Kikosi hatari cha majasusi na makomando watakaoiangusha Serikali ya Russia

Hao NATO na ulaya na Israel ni nchi zinazoongozwa na shetani ndo maana wanaruhusu mpka ndoa ya jinsia moja.upo upande wa shetani.hakuna takataka yoyote anayeweza kumgusa putin kiongozi mwenye nguvu kuliko kiongozi yoyote.
Una taarifa kuwa kutokana na takwimu za kitaifa zainzibar inaongoza kwa wafiraji na ubakaji na ushoga sheikh?
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=l5uSCbBKJ40
 
Nilipo andika hii article wengi hamkunielewa ila naamini at cia wanaweza hisi nanyonya taarifa zao.
 
Ukisikia ubwege ndio huu
 
wengine akili zao zipo matakoni kuwaelewesha hizi mambo ni kujipotezea muda,hivi huyu mtoa mada kuna kitu anajua kuhusu hii Dunia au madi kaandika tu na yeye aonekae anajua kuandika?
 
Russia,China na Iran hao wapo bize kuimarisha usalama na uchumi wa nchi zao kitu ambacho USA hataki,anachotaka USA awe na nguvu ya uchumi na kijeshi atawale wengine ili apate naasi ya kusambaza ushoga na ushetani mwingine duniani

hivi ukiulizwa hizo nchi zilifanya jambo gani kwa kutishia usalama wa dunia unaweza kusema hata jambo moja au mawili

na kaa ukitambua USA na wenzie atafanya yote ila hawezi kuzangusha hizo nchi kwasababu kila raia wa hizo nchi ulizotaja wapo tayari kufa kwa ajili ya mataifa yao si kama wewe mtanganyika walau unakula unashiba basi mengine kuhusu taifa lako hayakuhusu
 
Nilipo andika hii article wengi hamkunielewa ila naamini at cia wanaweza hisi nanyonya taarifa zao.
Hahaha..mzee unapuliza kile cha Arusha nini, ??Mh. Majaliwa alisema ni kikali sana....Kinakufanya uishi kwenye fantansies
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…