Hennes kolon
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 673
- 1,294
Wewe ndivyo una amini ila mm sivyo ninavyo amini tawala za ki imla na katili hazina nafasi ktk uso wa Dunia hata Mungu alimshisha Yulusifa chini ili ajulikane Yeye ni Mungu. How coma mtu mmoja anatawala Taifa kwa mkono wa chuma anauwa watu kama kuku wake bandani nenda china kwa siku wananyonga watu wangapi? Nenda Iran ukaone mauwaji ya binadam kama kuku kuchinja bandani nenda Urusi ukaone sumu inavyo Latisha Uhai wa maelfu ya watu kwa masilahi ya mtu mmoja. Ambaye mtu huyu pia anakufa why?Punguza muda wako kwenye hizo Holwood movies. Tishio la dunia ni NATO na westerners na siyo hizo nchi tatu ulizotaja.
NATO na Marekani na westerners wanahisi wao ndiyo wenye haki ya kuset standard ya maisha kwenye huu ulimwengu, wanaweza kujiamulia kukuita wewe ni gaidi au siyo gaidi. Mfano Walisema Isis ni magaidi but Leo hii ISIS wanapigana vita Ukrain upande wa Zelensk but wamekata kimya hawasemi chochote. Urusi ni nchi ambayo inataka kuondoa huo ujinga wa white supremacy kwemye huu ulimwengu, wa kuwafanya nchi fulani ni Bora kuliko nyingine, ndiyo maana anaonekana ni adui wa usalama wa dunia.
Danish Media Shows Ukrainian Fighter Wearing ISIS Insignia
A Danish media outlet has shown a Ukrainian commander, identified as Kurt, wearing a Daesh arm patch during an interview – the same one used by the Islamic State terrorist organization in the Middle East.
Meanwhile, the latest Russian intelligence statement said the US is training radicals from Daesh to conduct attacks in Russia and other former Soviet countries.
RT hears from journalist and author Daniel Lazare, who says the US will continue to support extremist forces worldwide, particularly in Ukraine, as long as it’s in Washington’s interests.
Subscribe to RT
View attachment 2524263
Kama nilikuwa nimekaa chini ya mwembe au mkungu basi Biden ameenda Ukraine utajibu mengine mwenyewe.Yani unakaa hapo unakunywa togwa unatarajia Rais wa nchi kama Russia au China auwawe na kakikosi ka watu 500?
Kwanza unajua madhara ya kumuua mkuu wa nchi ambayo hujui ajaye atakuwa na madhara kiasi gani. We mwenyewe ulichoandika hapa hujui ni kitu gani
Wee ni kiazi kwaiyo kwendaa nini kitabadilika wakuu wa nchi ngapi wameenda paleKama nilikuwa nimekaa chini ya mwembe au mkungu basi Biden ameenda Ukraine utajibu mengine mwenyewe.
Ndugu, punguza mauongo, ni lini ulikua China au Russia na ukashuhudia watu wananyongwa kama kuku? Au unaongea tu, hizo ni hukumu zipo hata hapa TZ lakini hazitekelezwi kiasi kikubwa Cha kutosha banaWewe ndivyo una amini ila mm sivyo ninavyo amini tawala za ki imla na katili hazina nafasi ktk uso wa Dunia hata Mungu alimshisha Yulusifa chini ili ajulikane Yeye ni Mungu. How coma mtu mmoja anatawala Taifa kwa mkono wa chuma anauwa watu kama kuku wake bandani nenda china kwa siku wananyonga watu wangapi? Nenda Iran ukaone mauwaji ya binadam kama kuku kuchinja bandani nenda Urusi ukaone sumu inavyo Latisha Uhai wa maelfu ya watu kwa masilahi ya mtu mmoja. Ambaye mtu huyu pia anakufa why?
Ni kweli kabisa mkuu, ndio maana Putin alisha waonya mabeberu kwamba "Urusi ni kama mti wa mbuyu wewe ndio utabaki unatingisha makalio yako lakini sio mbuyu" - Putin ana akili sana na busara - Nikisema Mungu alimleta hapa Duniani kwa lengo jema sana la kuwakomesha mabeberu kimtindo - hatatumia nguvu sana kumaliza jeuri zao na kiburi amebahatika sana kujaliwa na mega tacticts za kuwakomesha softly - mwisho wa siku hutasikia tena NATO sijui G7, IMF, WorldBank etc vitafifia taratibu baada ya Mataifa mengi kujitambua na kujiunga na multipolar World na kuachana na NWO.Huwa wanaanza na propaganda Kama hivi ,ili kutishia ,katka harakati za kuchukua hatua wanajua kunamahali uta miss hapohapo wanapatumia,ndicho kilichotokea hapa kwetu bongo land,Ila sio urusi mkuu.watalaam wa kuua silently & professional katka dunia hii ni russia,hata hizi sumu za lethal zinazotumika ku wa eliminate watu wazito,mfano Marais n.k ambazo huwezi kuni detect kwa kipimo chochote kile mafundi wa kuzitengeneza ni hao hao Russia. kumpiga mkwara Russia ni sawa na ujaribu kutikisa mbuyu......
.Nataka kuwambia wale mnaokula na kuota mchana kweupe ..Rais wa Urusi hawezi kamwe..Narudia kamwe hakuna nchi yeyote yenye uwezo uwe wa Kijeshi au Kijasusi kumuua Rais Putin...HAIPO WALA HAITATOKEA....Ila kwa mapenzi yake Mungu kama tulivyo sisi sote wanadamu Putin atakuja kufa siku moja na Urusi sio Burundi wameandaliwa Vijana wazuri sana ambao watachukua madaraka ya Urusi siku zijazo ambao wanaogopeka hata kulikoni huyu Putin mnaemuona na anawajambisha balaa...Narudia libarikiwe tumbo alilolala Vladimir Putin...Ametuokoa na haya mashoga majinga sana....
Pambania familia yako, kwanza umekula!?Dunia ina enda kwa kasi sana na leo nimeona nije na huu Uzi ambao uwenda ukawa kama ktk nadharia ya kusadikika ila ndicho kitakacho tokea.
Mataifa ya Dunia ya kwanza wanaona Kuna kila dalili Mrusi azipo dhibitiwa kitakacho fuwata kitakuwa nikibaya sana.
Kwa kukuona hili mataifa yenye nguvu duniani ya kiuchumi na silaha wameona ni Bora watu kadhaa wafe kwa ajili ya usalama wa Dunia kuliko acha mambo yaende kama yanavyo enda sasa.
Mataifa matatu ikiwemo Russia, China na Iran ndio kitisho cha amani ya Dunia na wasipo dhibitiwa sasa wanaweza kuleta vita ya tatu ya Dunia vita itakayo acha mataifa tajiri miji yao walio itengeneza kwa miaka mia kadhaa kuwa ktk mavumbi.
Ili kuiokoa Dunia na kitisho hicho CIA akishirikiana na mataifa rafiki wamekuwa wakifanya kazi ngumu yakuweza fanikisha mission yakuwa eliminate three head ktk hali ambayo hakuna anaweza kufikiri au kuiwaza.
Sim ya mwisho ya Rais mmoja wa bara ya Amerika kwa rafiki yake wakaribu sana Putin ndio chanzo cha siri cha vita ya kisasi inaendelea.
Kiongozi huyu alisifika sana bara Amerika akiwakosesha usingizi USA na Vyombo vyake vya ulinzi na ndipo majasusi hatari kutoka ktk kikosi sichojulikana walifanikisha kumdondosha Mwamba ila mwaba before die alimtonya rafiki wake Pete na kidole "Rafiki yangu Putin mm muda wowote ni taaga Dunia ila nataka kukuthibitishia kifo changu alie kutengeneza ni Marekani" number one down.
