chibuOG
Senior Member
- Apr 11, 2024
- 169
- 337
katika eneo ambalo linasumbua sana ni hilo la kiungo mkabaji aisee natamani sana tungempata yule Adolf Bitegeko wa AZAMTusipo sajili number 6 mgumu,tumeisha..anatakiwa mtu wa kukata umeme typical number 6 kama ngolo kante,makelele,Fraga,Mukoko,