Bwana wee eti kachukuliwa mchezaji ambaye ata kucheza hachezi....kwanza mbona wapo 30 sio kwamba wanatakiwa 25 tuu?Wapi mzize. Kibabage
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana wee eti kachukuliwa mchezaji ambaye ata kucheza hachezi....kwanza mbona wapo 30 sio kwamba wanatakiwa 25 tuu?Wapi mzize. Kibabage
Wanatakiwa 27Hapo wachezaji wapo 30, nafikiri watachujwa wabaki 23
Unamponda kisa ni wa yanga ila kuna mtu kaulizia mzize na kibabage umepondaKuna making wa ligi kuu wapo vizuri sana kama mbissa na yule wa kmc kuliko huyu metacha
Kasome vizuri umenifananisha ni mimi ndio nimeuliza kuhusu kibabage na mzize kasome tena au avatar kufunikwa zimekuchanganya?Unamponda kisa ni wa yanga ila kuna mtu kaulizia mzize na kibabage umeponda
Wanatakiwa 27 halafu kibabage yupo kwenye form alitakiwa awepoBwana wee eti kachukuliwa mchezaji ambaye ata kucheza hachezi....kwanza mbona wapo 30 sio kwamba wanatakiwa 25 tuu?
Kuna siasa kwenye hizi selection bwana ata kapombe anatakiwa awepo basi tuuWanatakiwa 27 halafu kibabage yupo kwenye form alitakiwa awepo
Acha tukapigwe turudi mapema tuendelee na ligi....Wanatakiwa 27 halafu kibabage yupo kwenye form alitakiwa awepo
🤝🤝🤝Kasome vizuri umenifananisha ni mimi ndio nimeuliza kuhusu kibabage na mzize kasome tena au avatar kufunikwa zimekuchanganya?
Kikosi cha mchongo. Wapi Mwanuke na Kapombe?Majina ya wachezaji waliotwa kwenye kikosi cha Yaifa Stars kinachoenda AFCON 2024 .
1. Aishi Manula
2. Kawawa
3. Beno Kakolanya
4. Bakari Mwamnyeto
5. Mohammed Hussein
6. Sospeter Bajana
7. Simon Msuva
8. Feisal Salum
9. Danilo
10. Lusajo Mwaikenda
11. Kibu Denis
12. Samatta Mbwana
13. Novatus Dismas
14. Himid Mao
15. Abdul Sopu
16. Abdi Banda
17. Twariq Yusuf
18. Haji Mnoga
19. Charles Kachwele
20. Metacha Mnata
21. Ben Starkie
22. Mudathir Yahaya
23. Ibrahim Bacca
24. Dickson Job
25. Charles M’mombwa
26. Abdul Malik
27. Tarryn Allarakhia
28. Khelfin Hamdon
29. Mzamiru Yasini
30. Morice Abraham
Labda kwakuwa anaishi England .Huyo dogo Ben Starkie ni mchezaji wa kawaida sana. Sijajua ni kwa nini mnambeba kila siku.
Advantage kwa Yanga wasije kuumia wakakosekanaKibabage na Mzize watu sana.
Mtu anacheza mapinduzi ataitwa na mama ake tuMzize kaachwa!
Kila team ni wa 4Magolikipa wanne?