Kikosi cha Taifa Stars kuelekea AFCON 2024

Kwani huko mapinduzi hawezi kuumia?kuumia ktk soka ni kama ajali tu hata mazoezini unaumia
 
mzabzab umeshangaa nini?.
Mzize hayupo kaenye kikosi kapombe hayupo sasa sii siasa hizi. **** mchezaji timu yake hachezi eti yupo jamani wacha wakapigwe tuu.
Mchezo wenyewe huu unachezwa hadharani sio kama ule mwengine mzabzab unaweza danganya kuwa mie fundi kumbe dakika mbili chali 🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…