Kikosi cha Taifa Stars kuelekea AFCON 2024

Wanamchukua mzee Zimbwe Jr, halafu wanaacha watu wa maana damu changa kama Kibabage na Israel mwenda
Africon sio uwanja wa majaribio ,unaweza kujaribu kwenye kufuzu maana una mechi mpaka tisa na wakati mwingine kumi ,AFRICON una mechi mbili za muhimu ukikandwa out ,unataka umuweke mwenda na kibabage wakafanye nini
 
Msomali na genge lake la wahuni kwenye uongozi wa soka
 
Mkipa wa nne wanini? Unamchukua Metacha unamuacha Mshery what is our succession plan kwenye timu taifa. Kibabage, Kevin John, Mwenda, Mshery n.k
 
Tisiende tu,tujipange. Hivi wabongo hawapigagi Mimba Brazil & Algentina tuwe tunaokilewa nahaoo.......
 

Bila Adamu Matunga kuitwa Taifa Stars, bas siishabikii Afcon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…