Kikundi kipya cha Magaidi kimeanza kuua Wananchi huko Nigeria kinaitwa Lukarawa

Kikundi kipya cha Magaidi kimeanza kuua Wananchi huko Nigeria kinaitwa Lukarawa

Humu Jf anajifanya kujificha kwenye kichaka cha Ukristo ili kuwasemea mbaya waislamu, lakini hilo si lengo lake, lengo lake ni kueneza chuki kwa jamiiya watanzania wa JF.

Salamu zikufikie wewe mnyarwanda mtutsi imhotep umeshafeli pakubwa!
Basi Kashafeli sana tena sanaaa
 
Kha!...mumebadilika ghafla 😆😆😆😆😁
Umeamua kukoti hapo ili kunitoa kwenye agenda yako ya siri ya kueneza chuki humu Jf.

Mimi naganda pale pale!

Chuki zako peleka kwenu Rwanda kwa watutsi wenzenu/ko.
 
Salamu zikufikie wewe mnyarwanda mtutsi @imhotep umeshafeli pakubwa!
Naona leo Wayahudi na Wazayuni watapumzika naona leo ni zamu ya Watutsi 😆😆😆😁.

Antisemitism na Antihamitism ni kitu ambacho kiko hai sana aisee!!?
 
Kuna ukakasi kidogo hapo, unajua tokea Nigeria ipate Uhuru Jamii za Kaskazini ndio zilikuwa zikiongoza Taifa hilo kwa muda mrefu na uporoji mkubwa uliokuwa ukifanyika ni jamii hizo ndio zilizokuwa zikifaidika.
Kwahiyo unaposema "Jamii zilizohaulika" sijui haswa unamaana gani?.
Hao walioiba ni mafisadi wachache tu ila jamii za huko nyingi hali ngumu ya kiuchumi.
 
Naona leo Wayahudi na Wazayuni watapumzika naona leo ni zamu ya Watutsi 😆😆😆😁.

Antisemitism na Antihamitism ni kitu ambacho kiko hai sana aisee!!?
Wewe ruka ruka ila hunitoi kwenye mada.

Wewe ni myarwanda, ni mtutsi na wala siyo mtanzania. Tunakufahamu humu fika!

Unajificha kwenye kivuli cha Ukristo ila lengo lako ni kuona watanzania wakiparuana humu!

Akiguswa Kagame humu au watutsi wenzako unaukana kabisa utanzania na kuupigania urwanda kwa namna yoyote hali ya kuwa jamii ambayo unajifanya kuitetea humu Tz (Ukristo) unakuwa hauna habari nao wote unawaoana madudu!

Nikuambie tu, umeshafeli! Nenda kwenya uzi wenu wa kinyarwanda mkazungumze kilugha.

Kama unavyoandama kuleta purukushani humu na mimi popote nitakapo kuona nitakuandama kwa ututsi wako wa roho mbaya yenu kwa amani ya Tz.
 
Kumbe na wewe ni Antihamitic?!nilikuwa nakujua kuwa ni Antisemitic mkubwa sana humu JF.
Nani awe Antisemitic wakati nina hiyo damu! Yaani nijichukie mwenyewe?

Una matatizo wewe!
 
Hao walioiba ni mafisadi wachache tu ila jamii za huko nyingi hali ngumu ya kiuchumi.
Jamii za Hausa na Fulani ni Wafanyabiashara na Wafugaji wakubwa Nigeria na kwengineko huko West Africa Aliko Dangote ni mmoja wa Jamii hizo.
 
Nani awe Antisemitic wakati nina hiyo damu! Yaani nijichukie mwenyewe?

Una matatizo wewe!
Wewe ni Antihamitic hupendi Watutsi na ni Antisemitic hupendi Wayahudi, unachopenda ni Magaidi tu.
 
Ni cancer!

Una jengine?
Haitakusaidia chochote Mtutsi ataendelea kuwepo na Myahudi ataendelea kuwepo Genocide zimeshindwa ndio uje wewe kutoka Kisarawe😆
20241113_164051.jpg
 
Wewe ni Antihamitic hupendi Watutsi na ni Antisemitic hupendi Wayahudi.
We mwehu kweli wewe!

Ndugu zangu wengine huko Yemen wanaishi na wayahudi tangu miaka na miaka niwachukie wamenifanya nini? Au hufahamu kuwa Yemen kuna wayahudi?

Nachukia uzayuni kama ninavyochukia imani ya watutsi ya kupenda kwao kujiona bora na kumwaga damu za wenzao na kuchochea migogoro kwa nchi jirani, na mfano wako ni kama wewe unachokifanya hapa!

Na usinipotezee muda! Ngoja nikmaswalie Mtume kusoma maulid, alhamisi leo!
 
800px-Paul_Kagame_2023.jpg

Rais Paul Kagame kiboko ya Magaidi amewafyagia Magaidi huko Msumbiji na hakuna Gaidi yeyote aliyeleta Fyokofyoko ✊️✊️

Magaidi wanaiogopa Rwanda sana na hakuna Gaidi lolote lililoisogelea Rwanda.

Amahoro kwenda mbele.
 
President-Bola-Tinubu-commander-in-chief.png

Raisi Bola Tinubu wa Nigeria ameapa kuwateketeza Magaidi hao wapya.
 
Back
Top Bottom