FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Ucheze mapinduzi uitwe AfconMzize Kaachwa..Job mfupi
Afcon hii hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ucheze mapinduzi uitwe AfconMzize Kaachwa..Job mfupi
Afcon hii hapa
Piga weweTisiende tu,tujipange. Hivi wabongo hawapigagi Mimba Brazil & Algentina tuwe tunaokilewa nahaoo.......
Yanga wapo wachezaji wa 5 Simba wapo wa 4 tatizo nini hapo?Hio ni yanga sio timu ya taifa
Mwenyewe nashangaa. Sasa england national league mbona hata mimi nikifanya mazoezi mwezi mmoja tu nacheza.Hivi mmeangalia timu wanazocheza hawa wachezaji wetu huko Ulaya?
Kama wewe unafanya mazoezi mwezi mimi itakuwa wiki 2 tu nachukua namba first eleven.Mwenyewe nashangaa. Sasa england national league mbona hata mimi nikifanya mazoezi mwezi mmoja tu nacheza.
AFCON hakuna bodaboda!Mzize kaachwa!
WatajeYanga wapo wachezaji wa 5 Simba wapo wa 4 tatizo nini hapo?
Kwani huko mapinduzi hawezi kuumia?kuumia ktk soka ni kama ajali tu hata mazoezini unaumiaLabda kwakuwa anaishi England .
Yeye na Haji mnoga ni amature league ya England yani wapo chini ya daraja la nne .
Kocha hamna kitu hapo .
Kibabage ameachwa na left back yake Ana perform kuliko Novatus na Hussein .
Lakini ni advantage kwa yanga asije kuumia akakosa mechi muhimu .
Amahl Pelegríno anaongoza ligi daraja la kwanza Norway kufunga magoli ameachwa .
Ligi daraja la tano, semi pro League. Yaani ni kama ndondoMwenyewe nashangaa. Sasa england national league mbona hata mimi nikifanya mazoezi mwezi mmoja tu nacheza.
Wanamsahau Luca modric alivyokiwasha wodi kapu ya juzi...watu wanakaririAl mahlool kajumuishwa ktk kikosi cha Tunisia pia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]AFCON hakuna bodaboda!
Hizo story za ufupi ni za watu walio kosa hojaMzize Kaachwa..Job mfupi
Afcon hii hapa
Mwanuke tena? [emoji23][emoji23]Kikosi cha mchongo. Wapi Mwanuke na Kapombe?
Fanya mazoezi ukacheze tuone usiongee tu ili uonekane na wewe umoMwenyewe nashangaa. Sasa england national league mbona hata mimi nikifanya mazoezi mwezi mmoja tu nacheza.
Mzize hayupo kaenye kikosi kapombe hayupo sasa sii siasa hizi. **** mchezaji timu yake hachezi eti yupo jamani wacha wakapigwe tuu.mzabzab umeshangaa nini?.