Mapambano Yetu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,130
- 2,102
ccm janga la kitaifa, wanataka kura ya wazi ili kila mwananchi ashuhudie, lakini hawataki waandishi wa habari waingie kwenye kamati ili mwananchi aelewe jinsi majadiliano yanavyoendelea. Hapa hakuna jipya wachosaka ni kushughulikiana.