unasubiria game ya Bush starz na Born town zaidi ya Simba na YangaMapungo alikuwa toleo la Bongo hawa ni toleo la sani
.
Sema mapungo alikuwa hatar sana hadi alienda ulaya na kabla ya kusajiliwa akaibiwa pesa hoteli balaa sana
😂 😂😂😂mzee ilikuwa balaa tupu kwenye kile kokosi chao unamkuta winga ya kushoto Njomba nchumali kati yupo mesi wao mapungo dah acha tuMapungo alikua fundi aisee anaondoka na kijiji. Ilikua raha sana enzi hizo unasubiria game ya Bush starz na Born town zaidi ya Simba na Yanga