James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Ingekuwa ulaya na USA wangetengeza movie au animation za hawa characters
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile wamecheza na man you ni hawa enhee
Mapungo huyo jarida la bongoSijui alikua nani yule baada ya kusajiliwa huko ughaibuni mechi ya kwanza alipewa kwa mara ya kwanza avae six meno ile kupiga shuti si akachimba hakuugusa hata mpira, akaona isiwe shida, akavua akavitupa huko yeye keshazoea peku peku.
Ilikua burudani sana.
Huyu jamaa alikuwa na ubabe ubabe na matusi mwanzo mwisho uwanjani, nahisi ndo alikuwa muhamasishaji waoKuna mwana anaitwa hui hui hajawahibkugusa mpira
Hahahaha, ile mechi ilikuwa na vituko sana asee.Ile timu iliyocheza na Man Utd ya kina Beckham nadhani ni ya kina Mapungo, kwenye jarida la Bongo.
wacha kbs hao ni bush stars.. Madenge, nchumali,kizibao,kipepe"mzee wa nyika", njemba,hui hui, mapungo"golden boy", mzee meko,panga la shaba, bila kumsahau kiokote na wengine... Wazee wa mjini born town ndio ndumilakuwili, pimbi, lodilofa, sokomoko, Bob mazishi,jua kali,chepe, ... Nk deby hiyo maandalizi unapikwa kwenye sufuria la moto unapigwa na majabali ya mawe [emoji38][emoji38]
sijui kwanini pimbi namfananisha na PM wetu wa ukanda wa koroshoWrite your reply...pimbi na zena
Mara wachemshwe kwenye pipa la maji ya motorMtoni wanaenda kufanyia mtoni aiseekwenye kina kirefu chenye mamba hatari
Aliwahi kumwambia jamaa wa bush stars kuwa.Mzee meko alikuwa mzee wa mikwara uwanjani kila akikupiga chenga anatupia mtusi
Sio chelsea ni real madrid akiwa na mwanae Chepe (8)Jamaa
Jamaa hadi alisajiliwa Chelsea ,hela ya usajili akawa anaitumbua kwa kulala na mademu three some afu jamaa alikuwa bitozi hatari
Mzee Meko alikuwa anapiga Penati balaa,Umeshindwaje kumtambua Mzee Meko?? Na shati lake!!!
Aliwahi kumwambia jamaa wa bush stars kuwa.
Nlishawahi piga chenga mtu akakatika kiuno.
Jamaa kamwambia kamdanganye mkeo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hao Wamba Nakumbuka Mpaka Sub Zao Asee!