Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kura ya wazi ndio itaonyesha dhamira ya mjumbe kama yupo upande wa Watanzania ama ana yake binafsi kwenye bunge maalumu.
Wale wote wenye kutaka kura ya siri ni dhahiri tayari wameonyesha kuwa wana ajenda zao zenye maslahi kwao tu. Watanzania kwenye hili hatuwezi kukubali.
Dhamira ya kila mjumbe ni lazima ijulikane. Katiba hii ni ya kila raia, sasa kwanini ninyimwe haki yangu kushuhudia kura gani imepigwa kwenye kila kifungu!?
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwenyekiti wa ccm taifa amewataka wajumbe wote wa bunge maalumu la katiba wanaotoka chama cha mapimduzi wasipige kura ya siri na yoyete atakaye unga mkono kura ya wazi atakuwa ameenda kinyume na matakwa ya chama
Ni kweli kabisa!!! Maana imeonekana jitihada za Pinda zimegonga mwamba....Mimi nasema unafiki na udhaifu wa mkuu wa kaya ndiyo unaipeleka nchi pabaya...
Kama alikuwa hataki Katiba mpya kwanini aliruhusu mchakato wa Katiba? Tume ya Warioba imetumia billions of shillings kukusanya maoni, leo CCM wanataka kuturudisha nyuma..
CCM na ilaniwe...
Katiba ya ccm au ya nchi?
Kura ya Bunge la Katiba si haki ya Mjumbe mwenyewe ni haki ya Kundi au Genge unalowakilisha. Kama wewe ni Mwakilishi wa NGO lazima NGO husika ijiridhishe kama umetekeleza ulichotumwa na Taasisi yako? Mwakilishi wa Walemavu yuko pale kuwakilisha mawazo ya walemavu sio yake binafsi, walemavu wanahaki ya kujua aina ya kura aliyopiga mwakilishi wao kuepuka kununuliwa au kuuzwa kura yao. Kura ya Siri ina harufu ya wizi au vishiria vya Rushwa.
hatutaki mambo ya siri sir hapa,tunataka uwazi,anaye taka kufanya siri akafanye chumbani na mkeo
Silly country! Badala raisi ahimize umoja yeye anahimiza mpasuko!!! Basi tu tumechelewa ila ilifaa itungwe sheria ya kuzuia mikutano/vikao vya vyama toka bunge maalumu linaanza hadi linaisha!
Hayo sio majibu wewe,muda mwngne utumie akili na sio kua -------- wa kuburuzwa tu na hisia za watu,unajua kwa nin waliweka kura za siri hata katika uteuzi wa rais,wabunge na diwani?usiweke akili matakon na kuja kuongea ili mradi uonekane,tunaiharibu nchi kwa upumbavu mdogo tu ambao na wewe unachangia
Aondoe uzii kwa sababu ni uongo au ukweli?Mods, ondoa huu upuuzi. Unaharibu mchakato wa maridhiano
Mbn kura za urais ubunge mpaka Diwani mnapiga za siri na hamjawah kusema ziwe za wazi?
na kura za uchaguzi ziwe zinapigwa wazi au unaonaje? hakuna haja ya kuingia gharama kununua masanduku na karatasi za kura. sawa?
Kura ya siri mbona ndiyo ustaarabu jameni, Tuelimike, tutekeleze.
Nasikitika kwa Rais Mzima kubariki upuuzi huu kama ni hivyo hakika hakuna tena Katiba.
Hapa kuna hatari ya kupata katiba ya ccm wala si ya watanzania. Ushauri wangu wabunge 201 na wale wa upinzani wasusie wabaki wabunge wa ccm kuonyesha msimamo wao