Kikosi hatari cha majasusi na makomando watakaoiangusha Serikali ya Russia


View: https://m.youtube.com/watch?v=Tkn7VO0Rn1c
 
Bilaa shaka utakuwa umehubiriwa na mfalme Zumaridi.
 
Kaka wewe mwenye uelewa wakawaida kabisa kutoka dunia ya tatu umewaza hivi,what if inchi kama Russia yenye watu IQ kubwa na uzoefu wa vita ?

What you think was already drawn on the table brother.
 
Nachojua Russia anazidi kumega eneo la Ukraine Kwa kuteka vijiji na vijiji.
Je, huo mpango wa kumstopisha Putin bado uko jikoni? Au majasui hao wamepima kina Cha maji ya Bahari Kwa mguu na kuona kama watazama?
 
We na ramli zako za kizushi, mwaka 2022 ulitutabilia kifo Cha Putin, kwamba hamalizi mwaka 2022, Hadi kesho Putin bado anadunda, huaminiki tena.
 
Update
Rais wa Iran kichwa kimeliwa
Pili kile kikosi hatari 500-1000 kipo kazini. Mungu yupo na anazungumza na watu wake.
 
Update
Rais wa Iran kichwa kimeliwa
Pili kile kikosi hatari 500-1000 kipo kazini. Mungu yupo na anazungumza na watu wake.
Hao NATO na ulaya na Israel ni nchi zinazoongozwa na shetani ndo maana wanaruhusu mpka ndoa ya jinsia moja.upo upande wa shetani.hakuna takataka yoyote anayeweza kumgusa putin kiongozi mwenye nguvu kuliko kiongozi yoyote.
 
Angalia nchi nimetaja tayari Rais wa Iran wamekula kichwa next is Putin last utamalizia
It is only mad person anaweza kufikiri hivyo.Urusi ni nchi yenye nguvu kijeshi na kitechnologia na kiuchumi pia.hakuna nchi yoyote inayoweza kuthubutu kufanya hivyo kwa sababu na wenyewe urusi watalipa kisasi then ww3.tumia akili hata kidogo
 
Russia sio Libya au zimbabwe
 
Huu uzi uufute sasa maana unazidi kukuvua nguo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…