Kikosi cha Taifa Stars kuelekea AFCON 2024

Kikosi cha Taifa Stars kuelekea AFCON 2024

Labda kwakuwa anaishi England .
Yeye na Haji mnoga ni amature league ya England yani wapo chini ya daraja la nne .
Kocha hamna kitu hapo .
Kibabage ameachwa na left back yake Ana perform kuliko Novatus na Hussein .
Lakini ni advantage kwa yanga asije kuumia akakosa mechi muhimu .
Amahl Pelegríno anaongoza ligi daraja la kwanza Norway kufunga magoli ameachwa .
Kwani huko mapinduzi hawezi kuumia?kuumia ktk soka ni kama ajali tu hata mazoezini unaumia
 
mzabzab umeshangaa nini?.
Mzize hayupo kaenye kikosi kapombe hayupo sasa sii siasa hizi. **** mchezaji timu yake hachezi eti yupo jamani wacha wakapigwe tuu.
Mchezo wenyewe huu unachezwa hadharani sio kama ule mwengine mzabzab unaweza danganya kuwa mie fundi kumbe dakika mbili chali 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom