Hii transfer window bila kupata Mbadala wa uhakika wa Aucho, hakuna cha maana tutakuwa tumefanya.Yule dogo Adolf Mtasingwa wa Azam angepewa mkataba, Aucho angepata wakati mgumu sana. Maana dogo anakaba mpaka kivuli. Binafsi namkubali sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii transfer window bila kupata Mbadala wa uhakika wa Aucho, hakuna cha maana tutakuwa tumefanya.Yule dogo Adolf Mtasingwa wa Azam angepewa mkataba, Aucho angepata wakati mgumu sana. Maana dogo anakaba mpaka kivuli. Binafsi namkubali sana.
Nasikia tayari kasign,Yule dogo Adolf Mtasingwa wa Azam angepewa mkataba, Aucho angepata wakati mgumu sana. Maana dogo anakaba mpaka kivuli. Binafsi namkubali sana.
Kocha akiweza kuifundisha 3-5-2 tutakuwa tishio. Nabi alijaribu ila naona aliona mapokeo kwa wachezaji wetu ni madogo. Djuma shabani alikuwa anazidiwa sana kwenye kurudi.kikicheza mfumo wa 4-2-3-1 au 4-3-3 ndo kitakuwa na hatari zaidi
Number sita kweli changamoto,na kama umegundua Aucho huwa anacheza Dakika 60 tu mechi Ngumu,baadae anachoka anavuta watoto mashati,Tukipata mtu wa kumpa challenge Aucho pale kati ndo tutakuwa balanced zaidi. Saivi akiumia tu Aucho, stress zinaanza.
Focus yetu na top priority nadhani iwekwe hapo,Number sita kweli changamoto,na kama umegundua Aucho huwa anacheza Dakika 60 tu mechi Ngumu,baadae anachoka anavuta watoto mashati,
Aweso ndugu hapana,Bora Nasoro kapama,nimeangalia game nyingi za mtibwa,jamaa yupo vizuri Sana.. Mudathir kwani atacheza?? Mudathir bench anamsubiria Max zengeliFocus yetu na top priority nadhani iwekwe hapo,
Yule Aweso Aweso pia angepatikana, angempa challenge Mudathir ila nadhani usimba wake ndo unafanya viongozi wampotezee.
Sawa mkuu, Kapama na yule dogo mwinuke wamekiwasha sana pale Mtibwa nusu msimu huu.Aweso ndugu hapana,Bora Nasoro kapama,nimeangalia game nyingi za mtibwa,jamaa yupo vizuri Sana.. Mudathir kwani atacheza?? Mudathir bench anamsubiria Max zengeli