Putin hakuamini alicho ambiwa mpaka alipokuja shituka kwenye COVID 19.
Akiwa amesha shituka time it was not on his side. Jamaa walisha maliza kazi.
Sim ya rafiki mkubwa wa Putin na kile alikutana nacho ilimfanya Mwamba kusema kama bwai naiwe mbwai shida inakuja hawezi kutangazia umma nn jamaa wamemfanyia and why anataka kuipindua Dunia kwa kazi iliyofanywa kwa ustadi na idarazisizojulika.
Niukweli usio pingika wala kufichika Mataifa ya Dunia ya kwanza wanajuwa Rais Putin atazima muda na wakati Dunia haitoamini. Ila sasa muda wa eng kuzima na mipango ya huyu bwana imeibuka na plan B.
Plan B ni mataifa yenye nguvu kuunda most lethal unity ya watu 500 to 1000.
Hiki kikosi kitasheheni viumbe hatari kuwahi kuumbwa na Mungu. Hiki kikosi hatari kitafanya kazi independence under one command unity with full mandates to eliminate those on the list. Hii unity kazi yake ni kufa na kupona but very silence.
Yaani wewe inatakiwa uvae ile t-shirt ya upinde kabisa..hamna kitu kichwani. Really brain washed 🚮Dunia ina enda kwa kasi sana na leo nimeona nije na huu Uzi ambao uwenda ukawa kama ktk nadharia ya kusadikika ila ndicho kitakacho tokea.
Mataifa ya Dunia ya kwanza wanaona Kuna kila dalili Mrusi azipo dhibitiwa kitakacho fuwata kitakuwa nikibaya sana.
Kwa kukuona hili mataifa yenye nguvu duniani ya kiuchumi na silaha wameona ni Bora watu kadhaa wafe kwa ajili ya usalama wa Dunia kuliko acha mambo yaende kama yanavyo enda sasa.
Mataifa matatu ikiwemo Russia, China na Iran ndio kitisho cha amani ya Dunia na wasipo dhibitiwa sasa wanaweza kuleta vita ya tatu ya Dunia vita itakayo acha mataifa tajiri miji yao walio itengeneza kwa miaka mia kadhaa kuwa ktk mavumbi.
Ili kuiokoa Dunia na kitisho hicho CIA akishirikiana na mataifa rafiki wamekuwa wakifanya kazi ngumu yakuweza fanikisha mission yakuwa eliminate three head ktk hali ambayo hakuna anaweza kufikiri au kuiwaza.
Sim ya mwisho ya Rais mmoja wa bara ya Amerika kwa rafiki yake wakaribu sana Putin ndio chanzo cha siri cha vita ya kisasi inaendelea.
Kiongozi huyu alisifika sana bara Amerika akiwakosesha usingizi USA na Vyombo vyake vya ulinzi na ndipo majasusi hatari kutoka ktk kikosi sichojulikana walifanikisha kumdondosha Mwamba ila mwaba before die alimtonya rafiki wake Pete na kidole "Rafiki yangu Putin mm muda wowote ni taaga Dunia ila nataka kukuthibitishia kifo changu alie kutengeneza ni Marekani" number one down.
Putin hakuamini alicho ambiwa mpaka alipokuja shituka kwenye COVID 19.
Akiwa amesha shituka time it was not on his side. Jamaa walisha maliza kazi.
Sim ya rafiki mkubwa wa Putin na kile alikutana nacho ilimfanya Mwamba kusema kama bwai naiwe mbwai shida inakuja hawezi kutangazia umma nn jamaa wamemfanyia and why anataka kuipindua Dunia kwa kazi iliyofanywa kwa ustadi na idarazisizojulika.
Niukweli usio pingika wala kufichika Mataifa ya Dunia ya kwanza wanajuwa Rais Putin atazima muda na wakati Dunia haitoamini. Ila sasa muda wa eng kuzima na mipango ya huyu bwana imeibuka na plan B.
