Kikundi kipya cha Magaidi kimeanza kuua Wananchi huko Nigeria kinaitwa Lukarawa

Kikundi kipya cha Magaidi kimeanza kuua Wananchi huko Nigeria kinaitwa Lukarawa

Magaidi wangekua hawaungwi mkono na marekani na NATO na EU ingekua rahisi sana kuwafuta ila hao walowaasisi wana nguvu sana tatizo huanzia hapa
Ila nyie jamaa mnaufala mwingi sana et marekani hao wanapata nguvu kweny yale maneno yao wanayotamka kabla yakuua mara takbiiiiiil, Allah akbaaaah, malshalaah
 
Kuna kipindi rais wa Nigeria Buhara alitenga kila kitu jeshi walichokihitaji na bado wakashindwa.

Akaliuliza jeshi kwa sasa mnahitaji nini maana kila kitu mlichohitaji nimewapa! Kumbe wakuu wa majeshi wanatafuna asilimia kadhaa za hela halafu asilimia inayobako ndiyo wanaingiza jeshini

Msumbiji hapo Wagner walienda kupambana na magaidi ya huko ila baadaye wakaondoka. Walichogundua ni kwamba kuna viongozi serikalini wanashirikiana na hilo kundi la kigaidi.

Hivyo huwezi kuitumikia serikali hiyo hiyo ambayo huku inasema inapambana na magaidi na huku inashirikiana na magaidi.

Ukanda wa Niger inafahamika wafaransa ndiyo wanafadhili magaidi ya huko.
Yeah, wonder nigeria is powerful militarily lakini eti bokoharam watashitia aman. Makundi yakigaidi yanamilikiwa na among of the rulers.
 
Yeah, wonder nigeria is powerful militarily lakini eti bokoharam watashitia aman. Makundi yakigaidi yanamilikiwa na among of the rulers.
Raisi Bola Tinubu ameapa kuyaangamiza Makundi yote ya Kigaidi.
 
Acheni kuwasingizia wazungu! Mda mwingine sisi ni wajinga tu hasa upande huo wa hio dini
Siku Waisilamu watakapojiuliza maswali magumu bila majibu mepesi mepesi ndio siku Ugaidi utakosa sehemu ya kujifichia.
 
politics-nick_anderson_s_editorial_cartoons-affairs-terrorism-islamist-extremism-EC121745_low.jpg
 
Acheni kuwasingizia wazungu! Mda mwingine sisi ni wajinga tu hasa upande huo wa hio dini
Dini ipi? Una uhakika kweli ni wa dini hiyo unahisi? Umemsahau kama Mkuu wa ISIS iliyoisumbua Syria na Dunia alikuwa Myahudi?
Umemsahau kama mwaasisi na mfadhili wa ISIS ni USA chini ya Obama na Bi Clinton?
Au pia hujui kama muasisi mfadhili ya Al Gaida ya Osama walikuwa USA Ili kuangusha uthibidhi wa USSR kule Afghanistan?
 
Lukarawa ni kikundi kilichoasisiwa huko Sokoto State Nigeria, na kina Magaidi kutoka Nigeria Mali Burkina Faso na Niger.

Nigerian Armed Forces sasa hivi inapambana na Boko Haramu, na kuzuka kwa kikundi hiki watakuwa wanapigana katika "two fronts".

Majihadist hao inasemeka idadi yao haijulikani lakini wanaweza kufika Magaidi elfu nane.

View: https://youtu.be/JUaMZr3myOw?si=nTMs18tBUr_CyHyl

Dini gani hao?
 
Back
Top Bottom