Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Mwakani tunavunja, asubiri tukianza tena tutamjulisha..!!Kiingilio chenu sh ngp, kuna mshangazi hapa unauliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakani tunavunja, asubiri tukianza tena tutamjulisha..!!Kiingilio chenu sh ngp, kuna mshangazi hapa unauliza
Kwa nyie itakua ni kweli😁😁Ukiwa huna Pesa kwenye Vikao vya familia ukitaka tu kuchangia hoja. Unakuwa unaonekana unataka kumpiga mtu😅😅😅 unatolewa nje 😅😅😅😅😅😅
Labda hicho kikundi kiwe na watu Mfano wa kama gsm,mo dewj,bakhresa n.k.Tofauti na sampuli ya hao watu naona kama ni ngumu.labda tujue kwanza malengo ya hicho kikundi ni yapi?Wala usibishe watu wana pesa mkuu.!
Hii utaona km chai ukiwa huna pesa ila kwa wenye nazo ni vitu vidogo.!!
Sitanii 😅😅😅😅 ni ukweli mtupu we njoo Disemba uone 😅😅😅Kwa nyie itakua ni kweli😁😁
Sie kibosho hatuna hizo kwa sababu tuna amini kila mtu anauwezo wa kutoka chini na kuwa juu na huwa tunapenda kusaidiana kunyanyuka.Sitanii 😅😅😅😅 ni ukweli mtupu we njoo Disemba uone 😅😅😅
😅😅😅hongereni sanaSie kibosho hatuna hizo kwa sababu tuna amini kila mtu anauwezo wa kutoka chini na kuwa juu na huwa tunapenda kusaidiana kunyanyuka.
Mnataka kuturoga sio??Member wa hiki kikundi ni kina nani? Tuwekee majina yao
😭😭 Bora nyie sie buku ziwe 10.Nikikumbuka cha kwetu ukingani million moja na laki tano nabaki nalia 😭😭😭
Inshallah tutafika huko 🤣😹😹
Bila kunyanyuana mambo ni magumu sana , anajilipua mmoja then anawavuta wengine, hata siku akishuka anao wakumwinua ndivyo uchumi ulivyo kuna kupanda na kushuka.😅😅😅hongereni sana
🤣🤣🤣🤣🤣Ila nyie 🤣🤣Walikuheshimu wenzio wanapewa ice cream ya hamsini upate vichomi urudi kwenu 😹😹
Kipindi hicho ukichomoza kichwa kinakatwa, nafikiri walikua wamejishimbia mashimoni.hivi hiki kikundi kilikuwepo enzi za jiwe?
Huku hunyenyuliwi 😅😅😅 kipigo kitakunyanyua 😅😅😅Bila kunyanyuana mambo ni magumu sana , anajilipua mmoja then anawavuta wengine, hata siku akishuka anao wakumwinua ndivyo uchumi ulivyo kuna kupanda na kushuka.
Na chawachangia shahawa pia kiwepoNdio muanzishe hata cha wachangia comments JF 😹😹
Nawajua vizuri 😁😁 sana unakuta hata kama upo juu kuna watu watafanya juhudi za kukushusha 😆Huku hunyenyuliwi 😅😅😅 kipigo kitakunyanyua 😅😅😅
Thubutuu!!!hivi hiki kikundi kilikuwepo enzi za jiwe?
Una mawazo kama yangu mkuu, na hii yote inasababishwa na umasikini wetu.Uongo.hakuna kikundi Cha kiingilio milioni Miatano ispokuwa kaongea kama utani na kufanya gumzo Kwa watu.Milioni Miatano ni sawa V8GXR new model.waache utani.