Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa hadi alisajiliwa Chelsea ,hela ya usajili akawa anaitumbua kwa kulala na mademu three some afu jamaa alikuwa bitozi hatariMapungo alikuwa toleo la Bongo hawa ni toleo la sani
.
Sema mapungo alikuwa hatar sana hadi alienda ulaya na kabla ya kusajiliwa akaibiwa pesa hoteli balaa sana
Sio baba ubaya huyo kweliHivi yule aliyekuwa na gobore la mbao upara mkubwa ni nani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakati yupo kwenye ndege aliagiza mihogo ya kuchemsha na siki.. ha ha ha aaaa
Yaani nilikuwa nikisoma lile jarida stress kwishinei [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Yaani mazoezi ya hao wachezaji utazani walikua vitani
SanaaaaaaDaaa, Enzi hizo ilikuwa raha sana
Nami nimeya miss ile ileNitapata wapi Yale majarida ya sani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamaa namkumbuka, yeye kazi yake utamwona ugomvi ukianza...
Anapiga roba watu wawili na wengine wanakula mateke, nakumbuka siku kawakwida jamaa halafu anawauliza "Kwani vipi wajameni".
Mzee wa ndole [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilikua namkubali sanaYeye mnyime vyote ila sio pombe, afu yupo mzee wa ndole na michongo ya wiz Pro. Ndumila kuwili
Sio baba ubaya huyo kweli
Meko alikiwa akikimbia na mpira shati nyuma linapepea tu ila mapung'o alikuwa hatar kwa mashuti nimeikumbuka safari yake ya kwenda kusajiliwa na madridUmeshindwaje kumtambua Mzee Meko?? Na shati lake!!!