Kikosi kikipangwa namna hii Vipers hatoboi!

Kikosi kikipangwa namna hii Vipers hatoboi!

Simbaa!! Mbwa simba, pumbavu zake....
Hahahaaaa!!

Sio Simba Msimbazi jamani ndio maana sikuanza na S kubwa!
 
Wakuu,

Ili game ya kesho tushinde tunahitaji kuwatumia Banda na Phiri kuleta vitu vipya pale mbele na kuwapumzisha kwanza Baleke , Sakho na Boko. Banda ana workrate kubwa na atamsaidia sana Kapombe kuliko Sakho.

Pia kipindi cha pili ni muhimu Kibu aingie badala ya Ntiba ili intensity ya timu isipungue.

Huu ni ubashiri wa kikosi ninachoamini kinaweza kubadili matokeo.

1) Aishi Manula
2) Kapombe
3) Tshabalala
4) Onyango
5) Inonga
6) Kanoute
7) Banda
8) Mzamiru
9) Phiri
10) Chama
11) Ntibatokiza

Supersub Washambuliaji: Boko, Kibu, Sakho, Baleke

Tupe lineup yako pia unayoiaminia .... #Nguvumoja[emoji110]️
Boko anafanya nini hapo
 
Kocha anataka total football wachezaji waliopo si watoto football lazima team iyumbe...kocha alitakiwa kutafuta mfumo kutokana nawaliopo sikuleta mfumo ambao wachezaji waliopo hawawezi lazima afeli
4-4-2 diamond,4-5-1,4-3-3
 
Kikosi kimejaa wastaafu hamtoboi
Babu Onyango, nasikia alipigana vita ya pili ya dunia. Ntibazokiza, nasikia ni mmoja kati ya wapigania uhuru wa hapo Burundi.

Alafu kuna Kibudenga. Jamaa alikua kibarua kwenye ujenzi wa reli ya kati enzi za mjerumani. Wanaanzaje kutoboa?
 
Kocha anataka total football wachezaji waliopo si watoto football lazima team iyumbe...kocha alitakiwa kutafuta mfumo kutokana nawaliopo sikuleta mfumo ambao wachezaji waliopo hawawezi lazima afeli
4-4-2 diamond,4-5-1,4-3-3
Direct football inataka vijana wenye uwezo wa ku hold up 90minutes

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu,

Ili game ya kesho tushinde tunahitaji kuwatumia Banda na Phiri kuleta vitu vipya pale mbele na kuwapumzisha kwanza Baleke , Sakho na Boko. Banda ana workrate kubwa na atamsaidia sana Kapombe kuliko Sakho.

Pia kipindi cha pili ni muhimu Kibu aingie badala ya Ntiba ili intensity ya timu isipungue.

Huu ni ubashiri wa kikosi ninachoamini kinaweza kubadili matokeo.

1) Aishi Manula
2) Kapombe
3) Tshabalala
4) Onyango
5) Inonga
6) Kanoute
7) Banda
8) Mzamiru
9) Phiri
10) Chama
11) Ntibatokiza

Supersub Washambuliaji: Boko, Kibu, Sakho, Baleke

Tupe lineup yako pia unayoiaminia .... #Nguvumoja[emoji110]️
Hapo kwa banda aanze sako banda aingie sub
 
Huu ndo ukweli.

Kibu ana workrate kubwa mno kuliko wechezaji wote wa mbele hivyo kwa game za ugenini huyu kifaru anaisaidia timu pakubwa kubalance.

Mitano tena kwa Kibu!
Makolo wamechoka mpaka basi,leo wanamtegemea baunsa Kibu
 
Kila lakheri Simba mkatuwakilishe vyema, ila siku hizi mmekua Simba midoli mnaudhii, ole wenu msifunge🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Wakuu,

Ili game ya kesho tushinde tunahitaji kuwatumia Banda na Phiri kuleta vitu vipya pale mbele na kuwapumzisha kwanza Baleke , Sakho na Boko. Banda ana workrate kubwa na atamsaidia sana Kapombe kuliko Sakho.

Pia kipindi cha pili ni muhimu Kibu aingie badala ya Ntiba ili intensity ya timu isipungue.

Huu ni ubashiri wa kikosi ninachoamini kinaweza kubadili matokeo.

1) Aishi Manula
2) Kapombe
3) Tshabalala
4) Onyango
5) Inonga
6) Kanoute
7) Banda
8) Mzamiru
9) Phiri
10) Chama
11) Ntibatokiza

Supersub Washambuliaji: Boko, Kibu, Sakho, Baleke

Tupe lineup yako pia unayoiaminia .... #Nguvumoja[emoji110]️
Banda hawezi kucheza na waganda watamuua
 
Back
Top Bottom