Plan B ni mataifa yenye nguvu kuunda most lethal unity ya watu 500 to 1000.
Hiki kikosi kitasheheni viumbe hatari kuwahi kuumbwa na Mungu. Hiki kikosi hatari kitafanya kazi independence under one command unity with full mandates to eliminate those on the list. Hii unity kazi yake ni kufa na kupona but very silence.
Uwe unaelewa. USA na NATO wanaanzisha kuhakikisha dunia inakuwa na amani.Kwani USA na nato sio tishio la amani.
USA kaazisha vita vingapi Duniani hapa.
Hata congo war ni wao walikufa watu million 5 kule.
Ni USA na UK. Walihusika.
Hio vipi.
Huyu atabiri Mambo ya Tanzania sio ya Russia.Mambo ya Russia achana nayo kwani huyawezi.
Ila tuache utani mkuu, mbona siku hizi unaandika mada za hovyo namna hii? Nini kimekupata?Dunia ina enda kwa kasi sana na leo nimeona nije na huu Uzi ambao uwenda ukawa kama ktk nadharia ya kusadikika ila ndicho kitakacho tokea.
Mataifa ya Dunia ya kwanza wanaona Kuna kila dalili Mrusi azipo dhibitiwa kitakacho fuwata kitakuwa nikibaya sana.
Kwa kukuona hili mataifa yenye nguvu duniani ya kiuchumi na silaha wameona ni Bora watu kadhaa wafe kwa ajili ya usalama wa Dunia kuliko acha mambo yaende kama yanavyo enda sasa.
Mataifa matatu ikiwemo Russia, China na Iran ndio kitisho cha amani ya Dunia na wasipo dhibitiwa sasa wanaweza kuleta vita ya tatu ya Dunia vita itakayo acha mataifa tajiri miji yao walio itengeneza kwa miaka mia kadhaa kuwa ktk mavumbi.
Ili kuiokoa Dunia na kitisho hicho CIA akishirikiana na mataifa rafiki wamekuwa wakifanya kazi ngumu yakuweza fanikisha mission yakuwa eliminate three head ktk hali ambayo hakuna anaweza kufikiri au kuiwaza.
Sim ya mwisho ya Rais mmoja wa bara ya Amerika kwa rafiki yake wakaribu sana Putin ndio chanzo cha siri cha vita ya kisasi inaendelea.
Kiongozi huyu alisifika sana bara Amerika akiwakosesha usingizi USA na Vyombo vyake vya ulinzi na ndipo majasusi hatari kutoka ktk kikosi sichojulikana walifanikisha kumdondosha Mwamba ila mwaba before die alimtonya rafiki wake Pete na kidole "Rafiki yangu Putin mm muda wowote ni taaga Dunia ila nataka kukuthibitishia kifo changu alie kutengeneza ni Marekani" number one down.
Putin hakuamini alicho ambiwa mpaka alipokuja shituka kwenye COVID 19.
Akiwa amesha shituka time it was not on his side. Jamaa walisha maliza kazi.
Sim ya rafiki mkubwa wa Putin na kile alikutana nacho ilimfanya Mwamba kusema kama bwai naiwe mbwai shida inakuja hawezi kutangazia umma nn jamaa wamemfanyia and why anataka kuipindua Dunia kwa kazi iliyofanywa kwa ustadi na idarazisizojulika.
Niukweli usio pingika wala kufichika Mataifa ya Dunia ya kwanza wanajuwa Rais Putin atazima muda na wakati Dunia haitoamini. Ila sasa muda wa eng kuzima na mipango ya huyu bwana imeibuka na plan B.
Plan B ni mataifa yenye nguvu kuunda most lethal unity ya watu 500 to 1000.
Hiki kikosi kitasheheni viumbe hatari kuwahi kuumbwa na Mungu. Hiki kikosi hatari kitafanya kazi independence under one command unity with full mandates to eliminate those on the list. Hii unity kazi yake ni kufa na kupona but very silence.