Kikwete aamuru mitambo ya IPTL iwashwe mara moja!

1, 2, 3 siyo sawa nitachagua number 4, ambayo nina uhakika wewe na sisi tunaijua.

Namba nne na namba tano zote zinakaribiana ila kwanza Kevo anabishana kuhusu namba moja au mbili. Bado namsubiria afanye chaguo lake.
 

Tenda Wema wenda zako ndugu yangu...lakini kwenye ukweli siku zote uwongo hujitenga. Tunaofuatilia mambo ya Tanzania kila kukicha tunajua wewe ndiye uliyekuwa wa kwanza kutoa kauli hiyo. Bravo Zitto!
 
Umejikwoti hapo juu ukieleza kuwa ulishauri kuhusu IPTL.

Je ulipendekeza IPTL na Dowans baada ya kuulizwa au ni uamuzi binafsi?

Mkuu pse,
Do your homework very well before you come here.
 
Baada ya kusema kuwa hali ya umeme ni kama vita (almost a year baada ya tatizo kuwekwa hadharani), sitakushangaa ukiandika hivi

Jifariji tu na nafsi yako. My record is clear
 
Kwani Zitto ni waziri wa Umeme Tanzania?..
nilimaanisha kikwete, kwamba , kwanini sasa , na kwanini tumefika hapa, maana uamuzi wa leo umetoka kwa kikwete au hapa tunamjadili zito? thread ya pendekezo la zito si ipo?
 
Zitto ameanza kujikwoti hapo juu kuwa yeye ndiye alitoa hili wazo la IPTL. Je alilitoa kama nani? umejiuliza hilo swali?

Kama Mtanzania ambaye alifahamu tatizo la mgao lilikuwa na athari kubwa kwa uchumi wa nchi.
 
Jifariji tu na nafsi yako. My record is clear

That's correct.

Your record is clear that; almost a year ago, you went on record urging the Govt to buy Dowans power generation machines (whatever the name). For you, it was an emergence then (at is still an emergence now).

A whole year of emergence in making.
 
Rais? rais gani? Hii autopilot ndiyo mnaiita rais?
 
Zitto ameanza kujikwoti hapo juu kuwa yeye ndiye alitoa hili wazo la IPTL. Je alilitoa kama nani? umejiuliza hilo swali?

Na wewe unamuuliza swali hili kama nani, umejiuliza swali hili....na unachangia mjadala wa maswala ya mgao wa umeme tanzania kama nani?..Ngeleja?.?
 
Namba nne na namba tano zote zinakaribiana ila kwanza Kevo anabishana kuhusu namba moja au mbili. Bado namsubiria afanye chaguo lake.

Mkuu,

Siko hapa kufanya league na wala hilo haliko kwenye list yangu!
 
Sasa kuna maana gani ya kuwa na wasaidizi, basi tufute baraza la mawaziri, au unasemaje mkuu?.

Badala ya kujibu swali wewe nawe unauliza swali.

Jibu swali kwanza ili uwe kwenye nafasi nzuri zaidi ya kuuliza swali pia. Narudia swali langu.

-- kama kazi zote za utendaji wa serikali zinafanya (au zinatakiwa kufanywa) na wasaidizi wa raisi, kazi ya raisi ni ipi?
 
naona topic imegeuka imekuwa Zitto..mmesahau mna matatizo ya umeme tayari naona,nasikia mbaya lakini mkome maana wenyewe ndio mnawachagua wale talebani AKA CCM wanaowaletea shida zote hizi!
 
Mitambo ya IPTL ikiwashwa je, mgao wa umeme utakuwa haupo tena?
Kama sikosei taarifa zinasema kuna upungufu wa Megawati 150. IPTL wakizalisha hizo 100MW halafu Songas wakiwasha huo mtambo unaofanyiwa matengenezo wa 20MW zitakuwa zimebaki MEGAWATI 30.

Vipi kuhusu hizi 30MW itakuwaje? Je, watazifidia vipi ili mgao usiwepo kabisa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…