Kikosi cha Taifa Stars kuelekea AFCON 2024

Kikosi cha Taifa Stars kuelekea AFCON 2024

Unamponda kisa ni wa yanga ila kuna mtu kaulizia mzize na kibabage umeponda
Kasome vizuri umenifananisha ni mimi ndio nimeuliza kuhusu kibabage na mzize kasome tena au avatar kufunikwa zimekuchanganya?
 
Bwana wee eti kachukuliwa mchezaji ambaye ata kucheza hachezi....kwanza mbona wapo 30 sio kwamba wanatakiwa 25 tuu?
Wanatakiwa 27 halafu kibabage yupo kwenye form alitakiwa awepo
 
Majina ya wachezaji waliotwa kwenye kikosi cha Yaifa Stars kinachoenda AFCON 2024 .

1. Aishi Manula
2. Kawawa
3. Beno Kakolanya
4. Bakari Mwamnyeto
5. Mohammed Hussein
6. Sospeter Bajana
7. Simon Msuva
8. Feisal Salum
9. Danilo
10. Lusajo Mwaikenda
11. Kibu Denis
12. Samatta Mbwana
13. Novatus Dismas
14. Himid Mao
15. Abdul Sopu
16. Abdi Banda
17. Twariq Yusuf
18. Haji Mnoga
19. Charles Kachwele
20. Metacha Mnata
21. Ben Starkie
22. Mudathir Yahaya
23. Ibrahim Bacca
24. Dickson Job
25. Charles M’mombwa
26. Abdul Malik
27. Tarryn Allarakhia
28. Khelfin Hamdon
29. Mzamiru Yasini
30. Morice Abraham
Kikosi cha mchongo. Wapi Mwanuke na Kapombe?
 
Hawapo serious kwenye kuchagua kikosi...hii timu ukiishabikia utakua unajitafutia kansa ya moyo
 
Hivi mmeangalia timu wanazocheza hawa wachezaji wetu huko Ulaya?
 
Huyo dogo Ben Starkie ni mchezaji wa kawaida sana. Sijajua ni kwa nini mnambeba kila siku.
Labda kwakuwa anaishi England .
Yeye na Haji mnoga ni amature league ya England yani wapo chini ya daraja la nne .
Kocha hamna kitu hapo .
Kibabage ameachwa na left back yake Ana perform kuliko Novatus na Hussein .
Lakini ni advantage kwa yanga asije kuumia akakosa mechi muhimu .
Amahl Pelegríno anaongoza ligi daraja la kwanza Norway kufunga magoli ameachwa .
 
Back
Top Bottom