Kikosi bora kabisa cha wakati wote (bush Stars)

Mapungo alikuwa toleo la Bongo hawa ni toleo la sani
.
Sema mapungo alikuwa hatar sana hadi alienda ulaya na kabla ya kusajiliwa akaibiwa pesa hoteli balaa sana
Mapungo alikua fundi aisee anaondoka na kijiji. Ilikua raha sana enzi hizo unasubiria game ya Bush starz na Born town zaidi ya Simba na Yanga
 
Uzi umenikumbusha mbali Sana. Huku kulikuwa na Mzee Meko!
 
Mapungo alikua fundi aisee anaondoka na kijiji. Ilikua raha sana enzi hizo unasubiria game ya Bush starz na Born town zaidi ya Simba na Yanga
๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚mzee ilikuwa balaa tupu kwenye kile kokosi chao unamkuta winga ya kushoto Njomba nchumali kati yupo mesi wao mapungo dah acha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